Akahayile kenako kalolile bhushemi bho mbogo bho ng’wa munhu nhebhe. Imbogo ili ndimu nhaale iyo igikalaga ng’wipolu niyo ili nhali gete.
Olihoyi munhu uyo oli ngagaja ogwita mihayo midamu umuwikaji bhokwe kunguno ya bhuguzu bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agagema uguishema imbogo yiniyo mpaga yumfuganja gumulaga kunguno ya bhugagaja bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagankumwa bho bhogung’wila giki “munhu ntale alishema mbogo!”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agatumamaga milimo iyo yinkilile ubhudula bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo adiganikaga chiza haho atali ugwandya uguitumama imilimo yakwe yiniyo kunguno ya gwigimba bho bhuguzu bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguimala chiza imilimo yakwe kunguno ya guyandya guitumama bho nduhu ugwiganika chiza gokwe gunuyo.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agagema guishema mbogo uiduma, kunguno nuweyi agadumaga uguyimala chiza imilimo yakwe iyo agayandyaga guitumama bho nduhu ugwiganika chiza chiniko, umubhutumami bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagankumwaga bho gung’wila giki, “munhu ntale alishema mbogo!”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gutumama milimo iyo bhaidulile bho gwiganika chiza hayo bhatali uguyandya iguitumama, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho.
Mathayo 24:13.
Waroma 12:11.
KISWAHILI: MTU MKUBWA ANAMKAMUA NYATI!
Msemo huo huongelea ukamuaji wa nyati wa mtu fulani. Nyati ni myama mkubwa anayeishi porini tena ni mkali sana. Alikuwepo mtu aliyekuwa akijaribu kufanya mambo makubwa maishani mwake, kwa sababu ya nguvu zake. Mtu huyo alijaribu kumkamua huyo Nyati ambaye alimkurupusha mwanadamu huyo mpaga karibu ya kumuua kwa sababu ya uthubutu wake huo wa kujaribu hata kile kinachozidi uwezo wake. Ndiyo maana watu walimshangaa kwa kumwambia kwamba, “mtu mkubwa anamkamua nyati!”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huanza kufanya kazi ambazo hana uwezo nayo, katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi zake bila kufikiria vizuri kwanza kabla hajaanza kuzitekeleza kwa sababu ya kujidai kwake kuwa na nguvu. Yeye hushindwa kuzimaliza kazi zake kwa sababu ya kuanza kuzitekeleza kwake huko bila kufikiria vizuri kwanza, maishani mwake.
Mtu huyo hufanana na yule aliyejaribu kumkamua nyati akashindwa, kwa sababu naye hushindwa kuzimaliza kazi anazozianzisha bila kufikiri kwanza vizuri, katika utekelezaji wa majukumu yake hayo. Ndiyo maana watu humshangaa kwa kumwambia kwamba, “mtu mkubwa anamkamua nyati!”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kutekeleza kazi wanazoziweza kwa kufikiria vizuri kwanza kabla hawajanza kuzifanya, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.
Mathayo 24:13.
Waroma 12:11.

ENGLISH: A BIG MAN IS MILKING A BUFFALO!
This saying refers a someone how was milking a buffalo. The buffalo is a large animal that lives in the wild and is very fierce. There was a man who was trying to do great things in his life, because of his strength. He tried to milk the Buffalo which attached him near to death because of his determination of trying even what was beyond his ability. That is why people surprised him by telling him that, “a big man is milking a buffalo!”
This saying is compared to a person who starts doing tasks that he is not capable of, in his life. Such person, begins to do his work without thinking well first before he begins to implement it because of his self-assertion to be strong. He fails to complete his tasks because of doing them without researching or thinking well first, in his life.
This person is similar to the one who tried to milk a buffalo and failed, because he also fails to finish the tasks which he starts without thinking first in his duties. That is why people surprise him by telling him that, “a big man milks a buffalo!”
This saying installs in people an idea of performing tasks that they are capable of by thinking well first before doing them, so that they can get a lot of successes, in their lives.
Matthew 24:13.
Romans 12:11.