Imbuki ya kahayile kenako ilolile Nkwilima na nina bhukwi okwe. Unina bhukwi ng’winuyo, goli ngilo ugwidima ingob’o ya nkwilima okwe. Aliyo lulu umayu ng’wunuyo, agandya guidimagula ingob’o ya nkwilima okwe ng’winuyo. Hunagwene abhanhu bhagamuja giki, “uligalinzula yaki ingob’o ya nkwilima?”
Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe ukubhanhu abho agikalaga nabho, aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, alina bhutoshi bho gubhadalaha abhanhu bhakwe kunguno ya gwibhona giki aliosolobho nhale gukila abhiye, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenakulaga ikaya yakwe kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhitila libhengwe abhiye, aha kaya yakwe.
Umunhu ng’wunuyo, akikolaga nu nina bhukwi uyo agaminzila ikujo unkwilima okwe bho guidimagula ingob’o yakwe, kunguno nuweyi agabhabhinzila ikujo abhanhu bhakwe bho gubhitila libhengwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagamujaga giki, “uligalinzula yaki ingob’o ya nkwilima?”
Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya kubhiza ni kujo ukubhichabho bho ndugu ugwisendeja lwande lumo ijinagufunya bhuyanguji, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
1Petro 2:17a.
1Yohana 3:11.
1Yohana 4:11-12.
KISWAHILI: UNAIPEKUA YA NINI NGUO YA MKWILIMA?
Chanzo cha msemo huo chaangalia Mkwilima na mama mkwe wake. Mama mkwe huyo, ilikuwa ni mwiko kuishika nguo ya mkwilima wake. Lakini mama huyo, alianza kuishikashika nguo hiyo ya mkwilima wake huyo. Ndiyo maana watu walimuuliza kwamba, “unaipekua ya nini nguo ya mkwilima?”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana dharau kwa watu wale anaoishi nao, katika maisha yake. Mtu huyo, ana majivuno ya kuwadharau watu wake hao kwa sababu ya kujiona kuwa yeye ana thamani kubwa zaidi kuliko hao wenzake, maishani mwake. Yeye huivuruga familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwafanyia dharau wenzake, katika familia yake.
Mtu huo, hufanana na yule mama mkwe aliyemvunjia heshima mkwilima wake kwa kuishikashika nguo yake, kwa sababu naye huwavunjia heshiwa watu wake kwa kuwadharau, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuuliza kwamba, “unaipekua ya nini nguo ya mkwilima?”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na heshima kwa watu wote bila ya kuwafanyia dharau kwa kuegemea upande mmoja, katika utoaji wa maamuzi, ili waweze kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.
1Petro 2:17a.
1Yohana 3:11.
1Yohana 4:11-12.
ENGLISH: WHY ARE YOU SEARCHING THE CLOTHES OF THE SON IN LAW?
The cradle of the above saying is about a mother in law who touched clothes of her son-in-law. The mother-in-law was a taboo to hold clothes of her son in law. But she started holding the clothes of her son in law. That is why people asked her that, “Why are you searching the clothes of the son in law?”
This saying is compared to a person who has contempt for people whom he lives with in his life. Such person is proud enough to look down on his people because he thinks that he has more value than his colleagues in his life. He disturbs his family because of his pride in disrespecting his colleagues.
This person is similar to the mother-in-law who dishonored her son in law by grabbing his clothes, because he also dishonored his people by disrespecting them in his life. That is why people ask him that, “Why are you searching the clothes of the son in law?”
This saying teaches people about having respect for all people without insulting them by leaning on one side, in making decisions, so that they can raise their families well, in their lives.
1 Peter 2:17a.
1 John 3:11.
1 John 4:11-12.
