Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile higulya ya Ng’ome. Ing’home yiniyo guli nang’ha nguhi uyo gugapunzagwa golekwa guduma ukubhukindilo guti ntwe gwa ng’wa munhu. Unang’ha gunuyo inhangala iningi gugikala na bhanhu abhahulu hulu. Unagwene abhanhu bhagagwitanaga giki, “ng’home ya butululu.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alintululu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhikoloshaga abhiye kunguno ya bhutululu bhokwe ubho guchola mihayo ukubhiye abho bhagikalaga bhalyehile. Uweyi agayikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya bhutululu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni Ng’home iyo yatumilagwa na bhahulu hulu, kunguno nu weyi alina bhuhulu hulu ubho gubhikolosha abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu abhang’witanaga giki, “ng’home ya butululu.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhutulugu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza, ikaya jabho.
Zaburi 140: 2-4.
Zaburi 140:11.
Zaburi 47:6.
KISWAHILI: RUNGU LA JEURI.
Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya Rungu. Rungu hiyo ni fimbo fupi iliyochongwa vizuri na kuachwa ikiwa kubwa chini kama kichwa cha mtu. Fimbo hiyo, mara nyingi hutumiwa na watu wenye ujeuri. Ndiyo maana watu huiita fimbo hiyo kuwa, “rungu la jeuri.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mjeuri katika maisha yake. Mtu huyo, huishi kwa kuwachokoza wenzake kwa sababu ya ujeuri wake huo wa kutafuta ugomvi kwa wenzake wanaishi kwa utulivu. Yeye huiharibu familia yake kwa sababu ya ujeuri wake huo, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na Rungu hilo lililotumiwa na watu wenye ujeuri, kwa sababu naye ana tabia ya ujeuri wa kuchokoza wenzake, katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu humwuita kuwa ni “rungu la jeuri.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za ujeuri kwa kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
Zaburi 140: 2-4.
Zaburi 140:11.
Zaburi 47:6.
ENGLISH: A STICK OF A VIOLENT ONE
The cradle of this saying talks about a stick. This stick is a short rod that is well carved and left as large at the bottom as a man’s head. Such stick is often used by violent people. That is why people call that stick, “a stick of violent one.”
This saying is compared to a person who is violent in his life. Such person lives by provoking his colleagues because of his audacity to seek quarrels while his colleagues live in peace. He destroys his family because of his arrogance, in his life.
This person is similar to the Mace used by violent person because he also has a violent habit of provoking his colleagues, in his life. That is why people call him “a stick of a violent one.”
This saying teaches people about abandoning violent behaviors by living well with their peers, so that they can raise their families well, in their lives on the way to the heaven kingdom.
Psalm 140: 2-4.
Psalm 140:11.
Psalm 47:6.


