Alihoyi munhu uyo oliozenga maduku umuchalo ja bhuduhe. AMaduku genayo jili numba ndododo ijo jigazengagwa bho maswa gwingila hasi mpaga kwigulya. Umunhu ng’wunuyo agajitumamilaga inumba jinijo kunguno ya gutimija bhulingisilo bhulebhe ubho abhuhaiye uweyi umukikalile kakwe. Hunagwene agajitanaga giki, “maduku.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikomejaga kubheja jikolo ijo jidulile gumwambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agatumama milimo yakwe bho jitumamilo jawiza ijo jidulile kung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho gutumamila jitumamilo jawiza umumilimo yakwe yiniyo aha kaya yakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agazenga maduku ga gung’wambilija ugubhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe, kunguno nuweyi agatumamilaga jitumamila jawiza mpaga obhushigila wangu ubhulingisilo bhokwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga ijitumamilo jakwe jinijo giki, “maduku.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na jitumamilo jawiza ijagudula gubhambilija uguitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umubhulamu bhobho bhunubho.
Ufunuo 3:15-19.
Kumbukumbu 30:15-16, 19.
KISWAHILI: VIZIMBA.
Alikuwepo mtu aliyejenga vizimba katika kijiji cha bhuduhe. Vizimba hivyo ni nyumba ndogondogo zilizojengwa kwa nyasi kuanzia chini hadi juu. Mtu huyo huzitumia nyumba hizo kwa sababu ya kuyatimiza kwa haraka malengo yake katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huziita nyumba hizo jila la “vizimba.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kutengeneza kitu ambacho chaweza kumsaidia katika kuyafikia malengo yake kwa haraka kwa sababu ya ubunifu wake katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kwa kutumia zana nzuri za kumwezesha kuyatekeleza vizuri na kwa haraka malengo yake kwa sababu ya ubunifu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mafaniko mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya ubunifu huo wa kutumia zana nzuri za kuweza kumsaidia katika kuyafikia kwa haraka malengo yake hayo, maishani mwake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyejenga vizimba vya kumsaidia katika kuyafikia malengo yake, kwa sababu naye hutumia zana za kumwezesha kuzimaliza kazi zake kwa haraka mpaka anayafikia malengo yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huziita zana zake jina la “vizimba.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na ubunifu wa kutumia zana nzuri za kuwawezesha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Ufunuo 3:15-19.
Kumbukumbu 30:15-16, 19.

















