sayings

1312. JISHIGA MBITI.

Jishiga mbili bhuli walwa ubho bhugasizagwa makanza ga hilu aho ilimi lya lengela. Uwalwa bhunubho bhugitangwa giko kulongulo gugang’wiyagwa hilu aho mbiti jitali gwandya gufumila guja gujicholela jiliwa. Ubhoyi bhulijimanyikijo ukuli nsizi ja gumana igiki uwalwa bhunubho, bhulipya nulu nduhu. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga giki, “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gutumama milimo yakwe na guidebha wangu ulu giki ilija chiza nulu nduhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamishaga diyu agaitumama chiza imilimo yakwe mpaga oyidebha igiki ilija chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gwanguha guitumama milimo yakwe chiza mpaga uyimala, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu walwa ubho bhugasizagwa na gung’wiwa hilu aho bhutali ugwila ubhujiku, kunguno nuweyi aganguhaka uguitumama imilimo yakwe mpaga uyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guitumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhagunana ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

KISWAHILI: KISWAHI FISI.

Kiwahi fiki ni pombe ambayo hutengenezwa wakati wa jioni kabla ya jua kuchwea. Pombe hiyo, huitwa hivyo kwa sababu watu huinywa mapema kabla fisi hawajaanza kutoka kwenda kujitafutia chakula. Yenyewe huwa ni kijulisho cha kuelewa kama pombe hiyo itaiva au hapana. Ndiyo maana watu huiita jina la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kuzifanya kazi zake na kuziewa mapema kama zitaleta faida au hapana, katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kutekeleza vizuri kazi zake mpaka anazielewa kama zitamletea faida au la, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya umakini wake wa kuwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na ile pombe ya kutengenezwa na kutumiwa mapema kabla ya kuingia usiku, kwa sababu naye huwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi katika familia yake, kila mwaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutosha kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri, familia zao.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

ENGLISH: WHAT HAS EVER BEEN EARLY HYENAS

This saying is about an alcohol which is made by people in the evening time before sunset. This alcohol is called ‘what has ever been early hyenas’ because people drink it early before hyenas start to go out looking for food. It is a sign which helps consumers to understand whether such liquor will be ripe or not. That is why people call it “what has ever been early hyenas.”

This saying is paralleled to a man who always does his work and thinks early whether it will bring profit or not, in his life. Such man wakes up in the morning and goes to carry out his works well until he understands whether they will bring profit or not, because of his thoughtfulness in his life. He earns a lot of wealth for his family every year because of his active responsiveness enough to always carry out his works well in his life.

This man is similar to the alcohol that is made and consumed early before nightfall, because he also always carries out his works well until he succeeds in obtaining a lot of wealth for his family every year in his life. That is why people call him the “what has ever been early hyenas.”

This saying imparts in people an idea of being so careful enough to fulfill their responsibilities well, so that they can earn a lot of wealth enough to support them in running their families.

Matthew 25:1-12.

Romans 13:11-14.

Matthew 24:42-44.

 

 

hyena-1022409_1280

1311. BHUDEJI B’O B’UBYALANWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile ng’wana o Ntemi uyo aginhiwa ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi. Olihoyi munhu uyo oli mjibyalile ja mu b’utemi. Umunhu ng’wunuyo wilangaga nhungwa ja wiza kunguno oli amanile igiki adulile gwinhiwa bhutemi kwikanza lyoselyose. Uweyi agab’upandika ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilangaga nhungwa jawiza ijo jidulile gung’wambilija ugubhatongela chiza abhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalikalanaga ililange lya bha byaji bhakwe bho gubhambilija chiza abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bha muchalo jakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’unuyo agikolaga nu ng’wana o Ntemi uyo wilangaga nhungwa ja wiza mpaga winhiwa bhutemi oho uzumalile ntemi o kwene, kunguno nuweyi agalikalanaga ililange lya bhabyaji bhakwe mpaga obhatongela chiza abhanhu bha muchalo jakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki alina “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujikalana inhungwa jawiza ijo bhagalangagwa na bhatale bhabho kugiki bhadule gubhatongela chiza abhanhu bhabho, umubhutumami bhobho.

Mathayo 3:13-17.

Yohana 1:33.

