legacy

1471. BATINDIJI PYE.

Akahayile kenako kahoyelile ndimu iyo igitanagwa ng’holo. Indimu yiniyo, igikalaga ndyehu bhuli makanza kunguno ya kabhumbulwe kayo kenako, umuwikaji bhoyo. Iyoyi igabhizaga guti giki igutindilaga, umukikalile kayo kenako. Hunagwene abhanhu bhagajitinaga ing’holo jinijo giki, “bhatindiji pye.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alinyehu umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga na bhanhu bho gwiyambilija kutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhulyehu bhokwe bhunubho umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni ng’holo iyo ilindyehu kunguno nuweyi ali na bhulyehu bho gubhalela chiza abhanhu bhakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “batindiji pye.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulyehu bho gwikala chiza na bhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

 Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

 

KISWAHILI: WASINZIAJI WOTE.

Msemo huo, huongelea juu ya mnyama anayeitwa kondoo. Mnyama huyo huishi kwa utulivu kila wakati kwa sababu ya kuumbwa kwake hivyo maishani mwake. Kondoo huyo, huonekana kana kwamba, anasinzia katika maisha yake. Ndiyo maana watu huwaita kondoo wote kuwa ni “wasinziaji wote.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mpole katika maisha yake. Mtu huyo, huishi na watu kwa kusaidiana katika kuyatekeleza vizuri majukumu yao, kwa sababu ya upole wake huo, maishani mwake. Yeye huwalea vyema watu walioko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya upole wake huo, katika maisha yake hayo.  

Mtu huyo, hufanana na yule kondoo anayeishi kwa utulivu, kwa sababu naye ana upole wa kuwalea vyema watu wake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni, “wasinziaji wote.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upole wa kuwawezesha kuishi na wenzao vizuri, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Hebabu 12:3.

Yeremia 11:19.

1470. NANG’HO OPOMOKELA.

Olihoyi munhu uyo otumamaga nimo gokwe uyo goli na solobho nhale umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo ogutumamaga bhuligwa unimo gokwe gunuyo kunguno ya solobho yago yiniyo aha kaya yakwe. Uweyi wigulambijaga ugugutumama unimo gunuyo bho nduhu uguguleka nulu alifigilijiwa na bhiye. Hunagwene abhanbu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina wiyumilija bho gwigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugugwa ing’holo nulu alidahahijiwa na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yabho bho nduhu ugubhadegeleka abhanhu abho bhagaidalihijaga imilimo yakwe, kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo, aha kaya yakwe kunguno ya wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo yakwe yiniyo nulu bhalindalihija abhiye, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo otumamaga nimo gokwe bho nduhu uguguleka nulu bhalindalahija abhiye, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe bho nduhu ugoya nulu bhalimbyeda abhiye, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagang’wilaga giki, “nang’ho opomokela.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza bho nduhu uguileka nulu bhalidalahijiwa na bhichabho, kugiki bhadule kupandika sabho ja gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhokwe.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

KISWAHILI: NAWE HAMNA.

Alikuwepo mtu aliyekuwa akifanya kazi yake iliyokuwa na faida kubwa maishani mwake. Mtu huyo, aliifanya kazi yake hiyo kila siku kwa sababu ya faida kubwa ya kazi yake hiyo.  Yeye alijibidisha kuitekeleza kazi yake bila ya kukubali kukatishwa tamaa na watu wenzake waliomdharau. Ndiyo maana watu hao walimwambia kuwa, “nawe hamna.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi yake bila ya kukata tamaa anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuwasikiliza wale wanaoidharau kazi yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kuendelea kuyatekeleza majukumu yake hata pale anapodharauliwa na wenzake, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyefanya kazi yake hiyo bila ya kuiaacha hata pale alipodharauliwa na wenzake, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake bila ya kuiacha hata pale anapodharauliwa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “nawe humna.”

Msemo huyo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kuyatakelekeza vizuri majukumu yao bila ya kuyaacha hata kama baadhi ya watu watawadharau, ili waweze kupata mali za kuwasaidia katika kuzilea vyema familia zao hizo, maishani mwao.

Kumbukumbu 27:16.

2 Mambo ya Nyakati 36:16.

Isaya 53:3.

1469. NH’UMO GO HUMILA WILALI.

Golihoyi mongo uyo gohumaga wilali ijidiku ni chu bho nduhu ugukama. Umongo gunuyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugutinika kunguno ya wingi bho minzi gago. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudimilaga mhayo go ng’wa mulungu bhuli makanza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagudimilaga umhayo go ng’wa Mulungu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe na gwikala na bhanhu chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga mbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yake kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho ubho gugudimila chiza umhayo go ng’wa Sebha, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu mongo uyo gugahumaga pye amakanza bho nduhu ugukama, kunguno nuweyi agasalilaga pye amakanza bho nduhu ugunoga, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “nh’umo go humila wilali.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gugadimila amalagilo ga ng’wa Mulungu bhuli makanza bho nduhu ugunoga, kugiki bhadule kupandika mbango ja gubhashisha ng’wigulu.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

KISWAHILI: MTIRIRIKO UMETIRIRIKA KIMOJA.

