sayings

1437. MADUKU.

Alihoyi munhu uyo oliozenga maduku umuchalo ja bhuduhe. AMaduku genayo jili numba ndododo ijo jigazengagwa bho maswa gwingila hasi mpaga kwigulya. Umunhu ng’wunuyo agajitumamilaga inumba jinijo kunguno ya gutimija bhulingisilo bhulebhe ubho abhuhaiye uweyi umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga giki, “maduku.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikomejaga kubheja jikolo ijo jidulile gumwambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho jitumamilo jawiza ijo jidulile kung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumamila jitumamilo jawiza umumilimo yakwe yiniyo aha kaya yakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agazenga maduku ga gung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe, kunguno nuweyi agatumamilaga jitumamila jawiza mpaga obhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ijitumamilo jakwe jinijo giki, “maduku.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na jitumamilo jawiza ijagudula gubhambilija uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.

Ufunuo 3:15-19.

Kumbukumbu 30:15-16, 19.

KISWAHILI: VIZIMBA.

Alikuwepo mtu aliyejenga vizimba katika kijiji cha bhuduhe. Vizimba hivyo ni nyumba ndogondogo zilizojengwa kwa nyasi kuanzia chini hadi juu. Mtu huyo huzitumia nyumba hizo kwa sababu ya kuyatimiza kwa haraka malengo yake katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huziita nyumba hizo jila la “vizimba.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kutengeneza kitu ambacho chaweza kumsaidia katika kuyafikia malengo yake kwa haraka kwa sababu ya ubunifu wake katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kutumia zana nzuri za kumwezesha kuyatekeleza vizuri na kwa haraka malengo yake kwa sababu ya ubunifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mafaniko mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya ubunifu huo wa kutumia zana nzuri za kuweza kumsaidia katika kuyafikia kwa haraka malengo yake hayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejenga vizimba vya kumsaidia katika kuyafikia malengo yake, kwa sababu naye hutumia zana za kumwezesha kuzimaliza kazi zake kwa haraka mpaka anayafikia malengo yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huziita zana zake jina la “vizimba.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kutumia zana nzuri za kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Ufunuo 3:15-19.

Kumbukumbu 30:15-16, 19.

1436. LINZWI LILINA MATAMBI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile linzwi ilo ligakulaga bho guja hasi mpaga lyabhiza na matambi agagulidimila ilinti ilitale ilo lilina matambi galyo. Ilinzwi linilo ligabhizaga na nguzu ja gudula gugudimila unti intale pye na matambi gago kunguno ya bhujamu bholyo. Hunagwene abhanhu bhagalitanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo atolile mpaga upandika bhana bhingi, bhizukuru na bhizimbili bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Umunhu ung’wunuyo agayilelaga chiza ikaya yakwe bho guilanga gutumama milimo ya gubhapandikila matwajo gaguyilanhanila chiza ikaya yiniyo kunguno ya witegelecha bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agapandikaga matwajo mingi noyi akaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni linzwi ilo lilina matambi ga gugudimila unti na matambi gago, kunguno nu weyi alina nanguzu na witegeleja bhutale ubho guyilela na guyilanhana chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “linzwi lilina matambi.”

Akahayile kenako kalanga bhitoji higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilela chiza ikaya jabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

KISWAHILI: MZIZI WENYE MATAWI.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya mzizi unaokua kwa kwenda chini ya ardhi mpaka unapata matawi ya kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi. Mzizi huo huwa na nguvu za kuweza kuushikiria mti mkubwa wenye matawi yake kwa sababu ya uimara wake huo. Ndiyo maana watu huuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule aliyeoa akapata watoto wengi, wajukuu na vilembe, katika maisha yake. Mtu huyo, huilea vyema familia yake hiyo kwa kuifundisha kufanya kazi za kuwapatia mahitaji ya kutosha kutumia kwa sababu ya uaminifu wake huo maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi sana kwenye familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuilea vyema familia hiyo, maishani mwake.

Mtu huyo hufanana na ule mzizi wenye matawi ya kuushikiria mti wenye matawi, kwa sababu naye ana nguvu na uaminifu wa kuilinda vyema familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mzizi wenye matawi.”

Msemo huo hufundisha wana ndoa juu ya kuwa na uaminifu wa kuzilea vyema familia zao, ili waweze kupata maendeleo mengi katika familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 17:7.

2 Samweli 5:12.

Yohana 15:1-9.

