Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile munhu uyo otulaga bhanhu abho abhakile amasala. Umunhu ng’wunuyo, oyelaga na nanha gokwe go guntulila uluumona uyo annebhije amasala kunguno ya miganiko gakwe ayo galigantuula chiniko. Uweyi agakumuka noyi umuchalo jakwe kunguno ya kikalile kakwe kenako. Hunagwene abhanhu bhagayung’witana giki, “jidumula bhabodo.”
Akahayile kenako, kagalengijiyagwa kuli munhu uyo agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhibhonelaga abhanhu abho bhali na masala magehu uko alibhitila kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga mamihayo mingi aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya wibhoneji bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhatulaga abhanhu abho abhalebhije amasala, kunguno nuweyi agabhibhonelaga abhanhu abha masala magehu umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhang’witanaga giki, “jidumula bhabodo.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhibhonela abhanhu abho bhadidujije umumasala gabho, bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhichabho, umukaya jabho.
1Wakorintho 14:11.
Warumi 2:20.
1Wakorintho 14:16.
Wagalatia 3:3.
KISWAHILI: MPIGA WENYE AKILI PUNGUFU.
Chanzo cha msemo huo, huongelea mtu yule aliyekuwa akiwapiga watu aliowazidi akili. Mtu huyo, alikuwa akitembea na fimbo ya kuwapigia watu hao aliowazidi akili kwa sababu ya mawazo yake kumtuma kufanya hivyo. Yeye alijulikana sana katika kijiji chake kwa sababu ya maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwaonea watu wenye akili pungufu, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaonea watu hao wenye akili pungufu anakotembelea kwa sababu ya majivuno yakwe ya kuwadharau watu hao, maishani mwake. Yeye hupata matatizo ya kusumbulia na kesi nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaonea watu hao wasiona hatia, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyewapiga watu aliowazidi akili, kwa sababu naye huwaonea watu walio na akili pungufu, katika maisha yake. Ndio maana watu humuita jina la “mgiga wenye akili pungufu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kuwaonea watu wasiojiweza maishani mwao, kwa kuwasaidia vizuri watu hao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa amani na wenzao, katika familia, zao.
1Wakorintho 14:11.
Warumi 2:20.
1Wakorintho 14:16.
Wagalatia 3:3.
ENGLISH: A HITTER OF THOSE WHO HAVE LESS INTELLIGENCE.
The source of this saying speaks of the person who used to beat people who were out of their mind. Such man walked with a stick for hitting those people because of his thoughts that caused him to do so. He was well known in his village because of such behavior. That is why people called him “a hitter of those who have less intelligence.”
This saying is compared to a person who oppresses the mentally retarded ones in his life. Such person treats those people who have are slow in thinking where he visits because of his pride. He gets many problems and lawsuits in his family because of oppressing those innocent people in his life.
This person is similar to the one who beat people who had less intelligent, because he also oppresses people who are slow in thinking in his life. That is why people call him “a hitter of those who have less intelligence.”
This saying teaches people to stop oppressing the less fortunate ones in their lives, by helping them well, so that they can receive blessings of living in peace with their people in their families.
1 Corinthians 14:11.
Romans 2:20.
1 Corinthians 14:16.
Galatians 3:3.
