mother tongue

1331. OB’UKAGA HASI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile b’ub’uki bho ng’wa munhu uyo winga kuwelelo. Umunhu ng’wunuyo agabhukila muli munhu uyo aginikwa lina lyakwe aho obyalwa kunguno ya gufunya likujo ukuliweyi na gulanhana ludugu. Hunagwene ulu munhu winikwa lina lya njimiji, abhanhu bhagayombaga giki, unjimiji ng’wunuyo, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo akikalaga na nhungwa jawiza kugiki adule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhalangaga nhungwa jawiza abhiye bho gutumama milimo chiza na gubhambilija abhanhu abho bhali na makoye, kunguno ya bhutogwa bhokwe ukubhiye bhenabho. Uweyi agadulaga ugubhalela bho gubhalanga nzila ja kubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhitila ya wiza abhiye mpaga ilina lyakwe winikwa ung’wana uyo agabyalwa, kunguno nuweyi agabhalangaga abhiye nhungwa ja gubhambilija ugubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanbu bhagang’wizukaga ulu bhabhubhona uwiza bho lilande lyakwe bho guyomba giki, “ob’ukaga hasi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na nhungwa jawiza bho gwikala na bhichabho chiza, kugiki bhadule gubhupandika ubhupanga ubho bhudashilaga, ulu bhinga ukuwelelo.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

KISWAHILI: AMEINUKA CHINI.

Chanzo cha msemo huo, huongelea uinukaji wa mtu yule aliyefariki dunia. Mtu huyo aliinuka kupitia mtu aliyepewa jina lakwe baada ya kuzaliwa kwa sababu ya kuonesha heshima kwake na kutunza undugu. Ndiyo maana mtu anapopewa jila na marehemu watu husema kwamba, yule marehemu, “ameinuka chini.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyaishi malezi mema yawezayo kumpatia uzima wa milele, baada ya kuaga dunia. Mtu huyo, huwafundisha wenzake tabia njema ya kuishi malezi mema kwa kujibidisha kufanya kazi na kuwasaidia watu walioko kwenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya upendo alionao kwa watu wake hao. Yeye hufanikiwa kuwapatia malezi hayo mema watu wa kwenye familia yake, kwa kuwafundisha njia za kuupata uzima huo wa milele, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewatendea mema wenzake mpaga jila lake akapewa mtoto aliyezaliwa, kwa sababu naye huwafundisha wenzake malezi mema ya kuwasaidia kuupata uzima wa milele, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humkumkuka wanapoyaona mema yake hayo, kwa kusema kwamba, “ameinuka chini.”

Msemo huo huwafundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwafundisha wenzao namna ya kuyaishi malezi mema, ili waweze kuupata uzima wa milele baada ya kuaga dunia.

1Wakorintho 15:53-58.

1 Wathesalonike 4:13-17.

ENGLISH: THE ONE HAS RISEN DOWN.

The origin of this saying refers to the rise of a person who has passed away. Such person rose through the person who was given his name after birth because of showing respect for him in taking care of the family. That is why when a person is given a name of a deceased one, people say that, “the one has risen down.”

This saying is matched to a person who lives a worthy upbringing that can give him eternal life after passing away. This person teaches his people decent conducts of living a upright upbringing by working hard and helping others who are in various hitches, because of having a true love for his populaces. He succeeds in giving decent nurture to the people in his family by teaching them about ways which can help them enough to gain such eternal life because of his upright character in his life.

This person resembles the one who did good deeds to his societal members who gave his name to a newborn child, because he also teaches his family members about virtuous upbringings which can assist them in gaining eternal life. That is why those people praise him when they see his decent deeds by saying that “the one has risen down.”

This saying instills in individuals a clue of having a decent attitude for teaching their family members on how to live a blameless upbringing, so that they can gain eternal life after passing away.

