Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhang’wi b’a walwa. Bhalihoyi bhang’wi b’a walwa abho bhikomelejaga gung’wa walwa bho guyomba giki ‘lwaga nsiga’, munho bhang’we walwa. Ubhulingisilo bhoho bhuli bhusiga ubho bhugatumilagwa ugubhubheja uwalwa bhunubho. Gashinaga lulu, ugung’wa uwalwa hugulwa ubhusiga. Hunagwene abhang’wi bha walwa bhenabho bhagiwilaga giki “lwaga nsiga.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa ku bhanhu abho bhagajikenagulaga sagala isabho jabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagajikenagulaga isabho jabho bho gujigulila majikolo ayo gadinasolobho aha kaya jabho kunguno ya gugayiwa witegeleja umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagikalaga bhukoya na makoye ga gugayiwa jiliwa aha kaya jabho kunguno ya kujikenagula sagala isabho jabho jinijo, umukikalile kabho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhajing’welaga walwa isabho jabho, kunguno nabhoyi bhagajikenagulaga sagala isabho jabho, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagiwilaga giki, “lwaga nsiga.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitumamila chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujibheja ikaya jabho, umubhulamu bhobho.
Mwanzo 9:20-29.
Isaya 24:9.
Yeremia 25:27.
Isaya 5:22.
Zaburi 107:27.
KISWAHILI: KULA MTAMA.
Chanzo cha msemo huo, huangalia wanywaji wa pombe. Walikuwepo wanywaji wa pombe waliokuwa wakihimizana kunywa pombe hiyo kwa kusema “kula mtama” maana yake, wanywe pombe. Lengo lake ni mtama ambao hutumika katika kutengenezea pombe hiyo. Kumbe basi, kunywa pombe ndiyo kula mtama. Ndiyo maana wanywaji hao wa pombe huhimizana kuinywa pombe hiyo kwa kusema kwamba, “kula mtama.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wale ambao huziharibu hovyo mali zao katika maisha yao. Watu hao, huziharibu mali zao hizo kwa kuzinunulia vitu visivyo na faida katika familia zao, kwa sababu ya kukosa umakini maishani mwao. Wao huishi kwa kuhangaishwa na matatizo ya kukosa chakula katika familia zao, kwa sababu ya kuzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao.
Watu hao hufanana na wale waliozinywea pombe mali zao, kwa sababu nao huzitumia hovyo mali zao hizo, katika maisha yao. Ndiyo maana huambiana kwamba, “kula mtama.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitumia vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia vizuri katika kuziendeleza familia zao, maishani mwao.
Mwanzo 9:20-29.
Isaya 24:9.
Yeremia 25:27.
Isaya 5:22.
Zaburi 107:27.
ENGLISH: EAT MILLET.
The spring of this saying looks at the drinkers of alcohol. There were alcoholic drinkers who were encouraging each other to drink an alcohol by saying “eat millet” which means, drink alcohol. Its target is millet which is used in making such alcohol. However, drinking alcohol is eating millet. That is why those who drink alcohol encourage each other to drink it by saying, “eat millet.”
This saying is equated to people who want only to destroy their possessions in their lives. Those people, destroy their property by buying useless things for their families, because of lack of attention in their lives. They live worried about problems of lacking food in their families, because of such careless use of their possessions, in their lives.
Those people are like those who drank alcohol which they bought by using their wealth, because they use their wealth carelessly in their lives. That is why they say to each other that, “eat millet.”
This saying imparts in people an idea of being careful in using their properties well, so that they can nicely help them in developing their families in their lives.
Genesis 9:20-29.
Isaiah 24:9.
Jeremiah 25:27.
Isaiah 5:22.
Psalm 107:27.
