legacy

1419. ILELO IB’INZA MALUNDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhagasiminza lugendo mpaga gunoga amagulu gabho. Abhanhu bhenabho bhali nalugengo lulihu gete ulogusimzina mpaga bhunoga shiniko alugushiga ndubu kunguno ya bhulihu bho lugendo lunulo. Hunagwene bhagayiwila giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu, umukakile kabho. Abhazunya bhenabho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kunguno ya bhutungulija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagasiminzaga na bhuyeji umulugendo lobho lunulo kunguno ya gwikala kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe, umukikalile kabho kenako.

Abhazunya bhenabho bhagikolaga nabho bhagasiminza lugendo lulihu bho gwiyumilija mpaka bhunoga, kunguno nabhoyi bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu lo guja ng’wigulu Kihamo na Yesu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gusiminza kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

KISWAHILI: LEO IVUNJA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo huongelea watu waliokuwa waliotembea safarini mpaka miguu yao ikachoka. Watu hao walikuwa na safari ya mwendo mlefu wa kutembea mpaka wakachoka hivyo bila ya kufika kwa sababu ya urefu wa safari hiyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa waumini wale ambao huvumilia kutembea safari ya kwenda mbinguni, katika maisha yao. Waumini hao, huvumilia kusafiri mwendo mrefu wa kwenda mbinguni kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, kwa sababu ya uaminifu wao huo, maishani mwao. Wao hutembea kwa furaha katika safari yao hiyo hiyo kwa sababu ya kuishi pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, katika maisha yao.

Waumini hao hufanana na wale waliotembea safari ndefu kwa kuvumilia mpaka wakachoka, kwa sababu nao huvumilia kutembea safari ndefu ya kwenda mbinguni pamoja na Yesu, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo, hufundisha waumini juu ya kuwa na uvumilivu kwa kutembea pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

ENGLISH: TODAY IS BREAKING LEGS.

The origin of this saying refers to people who walked on a journey until their legs got tired. These people had a long trip to walk until they got tired without arriving. That is why they said that, “today is breaking legs.”

The saying is paralleled to believers who endure their journey to heaven, in their lives. These believers endure long trip to heaven by living the Lord’s instructions, because of their faithfulness, in their lives. They walk happily on their same journey because of living with Jesus by putting into practice his instructions, in their lives.

These believers are like those who walked a long trip by enduring until they got tired, because they also endure long trip to heaven with Jesus, in their lives. That is why they say that, “today is breaking legs.”

This saying imparts in believers an idea of being patient in walking with Jesus by living his instructions, so that they can reach heaven.

Joshua 9:13.

1 Kings 19:7.

1417. NIBHUKILE.

Aho kale olihoyi munhu uyo oli na bhatumami bhokwe. Abhatumami bhakwe bhenabho bhalibhadantokigishaga umubhutumami bhobho bhunubho kunguno bhatumamaga chayachaya. Hunagwene agayomba giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaitumamaga chiza imilimo yakwe bho nduhu gulagija bhangi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza bho nduhu gulagija bhanhu bhangi kunguno ya gutogwa guidilila chiza imilimo yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na sabho ningi noyi akaya yakwe kunguno ya guidilila bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo mpaga oyimala chiza umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agibhukila guitumama chiza imilimo yakwe aho bhayitumama sagala abhatumami bhakwe, kunguno nuweyi agaitumamaga mpaga oyimala chiza imilimo yakwe bho nduhu gubhalagija bhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila imilimo yabho bho gwigulambija guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

KISWAHILI: NIENDE MWENYEWE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na wafanyakazi wake. Wafanyakazi hao wahakumfurahisha katika utendaji wao wa kazi kwa sababu walifanya kazi hovyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu yake bila ya kuwaagiza watu wengine, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake mpaga anazimaliza vizuri bila ya kuwaachia watu wengine kwa sababu ya kuzijali vizuri kazi zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzijali kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri mpaga anazimaliza, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeenda mwenyewe kuitekeleza vizuri kazi iliyofanywa hovyo na wafanyakazi wake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake mpaka anazimaliza vizuri bila kuwaagiza watu wengine, maishani mwake.  Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

ENGLISH: LET ME GO MYSELF.