1 Corinthians 15:53-58.

1 Thessalonians 4:13-17.

 

1329. LUPA LUDI NANG’WINIKILI.

Ulupa lililintego ili ligategagwa aho igelelilwe gubhita ho ndimu nulu noni nhale. Ulupa lunulo lugapujaga ndimu iyo yupitila hoyi nulu nu munhu uyo ulutegaga ulu ubhitila hoyi lumpuja duhu kunguno ludakominije uo gupuja. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lupa ludi nang’winikili.”

Ulusumo lunulo lugalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhejaga jilagilo ijo jigampujaga nuweyi ng’winikili, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhejaga jilagilo jagulemeja bhanhu gwita ginhu jilebhe nulu ja gubhalemeja guja hanhu, ogisanga jilintunga nuweyi ng’winikili, kungulo ya gugaiwa witegeleja bho jujikalana chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agitungaga ng’winikili ulu ojibhinza ijilagilo jinijo ijo ojibheja ng’winikili, kunguno ya gugaiwa wigetegeleja bhunubho ubho gujikalana chiza, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatega lupa wisanga lulimpuja nuweyi ng’winikili, kunguno nuweyi agabhejaga jilagilo ogisanja jilintunga nuweyi ng’winikili, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lupa ludi na ng’winikili.”

Ulusumo lunulo, lolanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ayo bhagagabhejaga kugiki bhadule gwikala ni lange lya gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Isaya 1:17.

Mithali 4:2.

Yakobo 2:9.

KISWAHILI: MTEGO HAUNA MWENYEWE.

Mtego ni kitu kinachotegwa pale ambapo wanyama poli au ndege wakubwa hupita. Mtego huo, hukamata mnyama yoyote yule apitiaye hapo au hata mtu aliyeutega mtego huo akipitia hapo unamkamata tu kwa sababu haubagui wa kukamata. Ndiyo maana watu husema kwamba, “mtego hauna mwenyewe.”

Methali hiyo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutunga amri au sheria ambazo humfunga yeye mwenyewe, katika maisha yake. Mtu huyo, gutunga sheria au amri za kuwakataza watu kwenda sehemu fulani, au za kuwakataza kufanya kitu fulani ambazo hujikuta zimemkamata yeye mwenyewe kwa sababu ya kukosa umakini wa kuziishi vizuri, maishani mwake. Yeye hujifunga mwenyewe kila anapozivunja amri hizo alizozitunga mwenyewe, kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuziishi, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetega mtego akajikuta umemkamata yeye mwenyewe, kwa sababu naye hutunga amri au sheria ambazo hujikuta zimemfunga yeye mwenyewe, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mtego hauna mwenyewe.”

Methali hiyo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo yale wanayojitungia ili waweze kuishi kwenye malezi ya kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Isaya 1:17.

Mithali 4:2.

Yakobo 2:9.

gray-crowned-crane-5896928_1280

buffalo-840340_1280

dikdik-4281516_1280

ENGLISH: THE TRAP HAS NO OWNER.

A trap is something that is set where large animals or birds pass by. This trap catches any animal that passes by or even the person who set the trap when he/she passes by, it catches them only because it does not tell apart between the ones it catches. That is why people say that, “the trap has no owner.”

This proverb is equated to a person who makes orders or laws that bind him, in his life. Such person makes laws or orders to prohibit people from going to a certain place, or to prohibit them from doing something that he finds himself bound by because of his lack of thoughtfulness for putting them into practice well, in his life. He binds himself every time he breaks those orders that he made himself, because of his lack of responsiveness, in his life.

This person is like the one who set a trap and found himself bound by it, because he also makes orders or laws that he finds himself bound by in his life. That is why people say that, “the trap has no owner.”

This proverb imparts in people an idea of being so cautious enough to live by the instructions they create for themselves so that they can live in a way that will nicely nurture their families throughout their lives.

Isaiah 1:17.

Proverbs 4:2.

James 2:9.

