sayings

1448. BHULI NDUMA YINA NDUMA NYIYE.

Aho kale olihoyi ntongeji o muchalo jimo umubhutemi bho bhuduhe. Untongeji ng’wiyuno ofunyaga long’we umuchalo jakwe ya gubhawila abhanhu bhakwe gwitimija iyo ayitogilwe uweyi kunguno ya bhutale bhokwe bhunubho. Uweyi agageniha ugafunya long’we muchalo ja bhange kunguno oliadajidebhile chiza inbinbi ja bhugelelo bho chalo jakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinibhengwe kubhiye lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe.  Umunhu ng’wunuyo agayombaga mihayo yakwe bho gubhadalahija abhiye umumahoya gakwe kunguno ya libhengwe lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga widuma na bhanhu bhuli makanza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya libhengwe lyakwe linino ilya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikologa nu ntongeji uyo oliadajimanile inbinbi ja chalo jakwe mpaga nose ugafunya long’we muchalo ja bhangi, kunguno nuweyi alinibhengwe lya guyomba mihayo yakwe bho nduhu gubhiza na lubhimbi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “bhuli nduma yina nduma nyiye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guchagulila mihayo miza ulubhalihoya na bhanhu bhabho umumahoya gabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

KISWAHILI: KILA MKUBWA ANA MKUBWA WAKE.

Hapo zamani alikuwepo kiongozi wa kijiji kimoja katika utawala wa bhuduhe. Kiongozi huyo, alikuwa akitoa amri kwa watu wake ya kuwaambia watekeleze kile alichokitaka yeye kwa sababu ya ukubwa wake huo. Yeye alienda ugenini akaanza kutoa amri kwenye kijiji ambacho siyo chake, kwa sababu hakuifahamu vizuri mipaka ya kijiji chake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anadharau kwa wenzake ya kuongea maneno bila ya kuwa na mipaka, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea maneno yake kwa kuwadharau wenzake katika maongezi yake hayo kwa sababu ya dharau yake hiyo kwa wenzake, maishani mwake. Yeye hukosana na watu wake mara nyingi katika familia yake kwa sababu ya dharau yake hiyo ya kuongea maneno bila kuwa na mipaka, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule kiongozi asiyeielewa mipaka yake mpaga akatoa amri kwenye kijiji cha mwingine, kwa sababu naye anadharau ya kuongea maneno yake bila ya kuwa na mipaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “kila mkubwa ana mkubwa wake.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuchagua vizuri maneno ya kuongea na watu katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 13:45-47.

Isaya 28:10-13.

 

ENGLISH: EVERY BIG HAS HIS BIG.

Once upon a time, there was a village leader in the Bhuduhe administration. Because of his position and authority, he often gave orders to his people, expecting everyone to obey him. One day, he traveled abroad and began giving orders to people in another village that was not under his leadership. He did this because he did not understand the boundaries of his authority. That is why people said to him, “every big has his big.”

This saying is compared to a person who is disrespectful to his peers by speaking without limits in his life. Such a person talks carelessly and despises others through his words. Because of this behavior, he often quarrels with members of his family and community. His problem is not strength or wisdom, but the failure to know when and how to speak with respect.

That person is like the village leader who did not understand his limits and gave orders in another man’s village. In the same way, he speaks as if no one is above him, forgetting that there is always someone greater or wiser. That is why people remind him by saying, “every big has his big.”

This saying teaches people to be careful with their words and to respect boundaries when speaking to others. By choosing the right words and knowing their limits, people can live peacefully and raise their families well in their lives.

Acts 13:45–47.

Isaiah 28:10–13.

 

 

 

 

1445. INHANDA IGAPUGIJIYAGWA KULE.

Imbuki ya lusumo lunulo ihoyelile ningi o ndimu yose yose iyo ilinhanda. Uningi o ndimu yiniyo agatumilaga masala mingi uguilinga indimu yiniyo mpaga oipuja kunguno adadulile uguipuja bho guibhulugutila sagala. Uweyi agayizaga bho chiza chiza, haho itali kule kunguno idulule gunemaja ulu wiyegela sagala sagala. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo adebhile ugwikala chiza nu munhu unshilimu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agahoyaga nu munhu unshilimu bho gutumila masala mingi ayo gagang’wambilijaga ugwikala chiza nanghwe, nulu gunanda jiloko kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga bho mholele nu munhu unshilimu ng’wunuyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ningi o ndimu uyo agatumila masala mingi mpaga wipuja bho kule indimu inhanda yiniyo, kunguno nuweyi agatumilaga masala mingi mpaga wikala chiza nu munhu unshilimu ng’wunuyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “inhanda igapugijiyagwa kule.”