Once upon a time there was a man who had his employees. The employees did not please him in their work performance because they did not work well. That is why he said that, “let me go myself.”

This saying is equaled to the person who performs his duties well without ordering other people, in his life. This persons struggles enough to finish his works well without leaving them to other people because of taking decent care of his work in his life. He earns a lot of wealth in his family because of taking care of his work by performing it well, in his life.

This person is similar to the one who went himself to perform the work well done by his employees, because he also performs his works until he nicely completes them without ordering other people, in his life. That is why he says that, “let me go myself.”

This adage teaches people enough to take care about their works by striving to finish them well so that they can obtain decent wealth enough to use in their family lives.

Ezekiel 34:10-15.

John 10:11-15.

1414. UGENIHA B’UGENI UGULONJIWA NDUHU.

Akahayile kenako kahoyelile jisumva ijo jigingilaga mukaya bho nduhu ugulongiwa na bhinikili kaya yiniyo.  Ijisumva jinijo jili guti jilungu mifa, danga, nole, nulu jigona ijijigingilaga umukaya ijo jidalongiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga abhageni ulu bhizaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadililaga abhageni abho bhagangenihaga bho nduhu agubhazugila ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya gukija ugubhalonja abhageni abho bhangenihaga, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajilonjaga ijisumva ijo jingilaga umukaya yakwe, kunguno nuweyi adabhalonjaga abhageni abho bhagangenihaga aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhageni bhenabho bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhalonja abhageni abho abha bhagabhagenihaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: UMEENDA UGENINI LAKINI HAWAKUJALI.

Msemo huo huongelea viumbe wanaoingia nyumbani bila mwenye nyumba kuwajali. Viumbe hayo ni kama vile kilungu yeye, chura, mijusi, na wengine ambayo ni jamii ya hao ambao huingia kwenye nyumba ya mtu bila ya yeye kuwajali. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawajali bhageni ambao humtembelea kuwaacha bila kuwapikia chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowajali wageni wanaomtembelea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule ambaye hakuwajali viumbe walioingia nyumbani kwake, kwa sababu naye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana wageni hao husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwajali wageni wanaowatembelea nyumbani mwao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN A STRANGER BUT THEY DO NOT CARE YOU.

This saying refers to creatures which enter a house without the owner paying attention to them. These creatures are like deer, frogs, lizards, and others which are a type of those that enter a person’s house without him paying attention to them. That is why people say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying is equated to a person who does not care about guests who visit his family, in his life. Such person does not take care about visitors who visit him by leaving them without cooking food for them, because of his greed in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his greed of not taking care about visitants who visit him in his life.

This person is like the one who did not care about the creatures that entered his house, because he also does not take care about guests who visit his family, in his life. That is why those guests say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying imparts in people an idea of being hospitable and considerate of strangers who visit their homes, so that they can experience blessings of living happily in their family lives.

Matthew 25:35-41.

Acts 10:28.

Romans 12:13.

1 Timothy 5:10.

 

 

1413. AGALYAGA JAGUKANDIWA.

Olihoyi munhu uyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo. Umunhu ng’wunuyo oliadajaga gujutumama umilimo kunguno ya gwikalila ha kaya ahikanza ilya milimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo o milimo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wigashije ahikanza lya gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza linilo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha kaya yakwe bhuli ng’waka kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho ubho gwikala wigashije ahikanza lya guitumama imilimo yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo, kunguno nuweyi agikalaga wigashije bho nduhu gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza lya milimo yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu bha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

KISWAHILI: ANAKULA CHA MASIMANGO.