1435. NGANHANAZU.

Akahayile kenako kalolile nti ngudizu uyo guli gubhi ubho gugulola. Aliyo lulu unti gunuyo, gugafunya matwajo gawiza na manonu gete ugugalwa. Abhanhu bhagagulolaga bhagukolwa aliyo ulubhagalya amatwajo gago bhayega na gugutogwa unti gunuyo. Hunagwene bhagagwitanaga giki, “nganhanazu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu wihanga lyabhubhi uyo alindamaganu aliyo ng’holo yakwe iliyawiza umukaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalonjaga pye abhanhu chiza bho nduhu ugubhakomanya kunguno ya ng’holo yakwe iyawiza yiniyo, umukikalile kakwe kenako. Uweyi agayilelaga chiza ikaya yakwe bho guyilanga gwikala ni kujo kubhanhu bhose kunguno ya ng’holo yakwe iyawiza yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunyo agikolaga nu nti ungudizu ugolihanga lyabhubhi aliyo amatwajo gago galimanonu, kunguno nuweyi alinihanga lyabhubhi aliyo ing’holo yakwe iliyawiza ukubhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagag’witanaga giki, “nganhanazu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na ng’holo jawiza ijagulamula bhanhu bhabho bho nduhu gubhalola hanze ya mili, kugiki bhadule gubheja bhulamuji bho nhana umukaya jabho jinijo.

Mwanzo 18:19.

Mathayo 5:3-11.

Wagalatia 3:1-6.

KISWAHILI: MDUMAVU.

Msemo huo huangalia mti mdumavu ambao ni mbaya kwa kuuangalia. Lakini mti huo hutoa matunda mazuri na matamu kabisa kwa kuyala. Watu wanapougalia mti huo huuchukia lakini wakiyala matunda yake hufurahi na kuupenda. Ndiyo maana watu hao huuita mti huo jina la “mdumavu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mwenye sura mbaya aliyedumaa lakini roho yake ni nzuri maishani mwake. Mtu huyo, huwajali vizuri watu wote bila ya kuwabagua kwa sababu ya roho yake hiyo nzuri katika maisha yake hayo. Yeye huilea vyema familia yake kwa kuwafundisha watu wake kuwa na heshima kwa watu wote kwa sababu ya roho yake hiyo nzuri, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mti mdumavu wenye sura mbaya lakini matunda yake ni mazuri na matamu, kwa sababu naye ana sura mbaya lakini roho yake ni mzuri kwa watu wake. Ndiyo maana watu humuita jila la “mdumavu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na roho nzuri za kuwaamua vyema watu wao bila ya kuangalia sura ya nje, ili waweze kuwa na maamuzi ya haki katika familia zao hizo.

Mwanzo 18:19.

Mathayo 5:3-11.

Wagalatia 3:1-6.

 

 

 

1434 YAFUNYAGA ITONE LYA MININGA.

Aho kale yalihoyi noni iyo yabhalisha jiliwa abhana bhayo. Aho jashila ijiliwa ijo yabhalisijaga, igipundula umwili goyo kugiki gadule gufuma mininga gagubhalisija abhana bhayo. Abhana bhayo bhenabho bhagagang’wa amininga gayo mpaga yucha. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “yafunyaga itone lya mininga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhalanhaga abhanhu bhakwe bho bhutogwa bhutale umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikomejaga kutumama milimo midamu bho nguzu mpaga uyimala kugiki adule gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe, kunguno ya bhutogwa bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga bhudula bho guyibheja chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bhokwe ubho gwigulambija gutumama milimo ya gubhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni noyi iyo igipundula umili goyo mpaga yucha kugiki idule gubhapandikala jiliwa abhana bhayo, kunguno nuweyi akikomejaga gutumama milimo bho nguzu mpaga obhapandikila jiliwa abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhaganhayaga giki,  “ofunyaga itone lya mininga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho guduja gwigulambija gutumama milimo ya gubhalanhanila chiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule kujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umubhulamu bhobho bhunubho.

Ezekieli 24:8.

Mathayo 27:25.

Yohana 6:54-56.

Waefeso 1:7.

Ufunuo 12:11.

 

KISWAHILI: AMETOA TOLE LA DAMU.