Matendo ya mitume 1:1.

KISWAHILI: UFALME WA KUZAWALIWA NAO.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mwana wa Mfalme aliyerithishwa ufalme huo baada ya mfalme huyo kufariki. Alikuwepo mtu aliyezaliwa katika ukoo wa kifalme. Mtu huyo alijifunza tabia njema kwa kuishi na watu vizuri kwa sababu alifahamu kuwa, anaweza kupewa ufalme wakati wowote. Yeye alirithishwa ufalme huo baada ya kufariki mfalme huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifunza tabia njema ambayo yaweza kumsaidia katika kuwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi malezi mema ya wazazi wake kwa kuwasaidia watu anaoishi nao, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake. Yeye huwaongoza vizuri watu wa kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwana wa mfalme aliyejifunza tabia njema mpaka akapewa ufalme alipofariki yule mfalme, kwa sababu naye huyaishi malezi mema ya wazazi wake mpaka anaweza kuwaongoza vizuri watu wa kijiji chake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi malezi mema wanayofundishwa na wakubwa wao, ili waweze kuwaongoza vizuri watu wao, katika utumishi wao.

Mathayo 3:13-17.

Yohana 1:33.

Matendo ya mitume 1:1.

south-africa-742507_1280

ENGLISH: KINGSHIP BY BIRTH.

The derivation of this saying is from a son of the king who inherited the kingdom after the king passed away. There was a man who was born into a royal family. Such man learned good manners by living well with people because he knew that he could inherit such kingdom at any time. He inherited the kingdom after passing away of the king. That is why people said that he had, “a kingship by birth.”

This saying is related to a person who learns good manners that can help him in leading his people in his life. Such person puts into place good upbringings of his parents by helping people whom he stay with, because of his good manners in his life. He soundly leads people in his village because of his good manners in his lifespan.

This person resembles the son of the king who learned good manners until he was given the kingdom when the king joined the ancestors, because he also puts into practice the good upbringings of his parents until he managed to healthily lead people of his village in his lifetime. That is why people tell him that he has, “a kingship by birth.”

This saying teaches people about being so careful enough to apply the good upbringings which they are taught by their elders, so that they can lead their people well in their service.

Matthew 3:13-17.

John 1:33.

Acts 1:1.

1310. AHA WIGWA UB’UKA NZULE.

Ugub’uka nzule mumho gukolwa mpaga gub’itilija. Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo nhebhe ukolwa ub’itilija mpaga uhaya gutulana kunguno goligonminya noyi umunholo yakwe. Uweyi agagayiwa ulubhangu kunguno imihayo igaminyanaga noyi kutinda iyagubhona. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “aha wigwa ub’uka nzule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinabhushiganu ubho guikengela chiza imihayo iyo agawigwaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigwagwa mhayo gosegose ugudilila bho nduhu nulu gugwitila bhukengeji ubho gung’wambilija ugugudebha ulugiki guli go nhana nulu go bhulongo kunguno ya guleka gwitegeleja chiza, umumiganiko gakwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya guleka guitegeleja chiza imihayo iyo agaigwaga umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agigwa mhayo upekelana mpaga uhaya kutulana kunguno nuweyi agigwaga mihayo uidilila mpaga yamaja ulubhango, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “aha wiga ub’uka nzule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitila bhukengeji imihayo iyo bhagayigwaga gukigi bhadule guidebha iyo idulile gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 32:10.

2 Wafalme 23:26.

KISWAHILI: ALIPOSIKIA ALIPATA HASIRA KALI.

Hasira hali ni hali ya mtu kukasilika mpaga kupitiliza. Alikuwepo mtu aliyesikia neno fulani akakasilika mpaga akapitiliza hali iliyompelekea kutaka kupigana kwa sababu ya kuumizwa na neno hilo moyoni mwake. Yeye alikosa raha kwa sababu maneno huumiza zaidi kuliko yale ya kuona. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “aliposikia alipata hasira kali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana ukomavu wa kuyafanyia utafiti maneno ayasikiayo katika maisha yake.  Mtu huyo, huumizwa na neno analolisikia bila hata kulifanyia utafiti wa kumsaidia kuelewa kama nila kweli au la uongo, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuyafikiria vizuri maneno hayo, akilini mwake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kukosa umakini huo ya kuyafikiria vizuri maneno ayasikiayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekasilika mpaka akataka kupigana aliposikia neno fulani, kwa sababu naye hukosa raha anaposikia neno fulani bila hata kulifanyia utafiti wa kumsaidia kulielewa vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliposikia alipata hasira kali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyafanyia utafiti wa kutosha kuyaelewa maneno wayasikiayo, ili waweze kuyaelewa yale wawezayo kuwasaidia katika kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 32:10.