Ulusumo lunulo lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhambilija ugutumama milimo yabho na gwikala chiza na bhanhu, kugiki bhadule kupandika matwajo mingi umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:1-8.

KISWAHILI: MJANJA HUNASWA KWA MBALI.

Chanzo cha methali hiyo huongelea mwindaji wa mnyama yeyote yule ambaye ni mjanja. Mwindaji wa mnyama huyo hutumia akili nyingi za kumwinda mnyama huyo mpaka anafanikiwa kumnasa kwa sababu hawezi kumnasa kwa kumuijia hovyo. Yeye humwendea polepole akiwa mbali kwa sababu mnyama huyo anaweza hata kumjeruhi akimwendea hovyo. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeelewa kuishi vizuri na mtu mjanja, katika maisha yake. Mtu huyo, huongea na mtu mjanza kwa kutumia akili nyingi ambazo humsaidia katika kuishi naye vizuri hata hufikia hatua ya kumuazima vitu, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye huishi kwa amani na mtu mjanja kwa sababu ya umakini wake huo katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwindaji aliyetumia akili nyingi mpaka akamnasa kwa mbali mnyama mjanja, kwa sababu naye hutumia akili nyingi mpaka anaweza kuishi vizuri na mtu mjanja, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “mjanja hunaswa kwa mbali.”

Methali hiyo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kutumia akili nyingi katika kuyatekeleza majukumu yao na kuishi na watu wao vizuri, ili waweze kupata maendeleo mengi, maishani mwao.

Luka 16:1-8.

ENGLISH: “A CUNNING ONE IS CAUGHT FROM A DISTANCE.”

This proverb originates from the experience of a hunter pursuing a dangerous or cunning animal. Such an animal cannot be captured by approaching it carelessly or directly, because it may escape or even harm the hunter. Instead, the hunter must use patience, strategy, and intelligence, observing the animal carefully and approaching it slowly from a safe distance until the right moment comes. Because of this careful method, people say, “a cunning one is caught from a distance.”

The proverb teaches that dealing with a clever, difficult, or cunning person requires wisdom and careful thinking. One cannot interact with such a person casually or emotionally. Instead, a person must use intelligence, attentiveness, and self-control in communication and actions.

A wise person knows how to speak carefully, act thoughtfully, and relate peacefully even with a cunning person. Through wisdom and patience, he may live well with such a person, borrow from him, work with him, or coexist without conflict. Peace is maintained not by confrontation, but by understanding and prudence.

This wise person resembles the hunter who successfully captured a cunning animal by using intelligence and distance rather than force. In the same way, he manages relationships wisely, avoiding unnecessary danger while still achieving his goals in life. That is why it is said, “a cunning one is caught from a distance.”

The proverb teaches people to act wisely and intelligently in their daily duties and relationships. Careful thinking, patience, and strategic behavior help a person make progress in life and live peacefully with others, even in challenging situations.

This wisdom is reflected in Luke 16:1–8, where Jesus praises the shrewd manager, not for dishonesty, but for acting wisely and thoughtfully in a difficult situation. The passage highlights the value of prudence and intelligence in dealing with complex realities of life.

 

 

1443. MUUMBI.

Akahayile kenako kahoyelile nimo go guubhumba jikolo. Olihoyi munhu uyo obhunbaga nungu umuchalo ja gabhale. Umunhu ng’wunuyo ajibhuumbaga inungu ginijo jagulwa na bhanhu kunguno ojibhumbaga chiza. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “muumbi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agankujaga Mulungu umsumbi o jivumva jose, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agankujaga Mulungu bho gwikala na bhanhu chiza kunguno ya bhutungulija bhokwe ubho gudebha igiki abhenabho bhalijisumva jakwe Umsumbi o jose. Uweyi agabhalangaga abhanhu bhose gunzunya Mulungu bho gwikala nabho bho nhungwa jakwe ijawiza jinijo umubhulamu bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojibhumbaga chiza inungu jakwe mpaga abhanhu bhajigula, kunguno nuweyi abhalangaga abhanhu gunzunya Mulungu mpaga bhayikala na nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanga giki, “muumbi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhalanga gunzunya Mulungu umsumbi o ginhu jose, bho gwikala nabho chiza, kugiki bhadule gushiga Ng’wigulu.

Zaburi 104:24.

Mwanzo 1:1-3.

Mwanzo 2:1-4.

