Olihoyi munhu uyo alina majacha umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, olina jika jinijo gwingila haho bhubyalilwa bhokwe, kunguno ijoyi jigampandikaga munhu ose ab’ize nsab’i nulu nhab’i. Uweyi wikalaga na sabho ningi aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhabokelaga bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agahoyaga na bhahab’i kihamo na bhasab’i bho nduhu ugunkomanya munhu oseose, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe kunguno amanile igiki abhanhu bhakwe bhenabho bhabhumbwa na Mulungu uyo agang’winhaga nguzu ja gutumama milimo yakwe chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga na majacha ayo olinago nsab’i ng’wunuyo, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bha bhuli mbika aha kaya yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “majacha gadi na nsab’i nulu nhab’i.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka nhungwa ja gubhakomanya abhanhu bho gwikala nabho pye abhose abha bhuli mbika, kunguno abhoyi bhali jisumva ja ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza, umubhulamu bhobho.
Matendo ya mitume 10:34-35.
Matendo ya Mitume 11:8-9.
KISWAHILI: MATEGE HAYANA TAJIRI WALA MASKINI.
Alikuwepo mtu aliyekuwa na matege katika maisha yake. Mtu huyo, alikuwa na kilema hicho tangu kuzaliwa kwake kwa sababu kilema chenyewe hakibagui mtu yeyote awe tajiri au maskini. Yeye alikuwa na mali nyingi kwenye familia yake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapokea watu wa kila namna kwenye familia yake, katika maisha yake hayo. Mtu huyo, huongea na maskini pamoja na matajiri bila kumbague yeyote, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi sana kwenye familia yake kwa sababu anaelewa kuwa watu wote ni viumbe vya Mungu ampaye nguvu za kufanya kazi zake vizuri, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yale matege aliyokuwa nayo yule tajiri, kwa sababu naye huishi na watu wa kila namna kwenye familia yake hiyo. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “matege hayana tajiri wala maskini.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia za kuwabagua watu kwa kuishi na watu wa kila aina, kwa sababu wote wameumbwa na Mungu, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri, maishani mwao.
Matendo ya mitume 10:34-35.
Matendo ya Mitume 11:8-9.



ENGLISH: ABNORMAL LEGS HAVE NEITHER RICH NOR POOR.
There was a man who had scars in his life. Such man had a disability since birth because that disability itself did not discriminate between rich and poor. He had a lot of wealth in his family. That is why people told him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”
This saying is related to the person who accepts all kinds of people in his family in life. Such person talks to the poor as well as the rich without discriminating against anyone in his life. He lives with a good number of people in his family because he understands that all people are creatures of God who gives to him the strength to do his daily work well in his life.
This person resembles to the scars that the rich man had, because he also lives with all kinds of people in his family. That is why people tell him that, “abnormal legs have neither rich nor poor.”
This saying teaches people about abandoning habits of discriminating people by living with all kinds of people, because they are all creatures of God, so that they can get blessings of living well, in their families.
Acts 10:34-35.
Acts 11:8-9.