legacy

1303. AB’AYANDA B’ANG’WASINZO MDACHAGA SONI.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile bhugayiwa bho soni bho b’ayanda bha ng’wa Sinzo. Olihoyi munhu uyo agaja kukaya yabho ugaiyitila ya wiza ikaya ya ng’wa Sinzo yiniyo. Uweyi wiganikaga giki abhanhu bhenabho bhagufunya bhulumbi ukuli weyi kunguno ya wiza bhunubho ubho obhitila. Aliyo lulu, ab’ayanda bha ha kaya yiniyo bhagang’witila mihayo ya bhubhi. Hunagwene agayomba giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adalumbaga ulu witilagwa mihayo ya wiza na bhiye, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza kunguno ya bhujidalumba bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa abhanhu bha gung’wambilija aha kaya yakwe ulu opandikaga makoye kunguno ya gubhitila mihayo ya bhubhi abhanhu abho bhagang’wambilijaga bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga na b’ayanda bha ng’wa sinzo abho bhagang’witila mihayo ya bhubhi uyo agabhitila ya wiza aha kaya yabho, kunguno nuweyi agabhadahilijaga abhiye abho bhagang’witilaga mihayo ya wiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ab’ayanda bho ng’wa sinzo mdachaga soni.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhulumbilija ukubhanhu abho bhagabhitilaga mihayo ya wiza, kugiki bhadule gwiyambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

KISWAHILI: WAVULANA WA SINZO HAMUONI AIBU.

Chanzo cha msemo huo huangalia hali ya kutokujisikia aibu kwa wavulana wa Sinzo. Alikuwepo mtu aliyeenda kwenye familia ya hao wavulana akaitendea wema familia hiyo ya Sinzo. Yeye alitegemea kwamba, watu hao wangetoa shukrani kwake kwa wema huo aliowatendea. Lakini basi, wavulana wa kwenye familia hiyo, walimtendea uovu. Ndiyo maana alisema kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu asiyekuwa na moyo wa shukrani anapotendewa wema na wenzake, katika maisha yake. Mtu huyo huwadharau wenzake wanaomtendea mema kwa kutokuwajali kwa sababu ya kukosa moyo wa shukrani maishani mwake. Yeye hukosa watu wa kumsaidia anapokumbwa na matatizo katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuwatendea uovu huo wale wanaomsaidia, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale wavulana wa sinzo waliomtendea uovu yule aliyewatendea wema, kwa sababu naye huwatendea uovu wa kuwadharau wenzake wanaomtendea wema, maishani mwake. Ndiyo maana watu hao humwambia kwamba, “wavulana wa sinzo hamuoni aibu.”

Msemo huo, huwafundisha watu juu ya kuwa na moyo wa shukrani kwa watu wanaowatendea wema, ili waweze kusaidiana katika kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Zaburi 25:4.

Marko 14:41.

Yohane 13:18.

ENGLISH:  SINZO BOYS ARE NO ASHAMED.

The cradle of this saying stares at shamelessness of Sinzo’s boys. There was someone who went to Sinzo’s boys of boys and treated such family well. He hoped that those people would thank him for such kindness which he did to them. But then, these boys treated him severely. That is why he said that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying is compared to a person who does not have a heart of gratitude when he is treated well by his colleagues in his life. Such person despises his colleagues who treat him well with indifference because of a lack of gratitude in his life. He has no people who can help him when he is faced with hitches in his family because of evil treatment to those who help him in his life.

This person is similar to Sinzo’s boys who treated maliciously the one who treated them well, because he also treats them with evil of despising his colleagues who treat him well, in his life. That is why those people tell him that, “Sinzo boys are not ashamed.”

This saying teaches people about having a gratitude heart to people who treat them well, so that they can help each other in developing their families in their lives.

Psalm 25:4.

Mark 14:41.

John 13:18.

 

africa-2629970_1280

1302. ABHANGI NDUHU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile winhiwa bho bhutale bho ng’wa munhu nhebhe. Olihoyi munhu uyo ong’winhaga bhutale munhu uyo oliandebhile.  Aho lyashika ilikanza, umunhu ng’winuyo agabhona bhaliza bhanhu bhangi abho adabhahayile mpaga nose ubhawila giki bhanjile ung’winikili bhutale bhunubho. Hunagwene agabhalema abhangi bhenabho bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahahile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aginhagwa nimo ogutumama chiza gitumo gudakililwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agaidebhaga chiza imilimo iyo aginhiyagwa na ogatumama chiza kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalangaga abhanhu bha ha kaya yakwe gutumama milimo yabho chiza, kunguno ya bhutungilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agaja gujung’winha bhutale ung’wilikili bhutale ng’wunuyo, kunguno nuweyi agaitumama chiza imilimo iyo aginhiyagwa na bhiye umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagabhalemaga abhangi bho guyomba giki, “abhangi nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutungilija bho gutumama chiza imimo yabho, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