2 Wafalme 23:26.

angry-5453674_1280

angry-boy-3740043_1280

fashion-4725391_1280

ENGLISH: WHEN HE HEARD HE GOT STRONG ANGER.

An intense anger is a state of a person’s feeling of fury that goes beyond a point of resentment. There was a man who heard a certain word which caused him to feel a strong anger that led him to start fighting because his heart was by that word. He became unhappy in his life. That is why people said that, “when he heard he got strong anger.”

This saying is matched to a person who does not have maturity of researching words which he hears in his life. Such person is hurt by words which he hears without even researching them enough to help him understand whether they have truth or liars, because of not being attentive enough to think well about those words, in his mind. He fails to raise his family well because of not having such attention in his life.

This person is similar to the one who became angry to the point of starting to fight when he heard a certain word, because he also feels uncomfortable when he hears a certain word without even researching it enough to understand it well, in his life. That is why people say to him that, “When he heard he got strong anger.”

This saying imparts in people a clue of being careful to enough study words which they hear, so that they can help them in nurturing their families in their lives.

Exodus 32:10.

2 Kings 23:26.

1308. LUGONDA MAZUB’ILO.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile lizub’ilo lya jisumva ja muminzi. Ilizub’ilo lilinilo lilitegelo lya Shi ilo ligikalaga lilugoye lib’egejije ndob’ano ja bihi bihi. Ilyoyi ululyugaponejiwa ng’witab’a ligazub’iga josejose ijo jilihoyi moyi guti mbulu, nzoka na jingi jingi ijamu minzi. Ijo jigazub’agwa jinijo jigagagondaga amazub’ilo. Hunagwene abhanhu bhagajitanaga giki, “luganda mazub’ilo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agasolelejaga mihayo yoseyose niyabhubhi, umahoya gakwe. Umunhu ng’wunuyo, agayombaga mihayo yose yose umumahoya gakwe ni ya bhulomolomo mumo bho nduhu uguitegeleja chiza kunguno alina nhungwa jabhubhi, umukikalile kakwe. Uweyi agabhalisanyaga abhanhu bhaha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ija bhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni lizub’ilo lya ndilo ilo ligazub’aga josejose ijo jilimuminzi, kunguno nuweyi agasolelejaga mihayo yoseyose ni mib’i umumahoya gakwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “lugonda mazub’ilo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza ijagumbilija uguitegeleja chiza imihayo yabho haho bhatali uguyiyomba kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Warumi 12:9-11.

1Thimotheo 4:2-3.

KISWAHILI: AKUNJAYE MITEGO.

Chanzo cha msemo huo huongelea mitego ya viumbe vya majini. Mtego huo ni zana ya kuvulia samaki ambayo huwa na kamba ndefu iliyotegenezewa ndoano za karibu karibu. Wenyewe ukitupwa kwenye bwawa hukamata chochote kilichomo humo, kama vile kenge, nyoka na vingine vingi viishivyo majini. Vile vilivyokamatwa huweza kuukunja mtego huo. Ndiyo maana watu huviita jina la, “mkunja mitego.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huokoteza maneno yoyote yakiwemo ya uongo katika maongezi yake. Mtu huyo, huongea maneno yoyote yakiwemo yale ya uongo katika maongezi yake, kwa sababu anatabia mbaya katika maisha yake. Yeye huwagombanisha watu waiishio katika familia yake kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya ya kuongea maneno ya uongo maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na ule mtego wa samaki uliokamata chochote kinachoishi majini, kwa sababu naye huokoteza na kuyaongea maneno yoyote yakiwemo yale ya uongo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “akunjaye mitego.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuongea maneno yao kwa umakini mkubwa katika maongezi yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Warumi 12:9-11.

1Thimotheo 4:2-3.

