Tanzania

1357. JALIWA NA BHANDELEBEYA.

Ulusumo lunulo luhoyelile bhandelebeya abho bhali bhanhu abho bhadina wikalo. Abhanhu bhenabho bhagasola mhiya ja ng’wa munhu uyo agabhalekela bho nduhu ugubhitila bhukengeji wiza kunguno ya gukija gwitegeleja gokwe chiza umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo aho bhajisola abhanhu bhelabho imhiya jakwe agandya guyubhachola bho guja agubhujaga kubhanhu ulu bhabhabhonaga. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wila giki imhiya jakwe “jaliwa na bandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhinhaga bhanhu sagala ijikolo jakwe bho nduhu ugubhitila bhukengeji ubho gung’wambilija gubhadebha chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe abho bhajimilaga najo kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gubhitila bhukengeji bho gubhadebha chiza haho atali ugubhalekela ijikolo jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajimijaga sabho ninyi noyi aha kaya yakwe kunguno ya kubhalekela bhanhu abho bhadina wikaji bho gumanyika chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agasojiwa mhiya jakwe na bhanhu abhadina wikalo abho agabhalekela, kunguno nuweyi agabhinhaga bhanhu sagala isabho jakwe mpaga bhajimila najo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki isabho jakwe jinijo “jaliwa na bhandelebeya.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka kubhalekela bhanhu sagala isabho jabho, kugiki bhadule gujilanhana chiza isabho jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

KISWAHILI: ZIMELIWA NA WATU WASIO NA MAKAO.

Methali hiyo huongelea watu wasio na makao ambao ni wale wanaoishi katika sehemu isiyojulikana vizuri. Watu hao walichukua pesa za mtu aliyewaachia bila ya kuwafanyia utafiti mzuri kwa sababu ya kukosa umakini wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, maishani mwake.

Mtu huyo, alianza kuwatafuta watu wale waliozichukua pesa zake kwa kuwauliza watu kama wamewaona. Ndiyo maana wale watu walimwambia kwamba, pesa zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwapatia watu hovyo mali zake bila ya kuwafanyia utafiti wa kumsaidia kuwafahamu vizuri, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaachia watu hovyo mali zake hizo ambao hupotea nazo kwa sababu ya kukosa umakini wa kuwafanyia utafiti wa kuwafahamu vizuri, maishani mwake. Yeye huzipoteza hovyo mali za kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya kuwaachia watu hao asiyowafahamu vizuri, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaachia pesa zake watu wasio na makao ambao walipotea nazo, kwa sababu naye huwapatia watu hovyo mali zake mpaka wanapotea nazo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba mali zake hizo “zimeliwa na watu wasio na makao.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kuwaachia mali zao watu wasio wafahamu vizuri, ili waweze kuzitunza vizuri mali zao hizo, maishani mwao.

Walawi 19:13.

Zaburi 119:78.

Mithali 22:22.

Yeremia 22:17.

 

ENGLISH: THEY HAVE BEEN EATEN BY HOMELESS PEOPLE.

This proverb refers to homeless individuals who live in an unknown place. These persons took money of a person who left it carelessly. He left such money without doing proper research because of a lack of responsiveness enough to aid him get to know what kind of people who were there at that time.

This person began to look for people who took his money by asking people if they had seen them. That is why the people told him about his money that “they have been eaten by homeless people.”

This proverb is related to a person who gives his wealth to individuals without doing any research that can support him enough to recognize them well in his life. This person gives his wealth to people without doing any research which can support him enough to know them well in his life. He loses his family’s wealth because of leaving it to people whom he does not know well in his life.

This person is like the one who left his money to the homeless ones who lost it, because he also gives his wealth to people carelessly until they lose it in his life. That is why people say to him about his wealth that, “they have been eaten by homeless people.”

This proverb imparts in people an idea of being so cautious enough to not leave their wealth to people whom they do not know well, so that they can take upright carefulness of their wealth in their lives.

Leviticus 19:13.

Psalm 119:78.

Proverbs 22:22.

Jeremiah 22:17.

 

money-1477064_1280

1356. OHUMUJA.

Bhalihoyi bhanhu bha kaya imo abho bhikalaga bhagwiyojaga ku likanza lilihu. Abhanhu bhenabho bhali bhipelanya kunguno ya mabala gabho ayo bhayogelaga.