Ulikuwepo mto ambao ulikuwa ukitiririka kimoja wakati wote wa kiangazi na wa masika bila ya kukoma. Mto huo ulitiririka wakati wote bila ya kukatika kwa sababu ya wingi wa maji yake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hulishikiria neno la Mungu kila wakati, katika maisha yake. Mtu huyo, hulishikilia neno la Mungu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake na kuishi vizuri na watu, kwa sababu ya unyofu wake huo maishani mwake. Yeye hupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake kwa sababu ya uaminifu wake huo wa kuliishi vyema neno la Mungu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na ule mto uliotiririka wakati wote bila kukoma, kwa sababu naye hulishikiria neno la Mungu kila wakati bila kushoka, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “mtiririko umetiririka kimoja.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uaminifu wa kuyaishi maagizo ya Mungu wakati wote bila kushoka, ili waweze kupata baraka za kuwafikisha mbinguni.

Mathayo 24:35.

Marko 13:31.

Luka 21:33.

1468. NAGULILAGA HA NUMBAGA.

Olihoyi munhu uyo agasoma chiza mpaga ukinda umumasomo gakwe. Unsomi ng’wunuyo, agapandika nimo kulwa bhusomi bhokwe bhunubho umo agayupandikila mhiya gubhitila mu nimo gokwe gunuyo. Uweyi agayulila mu mbeho kunguno ya kupandika mhiya ja gugulila jiliwa bho nduhu ugupya ilimi. Hunagwene agayomba giki, “nagulilaga ha numbaga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala ga gwigugulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ja gutumamila umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga amasala gakwe bho guchola milimo miza na gwigulambija guitumama chiza mpaga opandika jiliwa oyulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ja gulya chiza aha kaya yakwe kunguno ya masala gakwe genayo, agatumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agasoma mpaga upandika nimo gogupandikila mhiya ja gulila mu mbeho, kunguno nuweyi alina masala gagwigulambija gutumama milimo chiza mpaga opandika jiliwe ja gulya chiza aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nagulilaga ha numbaga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na masala gagwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gulya chiza umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 52:33-34.

Mhubiri 5:10-15.

KISWAHILI: NINAKULA NIKIWA KIVULINI.

Alikuwepo mtu aliyesoma vizuri mpaka akashinda vizuri katika masomo yake. Msomi huyo, alipata kazi iliyompatia hela kwa sababu ya usomi wake huo. Yeye alianza kula akiwa kivulini kwa sababu ya pesa alizozipata kwenye mshahara wakutoka kwenye kazi yake hiyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anapata mali nyingi, katika maisha yake. Mtu huyo huitumia vizuri akili yake kwa kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka anapata chakula cha kula vizuri katika familia yake, kwa sababu ya akili zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali za kula vizuri katika familia yake kwa sababu ya akili zake hizo, za kujibidisha kufanya kazi vizuri hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyesoma vizuri mpaka akapata kazi ya kumpatia pesa za kumwezesha kula akiwa kivulini, kwa sababu naye ana akili za kujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka akapata chakula cha kula vizuri kwenye familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo husema kwamba, “ninakula nikiwa kivulini.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na akili za kujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kula vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Yeremia 52:33-34.

Mhubiri 5:10-15.

1467. YAPULA NSU.

Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhali bhaja kulombo na nva yabho. Inva yao yiniyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaka yakupandika chiza na gwiyubhona indimu yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomga giki, “yapula nsu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala gagujichola isabho mpaga ujipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho guitilila bhukengeji imilimo yakwe na gwigulambija guitumama chiza mpaga oyimala, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gugatumamila chiza amasala gakwe genabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni nva iyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaga yayipandika, kunguno nuweyi agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “yapula nsu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudebha ugugatumamila chiza amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho jinijo.

Mwanzo 10:9.

Mwanzo 25:27.

Yeremia 16:16.

KISWAHILI: AMENUSA HARUFU.

Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wanawinda wanyama poli na mbwa wao. Mbwa huyo alikuwa akimtafuta mnyama wanayemuwinda anapowapotea kwa kunusa harufu yake mpaka anampata. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “amenusa harufu.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kutafuta mali mpaka anaipata katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia vizuri akili yake hiyo kwa kuzifanyia utafiti kazi zake na kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka anazimaliza kwa sababu ya akili yake hiyo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya kuzitumia vizuri hivyo akili zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule mbwa aliyemtafuta mnyama kwa kunusa harufu yake mpaka akampata, kwa sababu naye huitumiza vizuri akili yake kwa kutafuta kazi na kuzitekeleza vizuri mpaka anafanikiwa kupaka mali nyingi katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kamba, “amerusa harufu.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzitumia vizuri akili zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao hizo.

Mwanzo 10:9.

Mwanzo 25:27.

Yeremia 16:16.