ENGLISH: THE TRAPS TWISTER

The origin of this saying refers to trap of aquatic creatures. This trap is a fishing tool that has a long rope which is made of hooks that are close together. When it is thrown into a pond, it catches anything in it, such as leeches, snakes and many other aquatic beings. Those caught ones can twist the trap. That is why people call it, “the traps twister.”

This saying is matched to a person who twists any word, including dishonest ones in his communication. Such person speaks deceitful words, in his dialogue because of having wicked wont in his life. He causes conflict among people who live in his family because of his evil pattern of speaking indelicate words in his life.

This person is similar to the fish trap that catches anything that lives in water, because he also twists any word by speaking fabricated ones in his life. That is why people call him, “the traps twister.”

This saying instills in people an idea of having good manners that enable them to speak their words with great care in their conversations, so that they can raise their families well in their lives.

Romans 12:9-11.

1 Timothy 4:2-3.

 

 

man-5568023_1280

fishermen-83031_1280

africans-3254345__480

1307. GOSHIGANAGA UNG’WANYA GONE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile ng’wanya go ng’wa munhu nebhe. Ung’wanya gunuyo guli nimo ntale uyo oliogupanga munhu gugwita ulu lyushiga ilikanza ilo alihayile. Umunhu ng’wunuyo agibhegelejaga chiza ulu alililindila ilikanza linilo kunguno atogilwe agumale chiza unimo gokwe gunuyo ululyushiga ilikanza lya gugutumama. Hunagwene aho lyashiga ilikanza lya nimo gokwe agayomba giki, “goshiganaga ung’wana gone.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agibhegelejaga chiza ugutumama imilimo yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga nzuguru matu ulu alina nimo bho gwifuma gugutumama chiza mpaka ogumala kunguno ya bhukamu bho gutumama milimo yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga majikolo mingi aha kaya yakwe kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo mpaga oimala chiza, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agibhegeleja mpaga ugutumama chiza unimo gokwe, kunguno nuweyi agibhegelejaga ulu alina nimo mpaga ogutumama chiza ululyashiga ilikanza lyago, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “goshiganaga ung’wanya gone.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gwigulambija guitumama chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 25:1.

Mathayo 22:8-9.

KISWAHILI: UMEFIKA MUDA WA SHUGHULI YANGU.

Chanzo cha msemo huo huangalia shughuli ya mtu fulani. Shughuli hiyo ni kazi kubwa aliyoipanga mtu huyo kuifanya ukifika muda ule alioupanga. Mtu huyo, hujiandaa vizuri anapousubiri muda huo kwa sababu anapenda kuimaliza vizuri shughuli yake hiyo ukifika wakati wake. Ndiyo maana unapofika wakati huo mtu huyo husema, “umefika muda wa shughuli yangu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujiandaa vizuri kuyatekeleza majukumu yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa tayari kuyatekeleza majukumu yake hayo muda ukifika kwa kujitoa vizuri kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi zake, maishani mwake. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi kwenye familia yake, kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyejiandaa kuitekeleza kazi yake mpaka akaimaliza vizuri, kwa sababu naye huwa tayari kuyatekeleza majukumu yake vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “umefika muda wa shughuli yangu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza majukumu yao vizuri unapofika wakati wake, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mathayo 25:1.

Mathayo 22:8-9.

ENGLISH: IT IS TIME FOR MY WORK.

The origin of this saying looks at person’s work. Such work was a big cerebration that person has planned to do during the waited time. Such person prepared well when he waited that time because he wanted to finish his work well. That is why when that time came, such person said, “it is time for my work.”

This saying is equated to a person who prepares well enough to carry out his responsibilities in his life. This person is ready to carry out his responsibilities when the time comes by fulfilling it well because of his diligence in doing his work, in his life. He becomes rich by acquiring a lot of wealth in his family, because of his diligence in carrying out his responsibilities well, in his life.

This person resembles the one who prepared to carry out his work until he finishes it well, because he is also ready to carry out his responsibilities well in his life. That is why he says “it is time for my work.”

This proverb teaches people about being diligent enough to fulfill their duties when the time comes, so that they can achieve great success in their lives.

Matthew 25:1.

Matthew 22:8-9.

 

 

carnival-7438638_1280