1272. IJI JILINGILA MUBOMA ITI GIKI JIHALA.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu abho bhagingilaga muboma. Umuboma igabhizaga mubhanhu bhingi abho bhagikalaga bhutumama milimo yabho bhuli ng’wene nimo gokwe kunguno ya wingi bho milimo ya munumo.

Aliyo lulu, abhanhu abhangi abho bhagalekagwa umuchalo ja bhanhu bhagehu, bhagabhabhonaga bhuhala abho bhagingilaga muboma, kunguno ya kuidalaha imilimo ya muboma yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayidarahijaga sagala imilimo ya bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agachagulaga imilimo iminogu oyitumama kunguno ya bhudalahija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imilimo iya gutumama aha kaya yakwe kunguno ya bhudalahija bho milimo iyo agaibhonaga yiniyo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagabhabhona bhuhala abhanhu abho bhagingila muboma, kunguno nuweyi agayidalahija sagara imilimo iyo agaiyibhonaga yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “iji jilingila muboma iti giki jihala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka kuidalahija sagara imilimo ya bhichabho, kugiki bhadule gutumama milimo ya gudula gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.

Luka 9:1-6.

Luka 12:16-18.

KISWAHILI: WANAOINGIA MJINI SIO KWAMBA WAJINGA.

Msemo huo huongelea watu walioingia mjini. Mjini huishi watu wengi ambao hufanya kazi mbalimbali kila mmoja akiwa na yake kwa sababu ya wingi wa kazi hizo.

Lakini basi, baadhi ya watu wanaoishi vijijini huwafikiria kama ni wajinga wale wanaongia mjini kwa sababu ya kudharau kazi za humo mjini. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hudharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Mtu huyo, huchagua kazi zilizorahisi kuzifanya kwa sababu ya dharau yake hiyo ya baadhi ya kazi, maishani mwake. Yeye hukosa kazi za kufanya katika familia yake hiyo kwa sababu ya dharau yake ya kazi anazoziona, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliowaona kama ni wajinga watu walioingia mijini, kwa sababu naye huzidharau hovyo kazi anazoziona, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “wanaoingia mjini sio kwamba wajinga.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kudharau kazi wanazoziona katika maeneo yao ili waweze kufanya kazi za kuwawezesha kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 9:1-6.

ferry-214475__480

ENGLISH: THOSE WHO ENTER THE CITY ARE NOT STUPID.

This saying speaks of people who entered the city. Many people live in cities who do different jobs, each one with his own because of having a number of jobs in them.

But then, some people who live in rural areas think that those who move to the cities are stupid because they despise jobs which are in the cities. That is why people tell them that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying is related to a person who carelessly despises works which he sees in his life. Such person chooses easy jobs because of his disdain for some jobs in his life. He misses work to do in his family because of his disdain for works which he sees in his life.

This person resembles the one who considered people who entered the cities as idiots, because he also despises works which he sees in his life. That is why people tell him that, “those who enter the city are not stupid.”

This saying teaches people about stopping scorning jobs which they see in their areas so that they can do jobs that can enable them to nicely develop their families, in their lives.

Luke 9:1-6.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.