Akahayile kenako kahoyelile higulya ya bhulungi bho ligundo bho ng’wa munhu nebhe. Olihoyi munhu uyo agasola ng’wenda go ng’wiye ugulunga ligundo aha lupende, alihaya giki adabhonilwe na bhanhu. Gashinaga abhanhu bhamonaga aho aligulinga iligundo ung’wenda gunuyo. Hunagwene bhagang’wila giki, “onungilaga munhu igundo.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ondakilaga munhu uyo onhubhila, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga ondakilaga umunhu uyo umhubhila kunguno ya kulema kulekeja uyo gugang’helejaga guhaya gumaja shile. Uweyi agidumaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe kunguno ya bhupelanu bhokwe bhunubho ubho gulema gubhalekeja abhiye, umuwikaji bhokwe bhunubho.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agalunga ligundo ha ng’wenda go ng’wiye, kunguno nuweyi agikalaga obhapelanilaga abhanhu abho bhanhubhila. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “onungilaga munhu igundo.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na moyo go gwilekeja ulu bhidumaga, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho bho gwikala chiza, umuwikaji bhobho.
Mathayo 5:38 – 39, 41-45.
Mathayo 6:12-13.
KISWAHILI: AMEMFUNGIA MTU FUNDO.
Msemo huo huongelea juu ya ufungaji wa fundo wa mtu fulani. Alikuwepo mtu yule aliyechukua nguo ya mwenzake akaifunga fundo kwenye kona ya nguo akifikiri kwamba watu hawajamuona. Kumbe watu wamemuona alipokua akilifunga fundo kwenye konna ya nguo hiyo. Ndiyo maana watu hao walimwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwa amemkasirikia mtu aliyemkosea katika maisha yake. Mtu huyo, humkasilikia yule aliyemkosea kwa sababu ya kushindwa kumsamehe hali ambayo humpelekea kutaka kulipa kisasi. Yeye hukosana na watu wengi kwa sababu ya kukataa kusamehe kwake wale waliomkosea, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyefunga fundo kwenye kona ya nguo ya mwenzake, kwa sababu naye huwakasilikia wale waliomkosea katika maisha yake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amemfungia mtu fundo.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa kusameheana pale wanapokoseana, ili waweze kuzilea familia zao kwa kuishi vizuri, maishani mwao.
Mathayo 5:38 – 39, 41-45.
Mathayo 6:12-13.

ENGLISH: HE HAS TIED SOMEONE A KNOT.
This saying refers to the tying of someone’s knot. There was the man who took his friend’s clothes and tied a knot in the corner of the clothes, thinking that people had not seen him. But people have seen him growing up tying such knot in the corner of such dress. That is why they told him that, “he has tied someone a knot.”
This saying is compared to the person who easily becomes angry with another one who wronged him in his life. Such person becomes angry with the one who wronged him because of his inability to forgive others, which leads him to want to take revenge. He conflicts with many people because of his refusal to forgive those who wronged him, in his life.
This person is like the one who tied a knot in the corner of his friend’s clothes, because he is also angry with those who wronged him in his life. That is why people tell him that, “he has tied someone a knot.”
This saying teaches people on how have a heart of forgiving each other when they wrong each other, so that they can raise their families by living well, in their lives.
Matthew 5:38-39, 41-45.
Matthew 6:12-13.