1283. AHA NAMHONA YUNITUMA ING’HOLO NANYOMBYE.

Imbuki ya kahayile kenako yilolile kayombeje ka ng’wa munhu uyo ng’holo yakwe ya mtumaga gwita chene. Oliyohoyi munhu uyo agatung’wana na munhu uyo agantogwa umulogendo lokwe kunguno ya kikalile kakwe kawiza. Umunhu ng’wunuyo, aho ontogwa uyo bhagatung’wana nanghwe akiyangula gunyombya kunguno ing’holo yakwe yantumaga gwita chene. Hunagwene agayomba giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agachagulaga ng’wiye ogwitola nanghwe uyo intogilwe ing’holo yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agayidegelekaga chiza ing’holo yakwe bho gumchola ng’wiye uyo alina kikalile kaguyitogisha ing’holo yakwe, kunguno ya witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga ng’witoji onhungwa jawila uyo agayibhejaga chiza ikaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo aganyombya uyo agantogwa, kunguno nuweyi agachakulaga ng’witoji onhungwa jawiza ijo ijitogilwe ing’holo yakwe. Hunagwene agayombaga giki, “aha namhona yunituma ing’holo nanyombye.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya kuchagula bhitoji bhabho bho gutumila witegeleja bhutale, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

KISWAHILI: NILIPOMUONA MOYO ULINITUMA NIMUSEMESHE.

Chanzo cha msemo huo huangalia usemeshaji wa mtu yule ambaye moyo wake unamtuma kufanya hivyo. Alikuwepo mtu ambaye alikutakana na mwenzake katika safari zake akampenda kwa sababu ya mwenendo wake mwema. Mtu huyo, alipompenda aliamua kumsemesha kwa sababu moyo wake ulimtuma kufanya hivyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchagua mwana ndoa mwenzake kwa kufuata unavyopenda moyo yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huusikiliza vizuri moyo wake huo kwa kumtafuta mwanandoa mwenzake ambaye maisha yake huufurahisha moyo wake, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye hufanikiwa kumpata mwanandoa mwenye tabia njema ambaye huijenga kwa kuilea vyema familia yake, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yule aliyemsemesha yule aliyempenda, kwa sababu naye huchagua mwanandoa aliye na tabia njema inayoupendeza moyo wake. Ndiyo maana husema kwamba, “nilipomuona moyo ulinituma nimusemeshe.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa watarajiwa juu ya kuchagua wenzi wao kwa kutumia umakini mkubwa, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

1Wafalme 11:1-4.

2Mambo ya nyakati 11:21a.

african-1129024_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.