1106. GAB’I MANHUBYA AGIKALAGA NUMA.

Akahayile kenako kahoyelile higulya ya mayagamba ga nhubya. Amayagamba genayo gali mang’ombe magosha ayo gakula mpaga guganamhala chiza. Agoyi gagikalaga numa ulu jilisiminza ing’ombe kunguno ya bhukuji bhogo. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “Gab’i manhubya agikalaga numa.”

Akahayile kenako, kagalenganijiyagwa kuli namuge oha kaya uyo agabhalelaga chiza abhanhu bhakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalelaga abhanhu bhakwe bho gubhalanga gutumama milimo yabho chiza kunguno alina bhutogwa bhutale ukubhoyi. Uweyi agikalaga chiza na bhanhu bhakwe kunguno ya lilange lwake ilya gubhakuja chiza abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga na mayagamba ayo gakula mpaga guyikala kunuma ya lidale ilya ng’ombe ulu jilisiminza, kunguno nuweyi agabhatongelaga bho gubhalela chiza abhanhu bhake, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “gab’i manhubya agikalaga numa.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhakuja bhabyaji bhabho bho gubhalela chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala chiza na bhanhu bhabho, umuwikaji bhobho.

Waefeso 6:1-3.

Kutoka 20:12.

KISWAHILI: YAMEKUWA MAFAHALI YA KUKAA NYUMA.

Msemo huo huongelea juu ya mafahali ya Ng’ombe. Mafahali hao ni madume ya ng’ombe yaliyokuwa mpaka yakazeeka vizuri. Yenyewe huwa nyuma ya kundi la ng’ombe wanapotembea kwa sababu ya uzee huo. Ndiyo maana watu husema kwamba, “yamekuwa mafahali ya kukaa nyuma.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mzee wa mji ambaye huwalea vizuri watu wake katika maisha yake. Mtu huyo, huwalea watu wake hao kwa kuwafundisha kufanya kazi zao vizuri, kwa sababu ya upendo wake mkubwa alio nao kwao. Yeye huishi vizuri na watu wake kwa sababu ya malezi yake ya kuwakuza vizuri wake wake hao, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na yale mafahali yaliyokua mpaka yakaanza kubaki nyuma wakati wa kutembea, kwa sababu naye huwaongoza kwa kuwalea vizuri watu wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yamekuwa mafahali ya kukaa nyuma.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwaheshimu wazazi wao kwa kuwatunza vizuri, ili waweze kupata Baraka za kuishi vizuri na wenzao, maishani mwao.

Waefeso 6:1-3.

Kutoka 20:12.

bull-1

ENGLISH: THEY HAVE BECOME BULLS OF STAYING BEHIND.

The overhead saying talks about the bulls of cattle. These bulls are male cattle that were well aged. They normally walk behind the herd of cows when they walk because of that old age. That is why people say that, “they have become bulls of staying behind.”

This saying is compared to the old man of the family who takes good care of his people in his life. Such man, brings up his people by teaching them to do their jobs well, because of his great love to them. He lives well with his people because of his good upbringing enough to raise his people well, in his life.

This man resembles those grown up bulls until they started to lag behind while walking, because he also leads his people by raising them well, in his life. That is why people tell him that, “they have become bulls of staying behind.”

This saying teaches people about respecting their parents by taking good care of them, so that they can get blessings of living well with their people, in their lives.

Ephesians 6:1-3.

Exodus 20:12.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.