Lushigu lumo agigela munhu uyo agabhenganija chiza mpaga bhuhumula kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umunhu ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bha munzengo aho bhabhona chene bhagayomba giki, “ohumuja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli ntongeji obhanhu bha muchalo uyo agabhatongelaga chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe. Untongeji ng’wunuyo, alina bhutogwa bho gubhatongela chiza abhanhu mpaka bhang’wigwa chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilijaga abhanhu bha muchalo jakwe jinijo mpaka bhagamala amakoye gabho, kunguno ya bhutungilija chokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Untongeji ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhayangula abhanhu abho bhalibhiduma mpaga nowe bhidebha chiza, kunguno nuweyi agabhatongelaga chiza abhanhu mkaga bhang’wigwa, umuchalo jakwe jinijo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ohumuja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhatongela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala bho mholele na bhuyegi bhutale umuchalo jabho.

Isaya 9:6.

Yeremia 10:10.

Zakaria 9:9.

KISWAHILI: AMENYAMAZISHA.

Walikuwepo watu wa kwenye familia moja waliokuwa wakizozana kwa muda mrefu. Watu hao walikasilikiana kwa sababu ya kugombania mashamba.

 Siku moja alipatikana mtu aliyewapatanisha vizuri mpaka wakanyamaza kwa sababu ya uaminifu wake wa kutenda haki mtu huyo. Ndiyo maana watu walipoona hivyo walisema kwamba, “amenyamazisha.”

Msemo huo hulinganishwa kwa kiongozi wa kijiji ambaye huwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Kiongozi huyo, ana upendo wa kuwaongoza vizuri watu wake mpaka wanamsikiliza vizuri, kwa sababu ya uaminifu wake huo, maishani mwake. Yeye huwasaidia watu kwenye kijiji chake hicho mpaka anayamaliza matatizo yao kwa sababu ya uaminifu wake huo, katika maisha yake hayo.

Kiongozi huyo, hufanana na yule aliyewapatanisha watu waliokuwa wamekosana mpaka mwishowe wakaelewana vizuri, kwa sababu naye huwaongoza vizuri watu wake mpaka wanasikilizana, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amenyamazisha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwaongoza vizuri watu wao, ili waweze kuishi kwa amani na furaha kubwa, katika kijiji chao.

Isaya 9:6.

Yeremia 10:10.

Zakaria 9:9.

 

ENGLISH: HE HAS SILENCED THEM.

There were people in the same family who had been fighting for a long time. They were angry with each other because of fighting over land.

One day, a man was found who reconciled them well until they became silent because of that man’s honesty in doing justice. That is why when people saw that, they said, “He has silenced them.”

This saying is paralleled to a village leader who leads his people well in his life. This leader has an interest of leading his people well until they listen to him well because of that honesty in his life. He supports people who live in his village until he solves their glitches because of that honesty in his life.

This leader resembles the one who reconciled the people who had been fighting until they finally understood each other well, because he also leads his people well until they listen to each other in his life. That is why people say to him, “he has silenced them.”

This saying teaches people about being truthful enough to lead their people well, so that they can live in peace and great happiness in their village.

Isaiah 9:6.

Jeremiah 10:10.

Zechariah 9:9.

 

samburu-4434184_1280

1355. IGUGWESAGWA NH’AWA.

Akahayile kenako kahoyelile ndiimi o mitugo uyo agilendeja mpaga nose untugo gokwe gusolwa na mbiti. Undiimi ng’wunuyo, odimaga nholo, mbuli na ng’ombe. Nholo yakwe igasolwa na mbiti bho nduhu ugumana uweyi kunguno ya wilendeja bhokwe bhunubho mpaga nose abhanhu bhujibhona imbiti jiliyigwesa. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomba giki, “igugwesagwa nh’awa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adajilanhanaga chiza ijikolo jakwe, umukikalile kakwe. Umungu ng’wunuyo agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe jinijo mpaga nose jajimila kunguno ya gugayiwa witegeleja bho kujilanhana chiza isabho jakwe jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa isabho ja gung’wambilija aha kaya yakwe kunguno ya kujilekanija sagala mpaga nose jajimila ijikolo jakwe jinijo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ndiimi omitugo uyo agilendeja mpaga nose yusolwa na mbiti inholo yakwe, kunguno nuweyi agajilekanijaga sagala ijikolo jakwe mpaga nose jajimila, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki isabho yakwe “igugwesagwa nh’awa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhanha chiza ijikolo jabho, kugiki jidule gubhambilija chiza, umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mithali 27:18.

Mithali 29:10.

Yeremia 39:11-12.

1Wathesalonike 2:7.

KISWAHILI: ANAVUTWA NA FISI.