KISWAHILI: WENGINE HAPANA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia upewaji wa ukubwa wa mtu fulani. Alikuwepo mtu aliyeenda akimpatia ukubwa mtu aliyekuwa anamfahamu. Ulipofika ule wakati, mtu huyo aliona watu wengine wanafika kwake wale ambao hakuwataka mpaka mwishowe aliwaambia watu wamfuate mwenye ukubwa huo. Ndiyo maana aliwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hupewa kazi na kuzitekeleza vizuri kama inavyotakiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huzielewa vizuri kazi anazopewa ndipo anazitekeleza vizuri kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, maishani mwake. Yeye huwafundisha watu wa kwenye familia yake kufanya kazi zao vizuri, kwa sababu ya unyoofu wake huo wa kutenda haki, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeenda kumpatia ukubwa yule aliyemfahamu akahakikisha kuwa anampatia mwenye ukubwa huo, kwa sababu naye huzitekeza vizuri kazi anazopewa na wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana watu huwakataa wengine kwa kusema kwamba, “wengine hapana.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na unyoofu wa kutenda haki kwa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kuziendeleza vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 31:6.

Hesabu 16:5.

Kumbukumbu la Torati 10:15.

Matendo ya mitume 22:14.

Luka 6:13.

zulu-kingdom-3411052_1280

ENGLISH: OTHERS ARE NOT.

This saying looks at a given leadership of a certain person. There was a person who went to give a leadership to someone whom he knew. When that time came, such man saw other people coming to him whom he did not know until finally he told all people to follow the chosen one. That is why he rejected others by saying, “others are not.”

This saying is related to a person who is given tasks and performs them well as they are required be done in his life. Such person understands well the tasks which are given to him and then he executes them well because of his sincerity of doing justice in his life. He teaches him family members on how to correctly do their jobs, because of his honesty in his life.

This person resembles the one who went to give leadership to someone whom he knew and made sure that he gives it to such chosen one, because he also performs well the tasks which are given to him by his colleagues in his life. That is why people reject others by saying, “others are not.”

This saying imparts in people a clue of being honesty enough to do justice to their societal members by performing their duties well, so that they can quickly advance their families in their lives.

Exodus 31:6.

Numbers 16:5.

Deuteronomy 10:15.

Acts 22:14.

Luke 6:13.

1301. DUBHULANGULILE.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile kalile ka jiliwa ka bhanhu. Abhanhu abho bhalilya jiliwa bhagalangula tamu na bhamila ijiliwa ijo bhalijilya jinijo kunguno bhadadulile ugumila ijiliwa ukunu bhagundamile. Hunagwene abhanhu ulubhalilya bhagikomelejaga bho guyomba giki, “dubhulangulile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumilaga chiza ijikolo jakwe giti numo jidakililwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajitilaga bhukengeji bho gujidebha chiza pye ikolo jakwe na wandya ugujitumamila kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga matwajo mingi aha kaya yakwe kunguno ya kujitumamila chiza ijikolo jakwe jinijo, umumilimo yakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhalangulaga na bhajimila ijiliwa ijo bhajilyaga jinijo, kunguno nuweyi agajitumamilaga ijikolo jakwe chiza kitumo jidakililwe ugutumamilwa, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhiye giki, “dubhulangulile.”

Akahayile kenako, kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujitila bhukengeji bho gujidebha chiza ijikolo jabho na bhandye ugujitumamila, kugiki jidule gubhambilija chiza ugujilanhana ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Marko 14:22-26.

Wakolosai 3:1.

Mwanzo 26:30.

Mwanzo 19:3.

Luka 5:29.

KISWAHILI: TUUINULIE VICHWA.

Chanzo cha msemo huo, huangalia ulaji wa chakula wa watu. Watu wanapokula chakula huinua vichwa vyao ndipo wanameza kwa sababu haiwezekani kumeza chakula hicho wakiwa wameinama. Ndiyo maana watu wanapokula huhimizana kwa kusema kwamba, “tuuinulie vichwa.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvitumia vizuri vitu vyake kama vinavyotakiwa kutumiwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huvifanyia utafiti wa kutosha kuvielewa vizuri vitu vyake hivyo ndipo anaanza kuvitumia kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake kwa sababu ya kuvitumia vizuri vitu vyake hivyo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na wale waliokuwa wakiviinue vichwa vyao ndipo wanavimeza vyakula walivyokuwa wanakula, kwa sababu naye huvitumia vitu vyake vizuri kama vinavyotakiwa kutumiwa, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia watu kwamba, “tuuinulie vichwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuvifanyia vitu vyao utafiti wa kutosha kuvielewa vizuri, ndipo waanze kuvitumia ili viweze kuwasaidia vizuri katika kuzitunza familia zao, maishani mwao.