KISWAHILI: MUUMBAJI.

Msemo huo, huongelea kazi ya kuumba vitu. Alikuwepo mtu aliyekuwa akifinyanga vyungu katika kijiji cha Gabale. Watu walikuwa wakivinunua vyungu alivyovifinyaga mtu huyo kwa sababu alivitengeneza vizuri. Ndiyo maana watu walimuita jina la “muumbaji.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye humtukuza Mungu aliyeviumba vitu vyote, maishani mwake. Mtu huyo, huntukuza Mungu kwa kuishi na watu wake vizuri kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kutambua kuwa, hao ni viumbe wa huyo Muumba wa vyote. Yeye huwafundisha watu juu ya kumwamini Mungu kwa njia ya kuishi nao vizuri hivyo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefinyanga vyungu vyake vizuri mpaka watu wakavinunua, kwa sababu naye hugeuza mioyo ya watu kuwa mizuri, kwa kuwafundisha kumwamini Mungu, kwa njia ya maisha yake. Ndiyo maana watu humuita jina la “muumbaji.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuishi maisha yawafundishayo wenzao kumwamini Mungu, kwa kuishi nao vizuri, ili waweze kufika Mbinguni.

Zaburi 104:24.

Mwanzo 1:1-3.

Mwanzo 2:1-4.

 

ENGLISH: CREATOR

This saying refers to the work of creating. There was a man in the village of Gabale who made pots. He shaped them carefully and skillfully, and because his pots were strong and beautiful, people were eager to buy them. Because of his excellent work, the people called him a “creator.”

This saying is likened to a person who glorifies God, the Creator of all things, through his life. Such a person honors God by living well with others and by showing faithfulness, recognizing that all people are creatures of the one true Creator. Through his good conduct, he teaches others to believe in God.

Just as the potter carefully molded his pots until they were useful and desirable, this person shapes the hearts of others toward goodness by the example of his life. Through his actions and faith, he leads people closer to God. That is why he is also called a “creator.”

This saying teaches people to live in a way that inspires others to believe in God. By living peacefully, faithfully, and righteously with others, they guide their peers on the path that leads to Heaven.

Psalm 104:24.

Genesis 1:1–3.

Genesis 2:1–4.

 

1441. NILEKAGE NIYAGALULE.

Akahayile kenako kahoyelile bhanhu bhabhili abho bhikalaga kihamo. Abhanhu bhenabho bhalibhaduma ugujilanija lihamo kunguno uungi onkelelaga ung’wiye mpaga nose uikala na bhusunduhazu umumoyo gokwe. Ung’wiye ng’wunuyo aganoga nose ugwikala na bhusunduhazu bhunubho mpaga nose wiyangula gulekana nang’hwe. Hunagwene agayomba giki, “nilekage niyagalule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhitoji abho bhali na bhushilimu bho gwikelela, umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhuli ng’wene agiganikaga giki, alina masala mingi kulebha ung’wiye kunguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagadumaga uguyilela chiza ikaya yabho kuguno ya bhushilimu bhobho bhunubho, umukikalile kabho kenako.

Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagaduma ugwikala kihamo mpaga nose bhulekana, kunguno nabhoyi bhali na bhushilimu bho gwikelela mpaga nose bhaduma uguilela chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene bhuli gwene agiganikaga gung’wila ung’wiye giki, “nilekage niyagalule.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji hugulya ya guleka bhushilimu bho gwikelela kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 61:1-3.

Matendo 2:42.

Matendo 4:32.

Wagalatia 5:22.

Mathayo 18:20.

KISWAHILI: NIACHE HURU.

Msemo huo huongelea watu wawili walioishi pamoja. Watu hao walishindwa kuendana pamoja kwa sababu mmoja alikuwa na ujeuri wa kumpunja mwenzake mpaka mwishowe huyo mwenzake alianza kuishi kwa huzuni moyoni mwake. Mwenzake huyo, alichoka kuishi katika huzuni hiyo akaamua kuachana naye. Ndiyo maana alisema kwamba, “niache huru.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa wana ndoa wale wenye ujeuri wa kupunjana katika maisha yao. Watu hayo, kila mmoja hujifikiria kwamba ana akili nyingi kuliko mwenzake kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, maishani mwao. Wao hushindwa kuilea vyema familia yao hiyo kwa sababu ya ujeuri wao huo wa kudharauriana, katika maisha yao hayo.