Msemo huo huongelea juu ya mchungaji wa mifugo aliyejisahau mpaka mwishowe kondoo wake akachukuliwa na fisi. Mchungaji huyo, alikuwa akichunga kondoo, mbuzi, na ng’ombe. Kondoo wake alichukuliwa na fisi bila ya yeye kufahamu kwa sababu ya kujisahau kwake huko mpaka mwishowe watu wakawaona fisi wakimvuta kondoo huyo. Ndiyo maana watu hao walisema “anavutwa na fisi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hazitunzi vizuri mali zake katika maisha yake. Mtu huyo, huvitelekeza hovyo vitu vyake hivyo mpaka mwishowe vinapotea, kwa sababu ya kutovitunza vizuri vitu vyake hivyo, maishani mwake. Yeye huishiwa mali katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzitelekeza hovyo mali zake hizo mpaka mwishowe zinapotea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mchungaji aliyejisahau mpaka kondoo wake akachukuliwa na fisi, kwa sababu naye huvitelekeza hovyo vitu vyake mpaka mwishowe vinapotea, maishani mwake. Ndiyo maana watu wanaoziona mali zake zikipotea hivyo humwambia kwamba, “anavutwa na fisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvitunza vizuri  vitu vyao, ili viweze kuwasaidia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Mithali 27:18.

Mithali 29:10.

Yeremia 39:11-12.

1Wathesalonike 2:7.

 

ENGLISH: IT IS BEING DRAGGED BY A HYENA.

This proverb talks about a shepherd who forgot himself until finally his sheep was taken by a hyena. The shepherd was herding sheep, goats, and cattle. His sheep was taken by a hyena without him knowing because of his forgetfulness until people saw the hyenas dragging it. That is why those people said that “It is being dragged by a hyena.”

This proverb is matched to a person who does not take decent care of his possessions in his life. This person neglects his belongings until they are eventually lost, because of not taking respectable precaution of his belongings in his life. He runs out of wealth in his family because of neglecting his belongings until they are eventually lost in his life.

This person is like the shepherd who forgot himself until his sheep was taken by a hyena, because he also neglects his belongings until they are eventually lost in his life. That is why people who see his possessions disappearing like that tell him that, “it is being dragged by a hyena.”

This proverb instills in people a clue about being cautious enough to take respectable carefulness of their belongings so that they can support them well in their families in their lives.

Proverbs 27:18.

Proverbs 29:10.

Jeremiah 39:11-12.

1Thessalonians 2:7.

 

nature-3151328_1280

1354. NG’WIZA OJISAB’O.

Bhalihoyi bhanhu abho bhalibhasuga ng’ombe ya mabhele umuchalo ja Ng’watuma. Ing’ombe yiniyo, yabhisolaga mabhele mingi noyi ayo bhagasegesaga mujisabho abhanhu bhenabho kunguno bhahayaga kupandika mabhele gabhusegese na maguta ga gutwila mumakubhi. Ing’ombe yiniyo yokajaga mabhele mujisab’o kunguno ya wingi wogo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagiiyinika ing’ombe yiniyo giki, “ng’wiza ojisab’o.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nsabhi uyo agajitumamilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu, umukikalile kakwe. Unsabhi ng’wunuyo agajitumamilaga isabho jakwe jinijo bho gubhagunanha abhanhu abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agenhaga bhuyegi kubhanhu bhingi abho agabhambilijaga mpaga bhagamala wangu amakoye gabho genayo, kunguno ya bhutogwa na wizanholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Unsabhi ng’wunuyo, agikolaga ni ng’ombe iyo yabhisulaga mabhele mingi mpaga bhagasegesa abhanhu, kunguno nuweyi agajitumilaga isabho jakwe bho gubhambilija bhanhu mpaga bhagamala wangu amakoye gabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “ng’wiza ojisab’o.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa na wizanholo bho gujitumamila isabho jabho bho gubhambilija abhichabho abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genayo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Hesabu 11:8.

Kumbukumbu la Torati 8:7-8.

Yeremia 40:10.

Yoeli 2:19.

KISWAHILI: MZURI MWENYE KIBUYU.

Walikuwepo watu waliofuga ng’ombe mwenye mazima katika kijiji cha Mwatuma. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa mazima mengi sana ambayo walikuwa wakiyachekecha kwenye kibubu kwa sababu walitaka kupata siagi na mafuta ya kupikia chakula. Ng’ombe huyo, alikuwa akitoa maziwa yaliyojaza kibuyu kwa sababu ya wingi ya wazima yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa tajiri yule ambaye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu, katika maisha yake hayo. Tajiri huyo, huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wanaokumbwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka, kwa sababu ya ukarimu na upendo wake huo, maishani mwake. Yeye huleta furaha kubwa kwa watu wengi anaowasaidia mpaka wanayamaliza haraka matatizo yao kwa sababu ya upendo na ukarimu wake huo, katika maisha yake.

Tajiri huyo, hufanana na yule ng’ombe aliyekuwa akitoa maziwa mengi mpaka watu wakawa wanayachekecha ili kupata siaji na mafuta, kwa sababu naye huzitumia mali zake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mpaka wanayamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzuri mwenye kibuyu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo na ukarimu wa kuzitumia mali zao kwa kuwasaidia wenzao wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyamaliza haraka matatizo hayo, maishani mwake.