Marko 14:22-26.

Wakolosai 3:1.

Mwanzo 26:30.

Mwanzo 19:3.

Luka 5:29.

village-children-5175542__480

ENGLISH: LET US LIFT UP OUR HEADS FOR IT.

The source of this saying stares at people’s food intake. When people eat food raise their head for swallowing because it is impossible to swallow such food while bending down. That is why when they eat, encourage each other by saying, “Let us lift up our heads for it.”

This saying is paralleled to a man who uses his belongings well as they are supposed to be used, in his life. Such person does good research enough to understand his possessions well and then he starts using them nicely because of his thoughtfulness, in his life. He gets a lot of success in his family because of using his properties well, in his life.

This person is similar to those who used to raise their heads while swallowing the food which they ate, because he also courteously uses his possessions as they should be used, in his life. That is why he tells people that, “Let us lift up our heads for it.”

This saying instills in people an idea of being careful to enough do research on their possessions for understanding them well, then they start using them so that these possessions can help them well in taking care of their families in their lives.

Mark 14:22-26.                                                    

Colossians 3:1.

Genesis 26:30.

Genesis 19:3.

Luke 5:29.

 

 

1300. LYABHITA ILIKUMBO.

Imbuki ya kahayile kenako iholelile higulya ya likumbo. Ilikumbo linilo jili ginhu ja kupyagula bho gwinja mapalala kugiki jele aho ilipyagulwa henaho. Amapalala genayo gadulile gwikala hang’walida, mubhusiga nulu hosehose aho gadudakilagwa gikale. Aho lyapyagulaga ilikumbo igabhelelaga chiza hoyi. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “lyabhita ilikumbo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhahugulaga abhiye bhaleke nhungwa jabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo alina nhungwa jawiza ijagubhahugula abhiye abho bhagitaga miito gabhubhi, bhayileke iyabhubhi yiniyo bho gwita yawiza, kunguno ya bhutogwa ubho alinabho ikubhiye bhenabho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhalelaga chiza abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga ni likumbo ilogapyagulaga mapalala hanhu mpaga yela hoyi, kunguno nuweyi agabhahugulaga abhangi bhaleke inhungwa ijabhubhi kugiki bhadule gwikala na nhungwa jawiza, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyabhita ilikumbo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gwikala na nhungwa jawiza ijagubhahugula abhichabho bhaleke inhungwa ijabhubhi, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 3:12.

Yhana 15:2.

Mathayo 5:8.

Matendo 15:9.

1Wakorintho 5:7.

KISWAHILI: UMEPITA UFAGIO.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya ufagio. Ufagio huo ni kitu cha kufagia takataka kwa kuiondoa pale isipotakiwa kuwepo ili pale papendeze. Takataka hiyo yaweza kuwepo kwenye sehemu ya kupigia mtama, kwenye matama wenyewe au popote pale isipotakiwa kuwepo. Pale ambapo ufagio huo umepita hupendeza vizuri. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umepita ufagio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwarekebisha wengine waache tabia ya kutenda maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, anatabia njema ya kumwezesha kuwarekebisha wengine ili waache matendo maovu kwa kutenda mema, kwa sababu ya upendo alionao kwa wenzake hayo, maishani mwake. Yeye hufanikiwa kuwalea vyema watu wanaoishi kwenye familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na ule ufagio uliofagia takataka mpaka sehemu hiyo ikawa safi, kwa sababu naye huwalekebisha wenzake waache kutenda maovu, kwa kutenda mema, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “umepita ufagio.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuwawezesha kuwarekebisha wenzao waache kutenda maovu kwa kutenda mema, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 3:12.

Yohana 15:2.

Mathayo 5:8.

Matendo 15:9.

1Wakorintho 5:7.

cleaner-3122363_1280

 

ENGLISH: THE BROOM HAS PASSED.

The source of this saying talks about a broom. This broom is something which people use for sweeping garbage by removing them where they are not supposed to be, so that such area becomes clean. The garbage can be in the millet field, dams themselves or anywhere where it should not be. When the broom has passed, such place appears good. That is why people say that, “the broom has passed.”

