Akahayile kenako kaholelile mashinu makali ayo gatina jigongo. Amashinu genayo galikihamo na mayoka, mashimba, masub’i na gangi ayo aho ng’umanhija nago lyandya likenya. Agoyi gagalabhulaga bhanhu kunguno gadina jigongo. Hunagwene abhanhu bhagagitanaga giki, “magaya jigongo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na nhungwa mbi, umukikalile kabho. Amanhu bhenabho, bhali bhasambo, bhalomolomo, bhalisanya kunguno ya gugayiwa jigongo umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagagayiyagwa abhanhu abha gwikala nabho aha kaya jabho, kunguno ya nhungwa jabho ijabhub’i jinijo, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na mashinu amakali ayo galabhulaga bhanhu, kunguno nabhoyi bhalina nhungwa mbi ijo jigaminyaga bhanhu umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagabhitanaga giki, “magaya jigongo.
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhugwa jawiza dubhambilije ugwikala chiza na abhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho mukikalile kakwe kenako.
1 Petro 5:8-9.
Mathayo 15:19-20a.
KISWAHILI: YASIYOKUWA NA HURUMA.
Msemo huo huongelea juu ya wanyama wakali wasio na huruma. Wanyama hao ni pamoja na majoka, simba, chui na mengine mengi ambayo mutakapokutania tu unaanza ogomvi. Ndiyo maana watu huwaita wanyama hao kwamba, “wasiyokuwa na huruama.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu walio na tabia mbaya, katika maisha yao. Watu hao, huiba vitu vya watu, husema uongo, hugombanisha watu kwa sababu ya kutokuwa na huruma kwao, maishani mwao. Wao hao hukosa watu wa kuishi nao kwenye familia zao, kwa sababu yao mbaya, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na wale wanyama wakali walioumiza watu, kwa sababu nao wanatabia mbaya ya kuumiza watu, maishani mwao. Ndiyo maana watu huwaita, “wasiona huruma.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema za kuwawezesha kuishi na watu vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, katika maisha yao yote.
1Petro 5:8-9.
Mathayo 15:19-20a.
ENGLISH: THE MERCILESS.
This saying looks at merciless beasts because of hurting people. These animals include dragons, lions, leopards and many others that when one meets them starts a fight. That is why people call them, “the merciless.”
This saying is equated to people who have wicked behaviors in their lives. Those people, steal people’s things, tell lies, and quarrel with people because of their lack of sympathy, in their lives. They can not have people to live with in their families, because of misbehaving in their lives.
These people are similar to those fierce animals that hurt people, because they also have evil practices of hurting people in their lives. That is why people call them, “the merciless.”
This saying teaches people about having upright conducts enough to enable them peacefully live with their family members, so that they can nicely raise their family members throughout their lives.
1 Peter 5:8-9.
Matthew 15:19-20a.