Msemo huo hulinganishwa kwa wale walioshindwa kuishi pamoja mpaka mwishowe wakaachana kwa sababu nao wana ujeuri wa kudharaurina mpaka mwishowe wanashindwa kuilea vyema familia yao, maishani mwao. Ndiyo maana kila mmoja wao hufikiria kumwambia mwenzake kwamba, “niache huru.”

Msemo huo, hufundisha wana ndoa juu ya kuacha ujeuri wa kudharauriana katika maisha yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Isaya 61:1-3.

Matendo 2:42.

Matendo 4:32.

Wagalatia 5:22.

Mathayo 18:20.

 

ENGLISH: LET ME BE FREE

This saying speaks about two people who lived together but failed to live in harmony. One of them repeatedly despised and belittled the other. As a result, the one who was despised began to live with deep sadness in his heart. Eventually, tired of carrying this pain, he chose to leave. That decision gave rise to the words, “Let me be free.”

The saying is especially relevant to married couples who despise one another in their daily lives. Each spouse believes himself or herself to be wiser or more important than the other. This attitude of contempt destroys mutual respect and love, and as a result, such couples fail to raise their family well.

It also applies to people who were unable to continue living together and finally separated. Their relationship broke down because of constant belittling and lack of respect. When unity disappears and family life collapses, each person eventually feels compelled to say to the other, “Let me be free.”

This saying teaches married couples, and all who live in close relationships to abandon the violence of despising and belittling one another. Only through respect, love, and humility can families be built up and children be raised well.

Isaiah 61:1–3 – God’s mission of healing the brokenhearted and setting the oppressed free.

Acts 2:42 – The call to unity, fellowship, and shared life.

Acts 4:32 – Living together in one heart and mind.

Galatians 5:22 – The fruits of the Spirit that sustain healthy relationships.

Matthew 18:20 – God’s presence where people gather in unity.

 

1440. NAJA.

Aho kale olihoyi munhu uyo agasumba lugendo lo guja bhugeni. Umunhu ng’wunuyo agabhitana abhanwani bhakwe bhuja aha kaya yakwe kunguno ya gubhalaga. Aho bhaja abhanwani bhakwe bhenabho abhagabhawila giki bhikale mhola uweyi aligeniha. Hunagwene agayomba giki, “naja.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga chiza na bhanhu bha ha kaya yake. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga lilange lya gwikala bhitogilwe chiza bho gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitana gubhalaga abhanwani bhakwe aho ohaya gugeniha, kunguno nuweyi agajaga gujubhalanga lilange lya gwikala chiza na bhanhu umuwikaji bhokwe. Hunagwene ulu alibhalaga agayombaga giki, “naja.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gubhalela chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

KISWAHILI: NAENDA.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyetaka kusafiri kwenda ugenini. Mtu huyo aliwaita rafiki zake kwenda nyumbani kwake kwa sababu alitaka kuwaaga. Walipofika kwake wale rafiki zake aliwaambia wakae salama kwa sababu yeye alikuwa anaenda ugenini. Ndiyo maana aliwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi vizuri na watu wa nyumbani mwake katika maisha yake. Mtu huyo, huwafundisha watu wake malezi ya kuishi kwa upendo wakisaidiana vizuri katika kufanya kazi zao, kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuwafundisha malezi mema watu wake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaita rafiki zake ili awaage alipotaka kusafiri, kwa sababu naye kuenda kuwafundisha malezi mema watu wake katika maisha yake. Ndiyo maana anapotaka kuwaacha huwaambia kwamba, “naenda.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuwalea vyema watu wao, ili waweze kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Kutoka 18:27.

1Wafalme 8:66.

Marko 6:46.

2 Wakorintho 2:13.

ENGLISH: I AM GOING.

Once upon a time, there was a man who wanted to travel abroad. Before leaving, he invited his friends to his house so that he could say goodbye to them. When they arrived, he spoke to them kindly and encouraged them to live safely and peacefully together, because he was about to depart. That is why he said to them, I am going.”

This saying is equated to a person who lives well with the people in his household. Such a person teaches his family good upbringing: to live with love, to help one another, and to work together honestly. Because of his integrity and good example, he receives blessings and lives happily with his family.

This person is like the man who called his friends together before his journey. Before leaving, he made sure to leave behind good teachings and wise guidance. In the same way, a responsible person prepares his people well before he departs, whether through words, actions, or example. That is why he can confidently say, “I am going.

This saying teaches the importance of honesty, responsibility, and good upbringing, so that people may live in peace and happiness within their families and communities.

Exodus 18:27

1 Kings 8:66

Mark 6:46

2 Corinthians 2:13.