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akila chakula bila kufanya kazi. Mtu huyo, alikuwa haendi kufanya kazi kwa sababu alikuwa akikaa nyumbani wakati wa kufanya kazi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kazi katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kukaa nyumbani wakati wa kufanya kazi mpaka muda huo unapita, kwa sababu ya uvivu wake huo maishani mwake.  Yeye hukosa chakula kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya uvivu wake huo wa kukaa nyumbani bila kufanya kazi, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kufanya kazi, kwa sababu naye hushinda akiwa amekaa nyumbani bila kufanya kazi mpaka wakati huo wa kazi unapita, maishani mwake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

ENGLISH: HE EATS THE FOOD OF INSULTS.

There was a man who ate food without working. Such man did not go to work because he was staying at home during working hours. That is why people said to him that, “he eats the food of insults.”

This saying is equaled to a person who is lazy in his life. Such man spends his time by staying at home during working hours until that time passes, because of his laziness in his life. He lacks food for his family every year because of his laziness in staying at home without working in his life.

This man resembles the one who ate food without working, because he also wins while staying at home without working until such time of work passes, in his life. That is why people said to him that “he eats the food of insults.”

This saying imparts in people an idea being diligent in working, by working hard enough to fulfill their duties well, so that they can earn wealth for their families.

Genesis 50:21.

Psalm 81:16.

Proverbs 11:21.

Ezekiel 34:23.

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

1412. NG’WICHAGE UNG’WANA AGUGUB’UNA.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilebhe. Umunhu ng’wunuyo oliobyalwa na jika ijo jaligungule ukungongo gokwe kunguno ya gubhumbwa chene. Uweyi obhizaga guti giki abhuchije ng’wana ukungongo gokwe gunuyo. Hunagwene abhanhu bhamelaga bho gung’wilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina bhudoshi bho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umukikalile kakwe. Munhu ng’wunuyo, agabhaluhyaga abhanhu abho bhalina jika jilebhe bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhanhu abho bhalina jika, umuwikaji bhokwe.

Umunhu ng’winuyo, agikolaga nabho bhansegaka uyo oliobyalwa na jika ukungongo, kunguno nuweyi agabhasekaga abhanhu abho bhali na jika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene agabhawilaga giki, “ng’wichage ung’wana agugub’una.”

Akahayile kenako kalanga bhahu higulya ya gubhiza na bhutengeke bho gwikala chiza na bhanhu abho bhalina jika, kugiki bhadule kupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

KISWAHILI: MSHUSHE MTOTO ATAKUCHOSHA.

Alikuwepo mtu aliyeishi katika kijiji fulani. Mtu huyo, alizaliwa akiwa na kilema kilichoinuka mgongoni mwake kwa sababu ya kuumbwa hivyo. Yeye alionekana kama amebeba mtoto mgongoni mwake. Ndiyo maana watu walimtania kwa kumwambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu aliye na majivuno ya kuwacheka watu wenye vilema, katika maisha yake. Mtu huyo, huwatesa vilema kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo, maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka vilema, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na wale waliomcheka yule aliyekuwa na kilema mgongoni mwake, kwa sababu naye huwacheka watu wenye vilema, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia kwamba, “mshushe mtoto atakuchosha.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kuishi vizuri na watu walio na vilema, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha, katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 9:27-30.

Luka 14:13-14.

2 Samweli 4:4.

ENGLISH: PUT THE CHILD DOWN, YOU WILL BE BORED.

There was a man who lived in a certain village. Such man was born with a crippled back because of his birthmark. He looked like he was carrying a child on his back. That is why people joked about him by saying that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying is compared to a person who is proud enough to laugh at people who have disabilities in his life. Such man tortures disabled ones by laughing at them because of his pride in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his pride of laughing at the disabled ones in his life.

This man is like those who laughed at the man who had a crippled back because he also laughs at the disabled people in his life. That is why he says that, “Put the child down, you will be bored.”

This saying imparts in people an idea of having decent habits of nicely living with people who have disabilities, so that they can receive blessings of living happily, in their family lives.

Matthew 9:27-30.

Luke 14:13-14.

2 Samuel 4:4.