mother tongue

1426. IDIZAGA MZENZE.

Imbuki ya kahayile kenako iholelile kizile ka mbula. Imbula yiniyo idizaga mzenze kunguno igenhaga milimo iyo abhanhu bhagandyaga guitumama kugiki bhadule kupandika jikolo umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “idizaga mzenze.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga wangu ukumilimo yakwe ugigulambija guitumama mpaga uyimala chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandika sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho guitumama chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagandya gutumama milimo yabho aho yandya ugutula imbula mpaga bhupandika jikolo, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo mpaga opandika jikolo umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “idizaga mzenze.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija guitumama milimo yabho chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo.

Mithali 10: 4.

Mithali 12:27.

KISWAHILI: HAIIJI KWA STAREHE.

Chanzo cha msemo huo huongelea kuanza kunyesha kwa mvua. Mvua hiyo, haiiji kwa starehe kwa sababu huleka kazi ambazo watu huanza kuzifanya ili waweze kupata mali maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, “haiiji kwa starehe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi zake vizuri unapofika wakati wa kuzitekeleza kazi hizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda kazini kwake na kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka  mwisho, kwa sababu ya bidii yake hiyo maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuzitekeleza vizuri kazi zake, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na wale walioanza kuzitekeleza vizuri kazi zao ilipoanza kunyesha mvua mpaka wakapata mali, kwa sababu naye hujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zake unapofika wakati wake mpaka anafanikiwa kupata mali, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “haiiji kwa starehe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao unapofika wakati wake, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao hizo.

Mithali 10: 4.

Mithali 12:27.

ENGLISH: IT DOES NOT COME WITH PLEASURE.

The origin of this saying refers to a beginning of rain. This rain does not come with pleasure because it comes with works which people start doing so that they can get wealth in their lives. That is why these people say that, “it does not come with pleasure.”

This saying is matched to a person who strives to do his works well when the time of doing them reaches, in his life. This person, always goes to his jobs and strives to do them well until the end, because of his diligence in his life. He earns a lot of wealth in his family because of his diligence in doing his works well in life.

This person is similar to those who started doing their works well when it started to rain until they got wealth, because he also strives to do his works well when the time of doing them arrives until he succeeds in getting wealth, in his life. That is why he says that, “it does not come with pleasure.”

This proverb teaches people about being diligent in doing their jobs well when the time of dong them begins, so that they can gain a lot of wealth in their families.

Proverbs 10:4.

Proverbs 12:27.

1425. NAGWANDILAGA DUHU.

Olihoyi munhu uyo olimilaga ngese ya jiliwa jidododo. Umunhu ng’wunuyo oyilimilaga ingese yiniyo bho witegeleja bhutale noyi kunguno galigatali ugukula chiza amandege genayo. Hunagwene ulu bhamuja abhanhu abho bhabhitaga hoyi ijo ajitaga oyombaga giki, “nagwandilaga duhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gujutumama milimo yakwe chiza umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agipunaga diyu ogandya gutumama milimo yakwe bho nguzu mpaga oimala chiza, kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaja sabho ja gutumamila chiza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo olimilaga ngunda go mandege madododo bho witegeleja bhutale, kunguno nu weyi aganguhaga gujutumama milimo yakwe bho witegeleja bhutale mpaga oyimala chiza, umuwikaji bhokwe.  Hunagwene agabhawilaga abhanhu giki, “nagwandilaga duhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha kuitumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Marko 4:26-29.

Yakobo 5:7.

KISWAHILI: NACHAMBUA TU.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akipalilia palizi ya mahindi. Mtu huyo, alikuwa akipalilia palizi hiyo kwa umakini mkubwa sana kwa sababu yalikuwa hayajakua vizuri mahindi hayo. Ndiyo maana walipomuuliza watu waliopita pale alichokuwa akikifanya, alisema kwamba, “nachambua tu.”

Msema huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kwenda kufanya kazi zake katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kufanya kazi kwa mguvu mpaga anaimaliza vizuri kwa sababu ya umakini wake huo wa kujibidisha kufanya kazi zake maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi za kumsaidia vizuri katika familia yake hiyo, kwa sababu ya umakini wake huo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepalilia shamba la mahindi madogo kwa umakini mkubwa mpaka akaimaliza vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “nachambua tu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao hizo, maishani mwao.

Marko 4:26-29.

Yakobo 5:7.

ENGLISH: I AM JUST ANALYZING.

There was a man who was weeding corn field. Such man was weeding the corn field very carefully because such corn had not grown well. That is why when people who passed by asked him what he was doing, he said, “I am just analyzing.”

This saying is equated to a person who always goes to do his work in his life. Such person wakes up in the morning and goes to work with great energy and finishes it well because of his attention to doing his work in his life. He earns a lot of wealth enough to help him well in his family, because of his attention, in his life.