Hapo zamani alikuwepo ndege aliyekuwa akiwalisha chakula watoto wake. Kilipoisha chakula alichokuwa akiwalishia, ndege huyo aliamua kujitoboa mwili wake ili atoe damu ya kuwalishia watoto wake hao. Watoto hayo waliendelea kunywa damu yake hiyo mpaka alipokufa. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “ametoa tone la damu.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatunza kwa upendo watu wake katika maisha yake. Mtu huyo hujibidisha kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza kwa lengo la kuwapatia mahitaji ya kutosha kuwalisha watu wake hao kwa sababu ya upendo wake huo kwao, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuindeleza vizuri familia yake kwa sababu ya upendo wake huo wa kujibidisha kufanya kazi za kutosha kuwapatia mahitaji watu walioko kwenye familia yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule ndege aliyejitoboa mwili wake kwa ajili ya kuwapatia chakula watoto wake mpaka akapoteza maisha yake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi mpaka anafanikiwa kuwapatia watu wake mahitaji ya kutosha kutumia, maishani mwao. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “ametoa tone la damu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na upendo kwa watu wao unaowawezesha kujibidisha kutekeleza majukumu ya kuwatunza vizuri watu wao hao, ili waweze kupata maendeleo makubwa katika familia zao hizo, maishani mwao.

Ezekieli 24:8.

Mathayo 27:25.

Yohana 6:54-56.

Waefeso 1:7.

Ufunuo 12:11.

 

1432. OCHING’WA DUSHI HANGONGO.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhagandya gusola si ya bhichabho bho nguzu. Abhananzengo bhagandya bhulugu bho gubhalasa masonga abhanishi bhabho bhenabho mpaga bhubhahebha kunguno ya bhumani bhobho ubho gubhalasa masonga. Abho bhahewa abhanishi bhenabho bhagayuja umo ugalaswa isonga hangongo. Hunagwene bhagahaya giki, “oching’wa dushi hangongo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolaga jikolo ja bhanhu bho nguzu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agasolaga jikolo ja bhiye bho nguvu mpaka wikenya nabhiniki jikolo kunguno ya bhuvamiji bhokwe ubho gutumila nguzu bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agatulagwa mpaga uminyiwa na bhinikili jikolo kunguno ya gusola jikolo jabho bho gutumila nguzu chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagasola si ya bhichabho bho gutumila nguzu mpaka bhulaswa masongwa, kunguno nuweyi agasolaga jikolo ja bhiye bho nguzu, mpaga aminyiwa na bhinikili jikolo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “oching’wa dushi hangango.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka kusola sabho ja bhichacho bho gwigulambilaja gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 22:3.

Zaburi 78:9.

KISWAHILI: AMECHOMWA MSHALE MGONGONI.

Hapo zamani walikuwepo watu waliochukua ardhi ya wenzao kwa nguvu. Wananchi hao walioanza vita kwa kuwapiga mishale hao maadui waliovamia ardhi yao mpaka wakawashinda kwa sababu ya ufundi wao wa kutumia mishale. Wao waliwashinda maadui hao kwa kuwapiga mshale mgongoni kila mmoja. Ndiyo maana walisema kwamba, “amechomwa mshale mgongoni.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huchukua vitu wa watu kwa mguvu, katika maisha yake. Mtu huyo, huvamia na kuchukua vitu vya watu kwa kutumia nguvu hivyo, mpaka anagombana na wenye mali hizo, kwa sababu ya uvamizi wake huo wa kutumia nguvu, maishani mwake. Yeye upigwa na wenye mali mpaka anaumizwa kwa sababu ya tabia yake hiyo kuchukua mali za watu kwa nguvu, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliochukuwa ardhi ya wenzao kwa kutumia nguvu mpaka wakapigwa mishale, kwa sababu naye hukuchua vitu vya watu kwa nguvu mpaka anaumizwa na wenye mali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amechomwa mshale mgongoni.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuachana na tabia ya kuchukua mali za wenzao kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Isaya 22:3.

Zaburi 78:9.

ENGLISH: EVEN THOUGH YOU GROW LONG HAIR.

Once upon a time there was a man who grew long hair on his head. Such man despised an old man and a woman who had lived for many years because of his long hairs. He lacked an attention to understand that elders had seen many decent and evil deeds in their lives. That is why the elders told him that, “even though you grow long hair.”

This saying is equaled to a person who despises his elders in his life. This person thinks that he knows more by not listening to his elders when they give him good upbringing to live well with people, because of his contempt, in his life. He lacks an upbringing to take decent care of his family because of his contempt for his elders, in his life.

This person is like the one who grew long hair and despised his elders, because he also despises his elders for not listening to their upbringing, in his life. That is why his elders tell him that, “even though you grow long hair.”

This saying imparts in people an idea of stopping to despise their elders by listening carefully to their upbringing, so that they can raise their families well, throughout their lives.

Joshua Bin Sira 8:6.