1328. NANG’WIKIJA NKIMA NDOB’O KUNTWE.

Olihoyi munhu umuchalo ja Ng’watugu uyo agang’wikija nkima ndob’o kuntwe. Unkima ng’wunuyo oliabhuchije ndob’o iyo yalina minzi ayo oliogadahila kumongo go Mangu kunguno galinduhu aminzi umuchalo jabho jinijo.

Umunhu ng’wunuyo aho otung’wana nanghwe agang’wimbilija bho gung’wikija indob’o yiniyo gwingila kuntwe gokwe kunguno ya aganchila jigongo. Hunagwene agayomba giki, “nang’wikija nkima ndob’o kuntwe.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinisungu lya gubhambilija bhakima abho bhali na makoye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhambilija abhamayu abho bhali nikoye lya kugayiwa minzi bho gubhasimbila lyunzi lo minzi umuchalo jabho kugiki bhadule gulimala ilikoyi lya gubhunwa ndob’o ja minzi kumitwe yabho linilo gwingila kumongo, kunguno ya lisungu lyakwe linilo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhambilija bhamayu bhingi abho bhali na makoye kunguno ya lisungu lya nholo yakwe linilo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agang’wambilija nkima uyo oliabhuchije ndob’o ya minzi, guyicha indob’o yiniyo, gwingila kuntwe gokwe, kunguno nuweyi agabhambilija bhakima bhingi abho bhali na makoye ga gugayiwa minzi bho gubhasimbila lyinzi umuchalo jabho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nang’wikija nkima ndob’o kuntwe.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza nisungu lya gubhambilija abhakima abho bhali na makoye kugiki bhadule gugamala wangu amakoye genabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 11:28-30.

Wafilipi 2:4.

Zaburi 72:12-14.

Zaburi 103:13.

NIMEMTUA MWANAMKE NDOO KICHWANI.

Alikuwepo mtu katika kijiji cha Mwatuju aliyemtua mwanamke ndoo kichwani. Mwanamke huyo alikuwa amebeba ndoo ya maji kichwani aliyoyachotea kwenye mto wa Mangu, kwa sababu hayakuwepo maji katika kijiji chake hicho.

Mtu huyo alikutana naye njiani akamsaidia kuitua ndoo hiyo kutoka kichwani kwa sababu alimuonea huruma. Ndiyo maana alisema kwamba, “nimemtua mwanamke ndoo kichwani.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana huruma ya kuwasaidia wanawake wanakumbwa na matatizo mbalimbali, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasaidia wakina mama katika kutatua tatizo la kukosa maji kwa kuwachimbia kisima cha maji kijijini mwao, kwa sababu ya huruma yake hiyo, maishani mwake. Yeye huwasaidia wakina mama wengi wenye matatizo mbalimbali katika kuyatatua matatizo yao, kwa sababu ya huruma yake hiyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtu aliyemuonea huruma mwanamke aliyekuwa amebeba ndoo ya maji kichwani mpaga akamsaidia kuitua ndoo hiyo kichwani, kwa sababu naye huwasaidia wanawake wengi wenye matatizo ya kukosa maji kwa kuwachimbika kisima cha maji kijijini mwao, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimemtua mwanamke ndoo kichwani.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na huruma ya kuwasaidia wanawake wanaosumbuliwa na matatizo mbalimbali ili waweze kuyatatua haraka, maishani mwao.

Mathayo 11:28-30.

Wafilipi 2:4.

Zaburi 72:12-14.

Zaburi 103:13.

outdoors-3378794_1280

ethiopia-4117617_1280

people-6556791_1280

ENGLISH: I HAVE DROPPED A BUCKET FROM A WOMAN’S HEAD.

There was a man who lived in the village of Mwatuju who met a woman carrying a bucket on her head. The woman was carrying a bucket of water on her head that she had drawn from Mangu River, because there was no water in her village.

This man met her on the way and helped her put the bucket off her head because he felt sorry for her. That is why he said, “I have dropped a bucket from a woman’s head.”