This person resembles the one who weeded a small corn field with great attention until he finished it well, in his life. That is why he tells people that, “I am just analyzing.”

This saying imparts in people an idea of being attentive enough to always carrying out their duties well, so that they can earn decent wealth for using well in their family lives.

Mark 4:26-29.                                                                        

James 5:7.

1424. MBULUGUTYA TUNDE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile kogele ka ngoko. Ingoko ulu iloga igabulugutaga duhu nulu mamab’u, nulu mumasalu yamala ugoga kunguno ya bhujidadilila bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagaihayaga giki, “mbulugutya tunde.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu nsoso uyo agogaga b’o gwiyisila minzi duhu wangu wangu na amalaga, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agikalaga na mako mingi umumili gokwe ayo adagejaga umubhoji bhokwe ubho gwiyisila minzi na guswala myenda, kunguno ya gugayiwa witegeleja bho gwidilila chiza umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agakoyiyagwa na sata ijagwenhwa na bhusoso aha kaya yakwe kunguno ya gukija gwidilila chiza, umubhogi bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ngoko iyo igogaga bho gwibugulutya mumab’u nulu umumasalu duhu yamala, kunguno nuweyi agiisilaga minzi duhu umumili gokwe na omalaga goga bho nduhu ugwiyeja amako, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunaagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mbulugutya tunde.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho goga na widiliji wiza mpaga gashila amako gabho, kugiki bhadule gujipeja isata ijagwenhelejiwa na bhusoso umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

1Wafalme 8:47.

Mathayo 3:1-2.

Marko 1:45.

Wakolosai 3:1-2.

KISWAHILI: UGAAGAAJI WA KUKU.

Chanzo cha msemo huo huangalia ugaagaaji wa kuku. Kuku akitaka kuoga hujigalagaza kwenye mchanga au kwenye majivu tu anamaliza kuoga kwa sababu ya kutokujijali kwakwe. Ndiyo maana watu huuita uogaji wake huo kuwa ni “ugaagaaji wa kuku.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu mchafu anayeoga kwa kujimwagia maji tu anamaliza, katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na uchafu mwingi mwilini mwake ambao huwa hausafishi vizuri katika uogaji wake huo wa kujimwagia maji mwilini tu anamaliza, kwa sababu ya kukosa umakini wa kujijali vizuri maishani mwake. Yeye husumbuliwa na magonjwa yatokanayo na uchafu kwenye familia yake kwa sababu ya kutosa umakini huo wa kuoga vizuri katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule kuku anayeoga kwa kujigalagaza tu kwenye mchanga anamaliza, kwa sababu naye hujimwagia maji tu mwilini mwake anamaliza kuoga, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuitaji kwamba ni “ugaagaaji wa kuku.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na kumakini wa kuoga kwa kujijali vizuri mpaka wanakuwa safi, ili waweze kujikinga na magonjwa yatokanayo na uchafu, katika familia zao, maishani mwao.

1Wafalme 8:47.

Mathayo 3:1-2.

Marko 1:45.

Wakolosai 3:1-2.

ENGLISH: CHICKEN’S PLAYING WITH DUST.

The origin of the over head saying looks at the debauchery of chickens. When chicken want to bathe, only debaucheries in the sand or ashes and finish bathing because of lack of self-care. That is why people call such debauchery as “Chicken’s playing with dust.”

This saying is equaled to a dirty person who bathes by pouring water on him/herself and finishes. This person lives with a lot of dirt in his body that does not clean properly in his bath of pouring water on himself because of a lack of attention to taking respectable care of himself in his life. He is troubled by diseases which are caused by dirt in his family because of such lack of responsiveness to bathing properly in his life.

This person is like the hens which bathed by pouring water only by water without nicely cleaning, because he also pours water on his body and finishes bathing, in his life. That is why people call him as “Chicken’s playing with dust.”

This proverb teaches people about being careful enough to bathe and take respectable care of themselves until they are clean, so that they can protect themselves from diseases which are caused by dirt, in their family lives.

1 Kings 8:47.

Matthew 3:1-2.

Mark 1:45.

Colossians 3:1-2.

1422. LUSONA LO MBITI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile mbiti. Imbiti yiniyo ili ndimu ng’hub’u gete ugulya inama kunguno yigitaga lusona uluyuyibhona inama yiniyo. Iyoyi igasiminzaga mabala na mabala igujaga yuchola nama kunguno ya bhutubhu bhoyo bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayitanaga giki “lusona lo mbiti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinaku o nama umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agikalaga uchola nama mu makaya ga bhanhu abho abhazugaga nama kunguno ya bhulaku bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguyibheja chiza ikaya yakwe kunguno ya bhulaku bhokwe ubho gumana uchola nama mumakaya ga bhanhu mpaka oileka imilimo ya ha kaya yakwe yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni mbiti iyo igacholaga nama bho guyela mumabala mingi, kunguno nuweyi agacholaga nama mu makaya ga bhanhu mpaga oduma uguyibheja chiza ikaya yakwe umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “lusona lo mbiti.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka bhulaku bho gulya majiliwa bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

KISWAHILI: UDELELE WA FISI.

