1145. NG’WANA MAKINU AGIKINUKILWA KU MABALA.

Olihoyi munhu uyo witanagwa makinu. Umunhu ng’winuyo oli na nguzu ningi kunguno oliadakangilwe nulu hado pye amakanza. Lushigu lumo, uweyi agafuma ghujiku ugamanhya na ndimu nhali yuumulaga guko kumabala. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga sagala inguzu yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajitumilaga inguzu jakwe bho gwigimba sagala kugiki bhanhu bhankumilije kunguno ya gugayiwa witegeleja bhokwe umuwikaji bhokwe. Uweyi agilabhulaga sagala umuwigimbi bhokwe bhonubho, kunguno ya kutogwa gukumilijiwa chiniko umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana makinu uyo agabhulagwa ni limu aho ojitumila sagala inguzu jakwe jinijo, kunguno nuweyi agajitumilaga sagala inguzu jakwe mpaga olabhuka, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ng’wana makinu agikinukilwa ku mabala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gujitumila inguzu jabho bho witegeleja bhutale kugiki jidule gubhambilija chiza, umuwikaji bhobho bhunubho.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

KISWAHILI: MWANA MAKINU ALISHINDWA NJE NA KWAKE.

Alikuwepo mtu aliyeitwa Makinu. Mtu huyo, alikuwa na nguzu nyingi kwa sababu hakutishwa hata kidogo wakati wote. Siku moja alitoka nje usiku akakutana na myama mkali aliyemuua mtu huyo nje ya nyumbani kwake. Ndiyo maana watu walisema kwamba “mwana makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia vibaya nguzu zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitumia nguvu zake hizo kwa kujidai hovyo ili watu wamsifiye kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake. Yeye hujiumiza bure katika majigambo yake hayo, kwa sababu ya kupenda sifa kwake, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na mwana Makinu aliyeuliwa na yule myama mkali alipozitumia vibaya nguvu zake hizo, kwa sababu naye huzitumia vibaya nguzu zake hizo mpaka anaumia bure, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mwana Makinu alishindwa nje na kwake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuzitumia nguvu zao kwa umakini mkubwa ili ziweze kuwasaidia vizuri, maishani mwao.

1Samweli 17:48 -51.

Waamuzi 16:18-22.

ENGLISH: MAKINU’S SON WAS DEFEATED OUTSIDE HIS HOME.

There was a man whose was Makinu’s son. He had a lot of power because he was not intimidated at all in his life. One day, he went out at night and met a stronger man than him who killed him outside his house. That is why people said that “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying is related to a person who misuses his power in his life. Such person uses his power to claim praise carelessly for getting praise from people because of the lack of focus in his life. He hurts himself in vain in his boasting, because of looking for praise from people.

This person is similar to Makinu’s son who was killed by the fierce man when he misused his power, because he also misuses his power until he gets hurt for nothing, in his life. That is why people tell him that, “Makinu’s son was defeated outside his home.”

This saying imparts in people an idea of using their power very carefully so that it can help them well, in their lives.

1 Samuel 17:48 -51.

Judges 16:18-22.

warrior-7623990__480

zulu-kingdom-3411052__480

men-5966213__480

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.