This saying is compared to a man who corrects others enough to make them stop doing evil habits in life. He has a good attitude that enables him to correct others so that they can stop doing wicked deeds by doing good ones, because of true love which he has to his colleagues in life. He manages to nurture well all people who live in his family, because of his good character in his life.

This person is like a broom that sweeps away the garbage until that portion becomes clean, because he also directs his colleagues enough to stop them from doing evil by doing good deeds in life. That is why people tell him that, “the broom has passed.”

This saying instills in people a clue  on having good deeds enough to enable them correctly lead their dukes in stop doing evil by doing good deeds, so that they can raise well their family members in their lives.

Matthew 3:12.

John 15:2.

Matthew 5:8.

Acts 15:9.

1 Corinthians 5:7.

 

1299. OSANJA NALIMAGULU IGANDA.

Olihoyi munhu uyo olioloma lugendo lo gujugisha maduguye. Umunhu ng’wunuyo agayuchola imondoka iyagunshisha koyi kunguno ya yalikule noyi. Ijinakuchola chiniko agasanja nalimagulu iganda ilo ligitanagwa lingongongo kunguno lilimagulu mingi. Uweyi agibakila moyi lyunchala mpaga ushiga ukubhaduguye bho nduhu gupandika makoye gosegose kunguno ligabhuchaga bhanhu bhingi. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “osanja nalimagulu iganda.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agacholaga sabho mpaga ojipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajicholaga isabho jinijo bho bhukamu bhutale mpaga ojipandika kunguno ya wigulambija na wiyumilija bhokwe bhunubho ubho gutumama milimo chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agasabhaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho ugutumama milimo chiza na wiyumilija bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ocholaga mondoka ya gwibhakila umulugendo lokwe usanja na limagulu iganda ilo liganshisha mpaga kubhaduguye, kunguno nuweyi agacholaga sabho bho wiyumilija mpaga ujipandika umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “osanja nalimagulu iganda.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gwigulambija gutumama milimo yao mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yeremia 17:25.

Yeremia 22:4.

KISWAHILI: AMEKUTANA NA LENYE MIGUU MINGI.

Alikuwepo mtu aliyepanga safari ya kwenda kuwasalimu ndugu zake. Mtu huyo alianga kutafuta gari la kumfikisha huko kwa sababu ilikuwa mbali sana. Akiwa katika hali ya kutafuta hivyo, alikutana na lenye miguu mingi ambalo huitwa garimoshi kwa sababu lina miguu mingi. Yeye alipanda kwenye gari moshi hilo, likamsafirisha mpaga kwa ndugu zake bila kupata matatizo yoyote kwa sababu lenyewe linauwezo wa kubeba watu wengi. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “amekutana na lenye miguu mingi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hutafuta mali mpaga anaipata katika maisha yake. Mtu huyo, huitafuta mali hiyo kwa bidii kubwa ya kutekeleza majukumu yake mpaga anaipata kwa sababu ya kujibidisha kutafuta kwa uvumilivu wake huo, maishani mwake. Yeye hutajirika kwa kupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya uvumilifu wake huo wa kujibidisha kufanya kazi vizuri, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyetafuta gari za kusafiria akapata gari moshi lililompeleka mpaga kwa ndugu zake, kwa sababu naye hujibidisha kutafuta mali mpaga anazipata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “amekutana na lenye miguu mingi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kujibidisha kufanya kazi vizuri mpaka wanazimaliza, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Yeremia 17:25.

Yeremia 22:4.

ENGLISH: HE MET THE ONE WHICH HAS MANY LEGS.

There was a man who planned a journey for greeting his brothers. He started looking for a car that can take him there because it was too far. While he was searching for that, he met the one which has many legs which is called train because it has many legs. He boarded it which transported him to his brothers without any glitch because it can carry many people. That is why people said that, “he has met the one which has many legs.”

This saying is matched to a person who looks for riches which he finds in life. Such person looks for that wealth with great effort enough to carry out his duties, but he gets it because he searches for it with his patience, in his life. He gets rich by getting a lot of wealth in his family because of his perseverance that is strong enough to work well, in his life.

This person resembles the one who looked for traveling car and found a train that took him to his brothers, because he also struggles to find wealth which he finds in his life. That is why people tell him that, “he has met the one which has many legs.”

This saying teaches people about having strong patience enough to work hard until they finish their works, so that they can get a lot of success in their lives.

Jeremiah 17:25.

Jeremiah 22:4.

 

 

train-7501073_1280

train-60539_1280

train-3758523_1280