Gwigonzola ili gwigondagula kunguno ya mapinja mapinja ayo gagatindikaga winga. Bhalihoyi bhanhu abho bhahayaga gwitola umuchalo ja Ngeme. Abhilomeji bha bhikweji abha nhande ijibhili bhagakoyakoya ugwidebha umpango go ng’ombe mpaga nose wimichiwa uwinga bhunubho. Aho wimichiwa, igigela na mbita hagati yingi hangi iyo igabhudija uwinga bhunubho, kunguno bhugasola likanza lilihu noyi na witiwa lulu. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “wigonzola uwinga.”
Akahayile kenako kagalengajiyagwa ku bhitoji abho bhagiyumilijaga ugugamama wangu amakoye ulu gigela umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagikomejaga gutumama milimo yabho kihamo na guhoya bhuli makanza ulu bhapandikaga makoye, kunguno ya witogwi bhobho bhunubho, umuwitoji bhobho. Abhoyi bhagabhambilijaga abhanhu bhabho ugugamala wangu amakoye gabho kunguno ya wiyumilija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nu winga ubho bhugadijiwa na bhikweji mpaga yugigela na mbita hagati yingi, na witiwa, kunguno nabhoyi bhagapandika makoye bhiyumilija ugugamala wangu bho gutumama milimo yabho kihamo na guhoya kihamo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhawilaga giki, “wigonzola uwinga.”
Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na wiyumilija bho guhoya chiza na kutumama milimo yabho kihamo kugiki bhadule gugamala wangu amakoye gabho, na gwikala bho mholele, umiwikaji bhobho.
Luka 14: 15-20.
Mathayo 24:36-38.
KISWAHILI: HARUSI IMEJIVIRIGA VIRIGA.
Kujivirigaviriga ni kucheleweshwa kwa harusi kwa sababu ya mapingamizi mbalimbali. Wakuliwepo watu waliotaka kuoana katika kijiji cha Ngeme. Watu wa pande mbili waliokaa kikao cha kuelewana mahali walishindwa kufikia mwafaka mpaga mwishowe harusi hiyo ilisimamishwa kwa muda. Baada ya kusimamishwa hivyo yalitokea matatizo mengine ambayo aliichelewesha zaidi harusi hiyo, kwa sababu ilichukuma muda mrefu ndipo ikafanyika. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale ambao huyatatua matatizo yao kwa uvulimilivu, kila yanapotokea, katika maisha yao. Watu hao, hujibidisha kufanya kazi zao kwa pamoja na kuongeza kwa pamoja kila wanapopata matatizo, kwa sababu ya upendo wao huo kati yao. Wao huwasaidia watu wengi katika kuyatatua matatizo yao haraka, kwa sababu ya uvumilivu wao huo, maishani mwao.
Watu hao, hufanana na ile harusi iliyocheleweshwa na wapangaji wa mahali mpaka yakatokea matatizo wengine yaliyoichelewesha zaidi, kwa sababu nao huyatatua matatizo yao kwa uvumilifu kila yanapotokea, kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, katika maisha yao. Ndiyo maana watu huwaambia kwamba, “harusi imejivirigaviriga.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuwawezesha kuyatatua matatizo yao kwa kuongea na kufanya kazi zao kwa pamoja, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.
Luka 14: 15-20.
Mathayo 24:36-38.
ENGLISH: THE WEDDING HAS MESSED UP.
Stagnation is a delay of a wedding due to various hostilities. There were people who wanted to get married at Ngeme village. People from both sides who sat in a meeting to understand each other failed to reach an agreement at the end the wedding was stopped for a while. After that suspension, other problems occurred which further delayed the wedding, because it took a long time to take place. That is why people said that, “the wedding has messed up.”
This saying is compared to married people who solve their problems with patience, whenever they arise, in their lives. Those people, try to do their work together and talk together whenever they have problems, because of their love for each other. They help many people in solving their problems quickly, because of their patience, in their lives.
Those people are like the wedding that was delayed by planners until there were other problems that delayed it even more, because they also solve their problems patiently whenever they occur, by talking and doing their work together, in their lives. That is why people tell them that, “the wedding has messed up.”
This saying teaches people about having patience that is strong enough to enable them solve their problems by talking and doing their work together, so that they can live peacefully in their lives.
Luke 14: 15-20.
Matthew 24:36-38.