This saying is matched to a man who has compassion for helping women who face various problems in their lives. Such person helps mothers in solving problem of lack of water by digging a well for them in their village, because of his compassion for them in his life. He helps various mothers who had several problems in solving their hitches, because of his compassion, in his life.

This man resembles the one who felt sad for a woman carrying a bucket of water on her head and helped her put it down from her head, because he also helps a lot of women who face water problems by digging a well for them in their village. That is why he says that, “I have dropped a bucket from a woman’s head.”

This saying teaches people about having compassion for helping women who suffer from various difficulty so that they can solve them quickly, in their lives.

Matthew 11:28-30.

Philippians 2:4.

Psalm 72:12-14.

Psalm 103:13.

1327. NAGULEKA MUMANGAILA.

Aho kale olihoyi munhu uyo ohayaga na bhiye bho gutumila mihayo ya mbisila iyo bhadumaga abhiye bhenabho uguyelelwa chiza kunguno ya gubhisa ginhu jilebhe ukubhoyi. Umunhu ng’wunuyo, obhalekaga abhiye bhadadebhile ubhulingisilo bho mihayo iyo abhalomelaga yiniyo, kunguno ya gutumila mihayo ya mbisila yiniyo, umuwikaji bhokwe bhonubho. Hunagwene agayomba giki, “aguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aling’wimi nholo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhabhisaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu kugiki akije ugubhinha abho bhalinomba kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ulubhango ulo gwikala na bhuyeji aha kaya yakwe kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agabhabhisa abhiye kinhu jilebhe bho guyomba mihayo ya mbisila mpaga bhuduma uguyelelwa chiza imihayo yakwe yiniyo, kunguno nuweyi agabhimaga abhiye ijikolo jakwe bho gutumila bhushirimu bho gung’wambilija gukija ugubhinha abhiye abho bhalinomba, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agayombaga giki, “naguleka mumangaila.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka wiminholo bho gubhambilija chiza abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyeji umu kaya jabho.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

KISWAHILI: NIMEKUACHA BILA UFAFANUZI.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeongea na wenzake kwa kutumia maneno ya mafumbo. Maneno hayo yalisababisha kwa wenzake hao kushindwa kuuelewa vizuri ujumbe wake kwa sababu alikuwa na lengo la kuwaficha kitu fulani wenzake hao. Mtu huyo aliwaacha wenzake hao katika hali ya kukosa ufafanuzi wa maneno yake hayo yenye mafumbo. Ndiyo maana yeye alisema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mchoyo wa kutowashirikisha wenzake mali zake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwaficha wenzake mali zake hizo kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kuacha kuwapatia wenzake hao wanaomuomba mali zake hizo, kwa sababu ya uchoyo wake huo, maishani mwake. Yeye hukosa Baraka za kumwezesha kuishi kwa furaha katika familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowashirikisha wenzake mali zake hizo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewaficha wenzake kitu fulani kwa kutumia maneno yenye mafumbo mpaga akawacha bila ufafanuzi, kwa sababu naye huwanyima wenzake mali zake kwa kutumia ujanja wa kumwezesha kutowapa mali zake hizo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “nimekuacha bila ufafanuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha uchoyo kwa kuwasaidia wenzao walioko kwenye matatizo ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao.

Mathayo 13:24-30.

Mathayo 25: 36-43.

Zaburi 119:130.

ENGLISH: I HAVE LEFT YOU WITHOUT EXPLANATION.

Once upon a time, there was a man who spoke to his companions by using cryptic words. These words prevented his companions from understanding his message properly because he intended to hide something from them. Such man left his acquaintances in a state of lacking explanation for his cryptic words. That is why he said, “I have left you without explanation.”

This saying is equaled to a person who is greedy in not sharing his possessions with his companions, in his life. Such person hides his possessions from his companions by using cunning deeds which can enable him to stop giving his companions who ask for his possessions, because of his greed in his life. He lacks blessings that can enable him to live happily in his family, because of his greed of not sharing his possessions with his companions in life.

