Akahayile kenako kahoyelile higulya ya jisumbwa ijo jigikilaga jigusija nkila gojo bho nduhu ugutumama imilimo. Yalihoyi Nva iyo ikalaga itula nkila bho nduhu nulu gumoka ulu yabhonaga ginhu josejose, kunguno ya bhobha bhoyo. Iyoyi yapelaga yagibhisa uluyukangwa na ginhu josejose mpaga abhinikili bhayo bhuyidalaha nose kunguno yalidina solobho yoseyose ukubhoyi. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagiitana giki, “jinuka nkila.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalahilwe na bhiye kunguno ya bhugokolo bho kuleka gutumama milimo aha kaya yakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikikalaga wigashije duhu kunguno ya bhugokolo bhokwe ubho kulema gutumama nimo gosegose umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga ukoya na nzala bhuli makanza aha kaya yakwe kunguno ya bhujidatumama milimo bhokwe bhunubho umukikalile kakwe.
Umunhu ung’wunuyo agikolaga ni Nva iyo yalidatumamaga nimo gose jose, kunguno nuweyi alingokolo ugutumama imilimo aha kaya yakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “Jinuka Nkila.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka nhungwa ja bhugokolo bho guleka gutumama milimo bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho yiniyo, kugiki bhadule gupandika jiliwa ja gubhambilija chiza umuwikaji bhobho.
KISWAHILI: KICHAPA MKIA.
Msemo huo huongelea juu ya kiumbe ambacho huwa kinachezea mkia wake bila kufanya kazi. Alikuwepo mbwa mmoja aliyekuwa akichezea mkia wake bila hata kubweka anapoona kitu chochote, kwa sababu ya uoga wake. Mbwa huyo alidharauliwa na wamiliki wake akionekana kuwa hana faida yoyote kwao kwa sababu ya uoga wake huo wa kukimbia kujificha kila anashitulilwa na kitu fulani. Ndiyo maana watu hao walimuita kuwa ni “kichapa mkia.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kutokufanya kazi nyumbani kwake hali ambayo hupelekea kudharauliwa na wanafamilia wa hapo. Mtu huyo, hupendelea kukaa tu bila kufanya kazi kwa sababu ya uvivu wake huo wa kuogopa kufanya kazi yoyote katika maisha yake. Yeye husumbuliwa na tatizo la njaa kwa kwa sababu ya kukosa chakula hali ambayo husababishwa na tabia yake ya uvivu wa kutokufanya kazi, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule mbwa asiyefanya kazi yoyote, kwa sababu naye na uvivu wa kutokufanya kazi katika familia yake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kichapa mkia.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya uvivu katika kazi, kwa kujibisha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata chakula cha kuwasaidia vizuri katika maisha yao.
Zaburi 38:7.
Zaburi 46:1-3.
2Wakorintho 6:5-6.

ENGLISH: A TAIL WHIPPER.
This saying refers to a creature that stays idly. It only plays with its tail without working. There was a dog that was playing with its tail without even barking when it saw anything, because of its fear. Such dog was despised by his owners as it seemed to be of no use to them because of its distress that made it run away to hide whenever it was disturbed by something. That is why those people called it a “tail whipper.”
This saying is related to a person who is lazy as he spends his time by not work at home. Such situation leads him to being despised by his family members. Such man prefers to stay idle because of his laziness and fear of doing any work in his life. He suffers from hunger due to lack of food at his home, a situation that is caused by his lazy behavior of not working.
This man resembles to the dog that did not do any work, because he also has laziness of not working at his family. That is why people call him the “tail whipper.”
This saying, imparts in people an idea of abandoning a habit of laziness, by forcing themselves to carry out their works well, so that they can get food that can nicely help them in their lives.
Psalm 38:7.
Psalm 46:1-3.
2 Corinthians 6:5-6.
Nalirumba hate Sana bha bhabha na bha mayu abho muliyena I mihayo ya gulanga iyi
LikeLike