1213. GWIWILA GULIHO UGWIYIGWA NDUHU.

Bhaliho bhanhu bha ha kaya ndebhe abho bhilomelaga higulya ya kutumama milimo yabho. Aliyo lulu, umuwilomeji bhobho bhunubho abhanhu bhenabho, bhalidiigwagwa chiza, kunguno ya gukija gwidegeleka chiza umumahoya gabho genayo. Abhoyi bhayoganyaga ulu bhaliyomba kunguno ya bhuli ng’wene guhaya adegelekwe wei duhu. Hunagwene bhagayomba giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagapangaga chiza imilimo ya gutumama aha kaya yabho, aliyo ugutimija nduhu. Abhanhu bhenabho bhagilomelaga higulya ya kutumama nimo nnebhe bhiyigwa chiza, aliyo lulu ulu lyushiga ilikanza lya gugumama unimo gunuyo, bhuli ng’wene agajaga kunimo gokwe duhu, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, kunguno ya kuleka uguitimija imilimo iyo bhagayipangaga guyitumama, aha kaya jabho jinijo.

Abhanhu bhenabho, bhagikolaga nabho bhahoyaga bhiigwa bho nduhu ugwidegeleka chiza, kunguno nabhoyi bhapangaga milimo yao bho mihayo aliyo uguitimiza nduhu aha kaya yabho yiniyo. Hunagwene bhagayombaga giki, “gwiwila guliho ugwiyigwa nduhu.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’wigwano gogujilanija chiza, umubhupangi bho milimo yabho kihamo na guyitumama chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

KISWAHILI: KUAMBIANA KUPO KUELEWANA HAKUNA.

Walikuwepo watu kwenye familia fulani waliokuwa katika maongezi yao juu ya kufanya kazi zao. Lakini katika maongezi hayo watu hao walikuwa hawaelewani vizuri, kwa sababu ya kutosikilizana vizuri katika maongezi hayo. Wao walikuwa wakipiga kelele katika kuongea kwao kwa sababu ya kila mmoja wao kutaka asikilizwe yeye tu. Ndiyo maana walisema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa watu wanaopanga vizuri kazi za kufanya bila kuzitekeleza, kwenye familia yao. Watu hao huongea juu ya kufanya kazi fulani na kuelewana vizuri, lakini ukifika wakati wa kuifanya kazi hiyo, kila mmoja huenda kwenye kazi yake tu, maishani mwao. Wao hushindwa kuziendeleza vizuri familia zao hizo, kwa sababu ya kuacha kuzitekeleza kazi zao walizozipanga, katika familia zao hizo.

Watu hao, hufanana na wale waliopanga kufanya kazi zao vizuri, bila kuzitekeleza, kwa sababu nao hupanga kazi za kufanya vizuri bila kuzitimiza, kwenye familia zao hizo. Ndiyo maana wao husema kwamba, “kuambiana kupo kuelewana hakuna.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uelewano wa kushirikiana vizuri katika kupanga kazi zao na kuzitekeleza kwa pamoja, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Luka 11:23.

Luka 11:27-28.

Luka 15:9-10.

Marko 14:17-21.

Yohana 15:1-3.

ENGLISH: TALKING TO EACH OTHER WHERE THERE IS NO MUTUAL UNDERSTANDING.

There were people in a family who were talking about doing their jobs. But in their conversations, they did not understand each other well, because of not listening well to each other while talking. They were shouting in their speech because each of them wanted to be listened by others. That is why they said that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying is related to people who plan well the tasks to be done without carrying them out, in their family. Those people talk about doing some works and get along well, but when a time of doing them comes, everyone just goes to his/her works, in their lives. They fail to develop their families well, because of stopping to carry out their planned tasks, in their lives.

Those people are similar to those who planned to do their jobs well, without carrying them out, because they also plan jobs to do well without fulfilling them, in their families. That is why they say that, “talking to each other where there is no mutual understanding.”

This saying teaches people about having an understanding that is good enough to cooperate well in planning their works and carrying them out together, so that they can develop their families well, in their lives.

Luke 11:23.

Luke 11:27-28.

Luke 15:9-10.

Mark 14:17-21.

John 15:1-3.

women-6886782_1280

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.