This person is like someone who hid something from his friends by using cryptic words which left them without explanation, because he also deprives his friends of his possessions by using cunning deeds which enables him not to give them his possessions in his life. That is why he says, “I have left you without explanation.”

This saying imparts in people a clue of giving up greed by helping their friends who are in trouble so that they can receive blessings of living happily in their families.

Matthew 13:24-30.

Matthew 25: 36-43.

Psalm 119:130.

portrait-3157821_1280

girl-429380_1280

man-792821_1280

1323. HUJU YA B’UKI.

Ihuju ya b’uki jili nzuki ijo jili na b’uki wingi gete. Abhanhu bhagawapaga ub’uki bhunubho bhuli makanza bho nduhu ugubhumala kunguno ya wingi bhobho bhunubho. Hunagwene abhabhu bhenabho bhagawikolanijaga na huju ilo lililitabha lya minzi mingi bho guwitana giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kagalengajiyagwa kuli munhu uyo alinsabhi o majikolo mingi aha kaya yakwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na sabho ningi noyi ijo agatumamilaga bho gubhagunana abhiye abho bhali na makoye kunguno ya wizanholo bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhanhu bhingi noyi aha kaya yakwe abho agabhambilija kunguno ya wizang’oholo ubho ugubhutumamila chiza ubhusabhi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni nzuki iyo yali na b’uki wingi noyi, kunguno nuweyi alinsabhi o masabho mingi ayo agagatumamilaga bho gubhagunana abhiye abhali na makoye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “huju ya b’uki.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhagunana abhichabho abho bhali na makoye, kugiki bhadule kupandika mbango ya gwikala bho bhuyegi umukaya jabho.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

KISWAHILI: BWAWA LA ASALI.

Bwawa la asali ni nyuki wenye asali nyingi sana. Watu huilina asali hiyo kila wakati bila ya kuimaliza kwa sababu ya wingi wake huo. Ndiyo maana wao huufananisha na bwawa la hilo ambalo ni dimbwi lenye kina kirefu cha maji kwa kuiita, “bwawa la asali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni tajiri wa mali nyingi kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, ana utajiri wa mali nyingi sana ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, kwa sababu ya ukarimu wake huo, maishani mwake. Yeye huishi na watu wengi kwenye familia yake anaowasaidia kwa sababu ya ukarimu wake huo wa kuutumia utajiri wake kwa kuwasaidia watu wenye matatizo maishani mwao.

Mtu huyo, hufanana na wale nzuki waliokuwa na asali nyingi, kwa sababu naye na utajiri wa mali nyingi ambazo huzitumia kwa kuwasaidia watu wenye matatizo mbalimbali, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “bwana la asali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na moyo wa ukarimu uwawezeshao kuwasaidia wenzao wanaokumbwa na matatizo mbalimbali, ili waweze kupata Baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao.

Mathayo 7:7-8.

Mathayo 8:21-30.

Mwanzo 13:2.

Yakobo 2:5.

 

ENGLISH: HONEY POND.

A honey pond is a bee with a lot of honey. People eat the honey all the time without finishing it because of its abundance. That is why they compare it to a pond, which is a deep pool of water by calling it, “honey pond.”

This saying is paralleled to a person who is rich in countless belongings in his family. This person, has a lot of wealth which he uses for assisting people who face various glitches, because of his generosity in life. He lives with numerous people in his family whom he helps because of his generosity in using his wealth to help people who face problems in their lives.

This person is similar to the bees which had a lot of honey, because he also has a lot of wealth that he uses for helping people who face various problems in life. That is why people call him “honey pond.”

This saying teaches people about having a generous heart that enables them to help their people who are experiencing various problems, so that they can receive God blessings of living happily in their families.

Matthew 7:7-8.

 

honey-4770245_1280

honey-1958464_1280

honey-1970626_1280