Yaliyohi nholo iyo yalidigwaga uguhang’wa na bhadimi bhayo. Inholo yiniyo yajaga gujulya jiliwa ja jamumigunda ya bhanhu bho nduhu ugushoka nulu ilitulwa na bhadimi bhayo, kunguno ya bhugulu bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile uguhang’wa na bhiye ulu ohubhaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahadikijaga gwita iyo alitogwa bho nduhu ugushoshiwa ijina guhang’wa nabhiye nulu ibhize ya bhubhi adoyaga kunguno ya bhujidahang’wa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na mihayo yagwikenya na bhiye aha kaya yakwe kunguno ya gubhiitila yabhubhi yiniyo, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni likolo iligulu ilo lyalemaga uguhang’wa na bhadimi bhalyo, kunguno nuweyi alemile uguhang’wa na bhiye uluohubhaga, umukikalile kakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “likolo ligulu nulu ugulinyamaga na olikangila.”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza bhigwi ulu bhalilemejiwa gwita miito gabhubhi na bhichabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Yahana 10:1-4.
Zaburi 115:6.
1Petro 5:5-7.
Isaya 6:10.
KISWAHILI: KONDOO KIZIWI HATA UNAMRUDISHA NDIO UNAMSINDIKIZA.
Alikuwepo kondoo aliyekuwa hazikii anaporudishwa na wachungaji wake. Kondoo huyo, alikuwa akienda kula mazao ya chakula cha watu bila kukubali kurudishwa hata kama akipigwa na wachungaji hao aliendelea na safari yake ya kwenda kula mazao hayo, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hukataa kuong’wa na wenzake anapokosea, katika maisha yake. Mtu huyo, hulazishimisha kufanya jambo bila kuacha hata kama litakuwa ovu kwa kutokubari kuong’wa au kushauriwa na wenzake hao, kwa sababu ya kutokusikia kwake huko, maishani mwake. Yeye huishi katika mahangaiko ya ugonvi na watu kwenye familia yake, kwa sababu ya kuwatendea maovu wenzake hao, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule kondoo kiziwi aliyekataa kurudishwa na wachungaji wake, kwa sababu naye hukataa kushauriwa na wenzake anapoamua kutenda maovu, katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kondoo kiziwi hata unamrudisha ndio unamsindikiza.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na usikivu wanaposhauriwa kuacha kutenda maovu, ili waweze kutenda mema yawezayo kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Yahana 10:1-4.
Zaburi 115:6.
1Petro 5:5-7.
Isaya 6:10.
ENGLISH: A DEAF SHEEP EVEN IF YOU BRING IT BACK, YOU ARE JUST ESCORTING IT.
There was a sheep that was not hearing when it was returned by its shepherds. Such sheep normally went to eat people’s food crops without accepting to be returned even if it was beaten by the shepherds. It continued his journey to eat those crops, because of his deafness. That is why those people said that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”
This saying is related to a person who refuses to be told by his nobles when he is wrong, in his life. Such person forces to do something without stopping even if it is an evil one by not accepting to be persuaded or advised by those colleagues, because of his lack of hearing in his life. He lives in worries of conflict with people in his family, because of his evil treatments to his family members in life.
This person is like a deaf sheep that refused to be taken back by its shepherds, because he also refuses to be advised by his people when he decides to do evil in his life. That is why people tell him that, “a deaf sheep even if you bring it back you are just escorting it.”
That saying, teaches people to be attentive when they are advised to stop doing evil, so that they can do good things that can develop their families well, in their lives.
John 10:1-4.
Psalm 115:6.
1 Peter 5:5-7.
Isaiah 6:10.
