Imbuki ya kahayile kenako ilolile nhungulu. Inhungulu iniyo ili nonii iyo igapelelaga bho gulala ulu yapyeniwagwa na ng’wichaloyo kugiki idule gwipija guminyiwa nulu gubhulagwa. Iyoyi igagatumilaga amanana gayo genayo bho gwiyinja mumakoye gaguminyiwa nulu gubhulagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga amasala gakwe bho gwiyinja umumakoye, umuwikaji bhokwe. Munhu ng’wunuyo, agagatumalaga amasala gakwe genayo bho gubhalumanya chiza abhanhu bhakwe kunguno atogilwe gwikala bho mholele na bhiye, umuchalo jakwe. Uweyi agayilangaga lilange lya gwikala chiza na bhanhu ikaya yakwe, kunguno ya wikaji bho ubhowiza bhunubho, umuchalo jakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nhungulu iyo igipijaga gwinga mumakoye bho gugapeja amanana gayo, kunguno nuweyi agagatumilaga amasala gakwe bho gwikala chiza na bhiye umuchalo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nhungulu njobha igapejaga manana gayo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gwikenya bho gugatumila chiza amasala gabho gwikala na bhanhu, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhichabho, umukaya jabho.
Mathayo 26:51-52.
Mathayo 2:13-15.
KISWAHILI: KUNGULU MWOGA HURUKA KWA MBAWA ZAKE.
Chanzo cha msemo huo, huangalia kungulu. Kungulu huyo ni ndege ambaye huruka kwa mbawa zake anapozidiwa na mwenzake katika ugonvi ili kujiokoa kutoka kwenye hatari ya kuumizwa au kuuliwa na mwenzako huo. Yeye huzitumia mbawa zake hizo kwa kujiondoa kwenye matatizo ya kuumizwa au kuuliwa. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutumia akili zake kwa kujiokoa kutoka katika hatari ya kuumizwa au kupoteza maisha yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumila vizuri akili zake hizo kwa kuwaunganisha watu wake vizuri kwa sababu ya kupenda watu waishi vizuri na kwa amani, katika maisha yake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake kwa sababu ya malezi yake mema aliyo nayo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule kungulu aliyetumia mbawa zake katika kujiondoa kutoka matatizo ya kuumizwa au kuuliwa, kwa sababu naye hutumia akili zake kwa kuishi vizuri na wenzake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kungulu mwoga huruka kwa mbawa zake.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuacha kugombana kwa kuzitumia akili zao vizuri ili waweze kuishi kwa amani na wenzao, katika familia zao.
Mathayo 26:51-52.
Mathayo 2:13-15.
ENGLISH: A COWARD CROW FLIES WITH ITS WINGS.
This saying looks at a crow. The crow is a bird that flies with its wings when it is overwhelmed by its partner in a fight to save itself from a danger of being hurt or killed by that partner. It uses its wings to get out of a trouble of being hurt or killed. That is why people say that, “a coward crow flies with its wings.”
This saying is equated to a person who uses his mind to save himself from a risk of being hurt or losing his life, in his life. Such person uses his intelligence well to connect his people because he loves them enough to live well and peacefully in his life. He takes good care of the people in his family because of a good upbringing which he has in his life.
This person is similar to the crow which used its wings to escape from problems of being hurt or killed, because he also uses his intelligence for living well with his companions in life. That is why people tell him that, “a coward crow flies with its wings.”
This saying teaches people on how to stop fighting by using their minds well so that they can live in peace with their societal members in their families.
Matthew 26:51-52.
Matthew 2:13-15.
