Imbuki ya kahayile kenako, ilolile ng’waniki uyo oling’widohya umuchalo jakwe. Olihoyi ng’waniki uyo oli ng’widohya na ng’wibhembu chiza umuwikaji bhokwe. Ung’waniki ng’wunuyo, wikalaga chiza na bhanhu umuchalo jakwe kunguno ya widohya bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’witana giki “kamuseka ngale.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alini kujo ukubhanhu abho agikalaga nabho, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, abhagambilija abhanhu abha hakaya yakwe kunguno ya nikujo lyakwe linilo, umukikalile kakwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe kunguno ya likujo lyakwe ukubhanhu bhakwe bhenabho.
Uweyi agikolaga nu ng’waniki uyo olina widohya bho gwikala chiza na bhanhu bhakwe, kunguno nuweyi alinikujo lya gwikala na bhanhu bhakwe chiza, umuchalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanana giki, “kamuseka ngale.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nikujo lya gwikala chiza na bhanhu bhabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho.
Luka 1:26-28.
Mambo ya nyakati 4:9.
Zaburi 8:5-8.
KISWAHILI: MSICHANA MNYENYEKEVU.
Chanzo cha msemo huo, huangalia msichana aliyekuwa mnyenyekevu kwenye kijiji chake. Msichana huyo, alikuwa mnyenyekevu na mtulifu katika kuishi na watu. Yeye aliishi vizuri na watu wa kwenye kijiji chake kwa sababu ya unyenyekevu wake huo. Ndiyo maana watu hao walimuita jina la “msichana mnyenyekevu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na hekima ya kuishi na watu wake vizuri, maishani wake. Mtu huyo, huwasaidia watu anaoishi nao vizuri kwa sababu ya hekima yake hiyo, katika maisha yake. Yeye huilea vyema familia yake kwa sababu ya hekima yake hiyo ya kuishi vizuri wa watu.
Mtu huyo hufanana na yule msichana aliyekuwa na unyenyekevu wa kuishi na watu vizuri, kwa sababu naye ana hekima ya kuishi na watu vizuri katika kijiji chake. Ndiyo maana watu humuita jina la “msichana mnyenyekevu.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na hekima ya kuishi vizuri na watu wao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Luka 1:26-28.
Mambo ya nyakati 4:9.
Zaburi 8:5-8.
ENGLISH: A HUMBLE GIRL.
The cradle of this saying looks at a humble girl who live in a village. This girl was humble and active in living peacefully with people. She lived well with the people of her village because of her humility. That is why those people gave to her a name of “a humble girl.”
This saying is compared to a person who has wisdom of living well with people in life. Such person helps people by living well with them because of such wisdom in life. He takes good care of his family members because of his wisdom of relating well with them.
This person resembles the girl who had humility of living well with people in her village, because he also has such wisdom of relating well with people of his village. That is why people call him “a humble girl.”
This saying teaches people about having wisdom of living well with their people, so that they can nicely raise their family members in their lives.
Luke 1:26-28.
Chronicles 4:9.
Psalm 8:5-8.


