1284. GUSUGAMBA NYAKUJIWA.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhusugambi bho nyakujiwa bho bhanhu bhalebhe. Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhaja gujutigula nkima uyo oliotolwa. Aho wila ubhujiku bhagaja gujugisha ukubhabyaji bha nkima ng’wunuyo uyo bhalibhanjila. Aho bhashiga hoyi bhagasugamba bho likujo litale huna bhubhagisha lulu abhabyaji bha nkima ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhakakitana akagisije kenako giki “gusugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali nikujo kubhanhu bhose, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikalaga chiza na bhanhu bhabho bho gubhambilija bhose, kunguno ya likujo lyabho linilo umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagajilelaga bho gwikala chiza ikaya jabho kunguno ya likujo lyabho linilo ukubhichabho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaja gujutigula nkima bhugabhagisha abhabyaji bhakwe bho likijo litale, kunguno nabhoyi bhagikalaga na bhanhu bhose bho likujo litale, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhakakitanaga akikalile kabho kenako giki, “gugugamba nyakujiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza ni kujo kubhanhu bhose abho bhagikalaga nabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

KISWAHILI: KUPIGA MAGOTI KIHESHIMIWA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upigaji wa magoti wenye heshima wa watu fulani. Walikuwepo watu walioenda kumchukua mwanamke aliyeolewa. Ulipoingia usiku walienda kuwasalimia wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua. Walipofika pale walipiga magoti kwa heshima kubwa ndipo wakawasalimia wazazi hao wa yule mwanamke. Ndiyo maana watu waliita aina yao hiyo ya kusalimia kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huishi kwa heshima na watu wote, katika maisha yao. Watu hao, huishi vizuri kwa kuwasaidia watu wao wote, kwa sababu ya hekima yao hiyo maishani mwao. Wao huzilea kwa kuishi vizuri familia zao kwa sababu ya hekima yao hiyo, katika maisha yao.

Watu hao, hufanana na wale waliowasalimia kwa heshiwa kubwa wazazi wa yule mwanamke waliyeenda kumchukua, kwa sababu nao huishi na watu wao kwa heshima kubwa, maishani mwao. Ndiyo maana watu huiita aina yao hiyo ya kuishi kuwa ni “kupiga magoti kiheshimiwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wao wote wanaoishi nao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 41:43.

Waamuzi 7:5-6.

1Wafalme 8:54.

Zaburi 95:6.

woman-856125_1280

ENGLISH: HONORABLE KNEELING.

The origin of an overhead saying looks at a respectful kneeling of some people. There were people who went to pick up a married woman. When night fell, they went to greet parents of a woman whom they went to pick her up. When they got there, they knelt with great respect and greeted the parents of that woman. That is why people called their type of greeting as “honorable kneeling.”

This saying is paralleled to people who live with respect to all people, in their lives. These people live well by helping their people, because of their wisdom in their lives. They nurture their family members by living well because of their knowledge in their lives.

These people are similar to those who greeted parents of the woman whom they went to pick her up, because they also live with their people with great respect, in their lives. That is why people call their way of living as “honorable kneeling.”

This saying teaches people about having respect for their people who live with them, so that they can soundly rear their family members, in their lives.

Genesis 41:43.

Judges 7:5-6.

1 Kings 8:54.

Psalm 95:6.

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.