Chanzo cha msemo huo huongelea fisi. Fisi huyo ni mnyama mlafi wa kula nyama kwa sababu humwaga udelele anapoiona nyama hizo. Yeye hutembea sehemu mbali mbali akitafuta nyama kwa sababu ya ulafi wake huo. Ndiyo maana watu humwita jina la “udelele wa fisi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mlafi wa kula nyama katika maisha yake. Mtu huyo hutafuta nyama kwenye familia za watu walioipika nyama hiyo kwa sababu ya ulafi wake huo maishani mwake. Yeye hushindwa kuiendeleza vizuri familia yake kwa sababu ya ulafi wake huo wa kutumia muda wake kwa kutafuta nyama kwenye familia za watu wanaoipika, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule fisi anayetafuta nyama za kula kwa kutembea sehemu mbalimbali, kwa sababu naye hutafuta nyama kwenye familia za watu mpaka anashindwa kuiendeleza vizuri familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “udelele wa fisi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha ulafi wa chakula kwa kujibidisha kufanya kazi zao vizuri ili waweze kupata mafanikio mengi kwenye familia zao, maishani mwake.

Waefeso 5:21.

Wakolosai 3:18.

ENGLISH: HYENAS’ SALIVATING.

The source of this saying is about hyenas. Hyenas are voracious carnivores because they salivate when they see meat. They travel to different places looking for meat because of their greediness. That is why people call them as “Hyenas’ salivating.”

This saying is equaled to a person who is a voracious in his life. This person looks for meat in families of people who cook it because of his gluttony in his life. He fails to properly support his family because of his voraciousness in spending his time looking for meat in the families of people who cook it, in his life.

This person resembles the hyena which looks for meat to eat by walking to different places, because he also looks for meat in people’s families until he fails to properly support his family, in his life. That is why people call him as “Hyenas’ salivating.”

This saying teaches people about stopping gluttony by working hard enough to nicely do their jobs so that they can achieve great success in their family lives.

Ephesians 5:21.

Colossians 3:18.

1421. ULI NUMA GUTI NKILA GO MBULI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyile nkila go mbuli. Imbuli guli ntugo uyo guli na kandila kadoo ukunuma. Giko lulu uluyusinzwa abhanhu b’agikalaga bhadatogilwe ugulya ungila gunuyo kunguno guli gudoo na hangi gudina na nama. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu uyo adinasolobho giki, “uli numa giti nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasekaga abhanhu abho bhadina jikolo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhabyedile abhanhu abho bhadina sabho bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe kunguno ya bhodoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhahab’i, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagansega umunhu uyo oliadina solobho ukubhoyi, kunguno nuweyi agabhasekaga abhahab’i mpaka ogayiwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhahab’i giki, “uli numa giki nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya guleka nhungwa ja gubhaseka abhanhu abho bhadina jikolo bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

KISWASHILI: UKO NYUMA KAMA MKIA WA MBUZI.

Chanzo cha msemo huo huongelea mkia wa mbuzi. Mbuzi ni mfugo ambayo huna ka mkia kadogo nyuma. Hivyo basi mbuzi huyo akichinjwa watu huwa hawapendi kula mkia huo kwa sababu ni mdogo na hauna nyama. Ndiyo maana watu humwambia mtu asiye na faida kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwacheka watu wasio na mali katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu maskini kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka watu maskini, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na wale waliomcheka yule ambaye walimuona hana faida kwao, kwa sababu naye huwacheka watu maskini mpaka anakosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye humwambia mtu maskini kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwacheka watu maskini kwa kuwasaidia vizuri, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

ENGLISH: YOU ARE BACK LIKE GOAT’S TAIL.

An origin of this saying refers to a tail of a goat. A goat is an animal that has a small tail on the back. Therefore, when this animal is slaughtered, people do not like to eat such tail because it is small and has no meat. That is why people say to a person who is not profitable that, “you are back like goat’s tail.”

This saying is matched to a person who laughs at people who have no money in his life. Such person despises poor people by laughing at them because of his arrogance in his life. He misses sanctification of living happily in his family because of his egotism of laughing at poor people, in his life.

This person is like those who laughed at the one whom they saw as useless to them, because he also laughs at poor people to the point of missing approvals of living happily in his family life. That is why he says to a poor person that, “you are back like goat’s tail.”

This adage imparts in people an idea of stopping habit of laughing at the poor people by nicely helping them, so that they can receive sanctification of living happily in their family lives.

Luke 16:19 – 28.

Psalm 82:3.