Olihoyi munhu uyo osimbaga ng’ana umuchalo ja Ziba. Umunhu ng’wunuyo, agasimba lichongo lishimu gete kunguno ya kuhaya kupandika sabho umumilimo yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagalitana ilichongo linilo giki, “ishimayenze.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho guchola sabho mpaka ojipandika, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agigulambija gutumama milimo midamu mpaga oyimala chiza kunguno ya wiyumiliza bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandika sabho ningi aha kaya yake yiniyo, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo midamu mpaka oyimala chiza, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu nsimbi o ng’ana uyo agiyumilija guchola mpaga usimba lichongo lishimu gete, kunguno nuweyi agiyumilijaga kuchola sabho bho gutumama milimo midamu mpaga ojipandika isabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “ishimayenze.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gutumama milimo yabho mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 7:13.
Ayubu 28:1.
Luka 13:22-24.
Mithali 1:12.
Ufunuo 9:1.
2Petro 2:4.
KISWAHILI: SHIMO REFU.
Alikuwepo mtu aliyekuwa akichimba madini katika kijiji cha Ziba. Mtu huyo alichimba shimo refu sana kwa sababu ya kutaka kupata mali hizo katika kazi yake hiyo. Ndiyo maana watu waliliita shimo hilo jila la “shimo refu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anauvumilivu wa kupafuta mali mpaka anazipata, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza vizuri kwa sababu ya uvumilivu wake huo maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi katika familia yake hiyo, kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kufanya kazi ngumu mpaka anazimaliza vizuri, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufunana na yule mchimbaji wa madini aliyevumilia kutafuta mpaka akachimba shimo refu, kwa sababu naye huvumilia kutafuta mali kwa kufanya kazi ngumu mpaka anazipata mali hizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “shimo refu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilifu wa kutafuta mali kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.
Mathayo 7:13.
Ayubu 28:1.
Luka 13:22-24.
Mithali 1:12.
Ufunuo 9:1.
2Petro 2:4.