Hesabu 11:8.

Kumbukumbu la Torati 8:7-8.

Yeremia 40:10.

Yoeli 2:19.

 

ENGLISH: “THE GOOD ONE OF A CALABASH.”

There were folks who raised a cow with a calabash in the village of Mwatuma. The cow used to give a lot of milk that they used to shake in a calabash for getting butter and cooking oil. Milk of such cow filled a calabash because it was abundant. That is why individuals called it “the good one of a calabash.”

This saying is compared to a rich man who uses his wealth for supporting people in his life. This rich man uses his wealth to aid those who suffer from various hitches so that they can quickly solve them, because of his generosity and love, in his life. He brings great joy to several persons whom he aids until they quickly solve their glitches because of his love and generosity in his life.

This rich man resembles the cow that gave so much milk from which people got butter and oil, because he also uses his wealth for aiding individuals who are trouble until they quickly solve those glitches. That is why they call him “the good one of a calabash.”

This saying imparts in individuals an idea of being generous enough to use their wealth for supporting others who suffer from various complications so that they can quickly solve those troubles in their lives.

Numbers 11:8.

Deuteronomy 8:7-8.

Jeremiah 40:10.

Joel 2:19.

 

cow-7425394__480

1353. NAGABHONA MAKANGALASI.

Aho kale olihoyi munhu uyo agageniha ha kaya ya ng’wa munhu nhebhe. Abhanhu bha ha kaya yiniyo, bhambokela chiza noyi bho gung’winha malya managaluku ayo galigikujo litale, kunguno ya wizanholo bhobho bhunubho umuwikaji bhokwe. Hunagwene ungeni ng’wunuyo aho olya chiza agayomba giki, “nagabhona makangalasi.”

Akahayile kenako kagalenanijiyagwa kuli munhu uyo aling’wiza nholo aha kaya yakwe umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agabhabokelaga abhageni bhakwe chiza bho gubhagalila jiliwa jisoga noyi kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho ubho gubhagalila chiza abhageni bhakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na bhanhu bha ha kaya iyo igangalila chiza ungeni obho, kunguno nuweyi agabhabokelaga na gubhagalila chiza abhageni bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunhubho. Hunagwene umo o bhageni bhakwe bhenabho agayomba giki, “nagabhona makangalasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wizanholo bho gubhabokela na gubhagalila chiza abhageni bhabho kugiki bhadule gupandika mpango ja gwikala na bhuyeji bhutale umukaya jabho jinijo.

Mwanzo 21:8.

Isaya 22:6.

Esta 2:18.

Mithali 15:15.

KISWAHILI: NIMEONA CHAKULA KITAMU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetembelea kwenye familia ya mtu fulani. Watu wa kwenye familia hiyo, walimpokea vizuri na kumpikia chakula kitamu cha heshima kubwa, kwa sababu ya ukarimu wao huo, maishani mwao. Ndiyo maana yule mgeni alipokula kile chakula alisema kwamba, “nimeona chakula kitamu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mkarimu kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwapokea wageni wake vizuri na kuwaandalia chakula kitamu kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuwatunza vizuri wageni wake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale watu wa kwenye familia ile iliyo mkarimu vizuri mgeni wao, kwa sababu naye huwapokea vizuri na kuwapikia chakula kizuri wageni wake, maishani mwake. Ndiyo maana mmoja wa wageni hao husema kwamba, “nimeona chakula kitamu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwapokea na kuwatunza vizuri wageni wao, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao, mashaini mwao.

Mwanzo 21:8.

Isaya 22:6.

Esta 2:18.

Mithali 15:15.

man-481425_1280

ENGLISH: I HAVE SEEN A DELICIOUS MEAL.

Once upon a time, there was a man who visited a certain family. The individuals of that family welcomed him well and cooked him a delicious meal of great respect, because of their hospitality in their lives. That is why when the guest ate the meal said, “I have seen a delicious meal.”

This saying is matched to a person who is generous in his family in his life. This person welcomes his guests well and prepares for them a delicious meal because of his hospitality in his life. He lives with various persons in his family because of his hospitality of taking decent care of his guests in his life.

This person is similar to the people of that family who were generous to their guests, because they also welcome them well and cook decent foodstuff for their guests in their lives. That is why one of those guests says, “I have seen a delicious meal.”

This saying teaches people about being hospitable enough to receive and take upright care of their guests, so that they can receive blessings of living happily in their families in their homes.

Genesis 21:8.

Isaiah 22:6.

Esther 2:18.

Proverbs 15:15.