legacy

1421. ULI NUMA GUTI NKILA GO MBULI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyile nkila go mbuli. Imbuli guli ntugo uyo guli na kandila kadoo ukunuma. Giko lulu uluyusinzwa abhanhu b’agikalaga bhadatogilwe ugulya ungila gunuyo kunguno guli gudoo na hangi gudina na nama. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga umunhu uyo adinasolobho giki, “uli numa giti nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agabhasekaga abhanhu abho bhadina jikolo, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agikalaga abhabyedile abhanhu abho bhadina sabho bho gubhaseka kunguno ya bhudoshi bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe kunguno ya bhodoshi bhokwe bhunubho ubho gubhaseka abhahab’i, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagansega umunhu uyo oliadina solobho ukubhoyi, kunguno nuweyi agabhasekaga abhahab’i mpaka ogayiwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhahab’i giki, “uli numa giki nkila go mbuli.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya guleka nhungwa ja gubhaseka abhanhu abho bhadina jikolo bho gubhambilija chiza, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

KISWASHILI: UKO NYUMA KAMA MKIA WA MBUZI.

Chanzo cha msemo huo huongelea mkia wa mbuzi. Mbuzi ni mfugo ambayo huna ka mkia kadogo nyuma. Hivyo basi mbuzi huyo akichinjwa watu huwa hawapendi kula mkia huo kwa sababu ni mdogo na hauna nyama. Ndiyo maana watu humwambia mtu asiye na faida kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwacheka watu wasio na mali katika maisha yake. Mtu huyo, huwadharau watu maskini kwa kuwacheka kwa sababu ya majivuno yakwe hayo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kuwacheka watu maskini, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na wale waliomcheka yule ambaye walimuona hana faida kwao, kwa sababu naye huwacheka watu maskini mpaka anakosa baraka za kuishi kwa furaha katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana yeye humwambia mtu maskini kwamba, “uko nyuma kama mkia wa mbuzi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha tabia ya kuwacheka watu maskini kwa kuwasaidia vizuri, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 16:19 – 28.

Zaburi 82:3.

ENGLISH: YOU ARE BACK LIKE GOAT’S TAIL.

An origin of this saying refers to a tail of a goat. A goat is an animal that has a small tail on the back. Therefore, when this animal is slaughtered, people do not like to eat such tail because it is small and has no meat. That is why people say to a person who is not profitable that, “you are back like goat’s tail.”

This saying is matched to a person who laughs at people who have no money in his life. Such person despises poor people by laughing at them because of his arrogance in his life. He misses sanctification of living happily in his family because of his egotism of laughing at poor people, in his life.

This person is like those who laughed at the one whom they saw as useless to them, because he also laughs at poor people to the point of missing approvals of living happily in his family life. That is why he says to a poor person that, “you are back like goat’s tail.”

This adage imparts in people an idea of stopping habit of laughing at the poor people by nicely helping them, so that they can receive sanctification of living happily in their family lives.

Luke 16:19 – 28.

Psalm 82:3.

1419. ILELO IB’INZA MALUNDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhanhu abho bhagasiminza lugendo mpaga gunoga amagulu gabho. Abhanhu bhenabho bhali nalugengo lulihu gete ulogusimzina mpaga bhunoga shiniko alugushiga ndubu kunguno ya bhulihu bho lugendo lunulo. Hunagwene bhagayiwila giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhazunya abho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu, umukakile kabho. Abhazunya bhenabho bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu ulo guja ng’wigulu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kunguno ya bhutungulija bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagasiminzaga na bhuyeji umulugendo lobho lunulo kunguno ya gwikala kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo gakwe, umukikalile kabho kenako.

Abhazunya bhenabho bhagikolaga nabho bhagasiminza lugendo lulihu bho gwiyumilija mpaka bhunoga, kunguno nabhoyi bhagiyumilijaga gusiminza lugendo lulihu lo guja ng’wigulu Kihamo na Yesu, umuwikaji bhobho. Hunagwene bhagayombaga giki, “ilelo ib’inza malundi.”

Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na wiyumilija bho gusiminza kimoja na Yesu bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Sebha, kugiki bhadule gushiga ng’wigulu.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

KISWAHILI: LEO IVUNJA MIGUU.

Chanzo cha msemo huo huongelea watu waliokuwa waliotembea safarini mpaka miguu yao ikachoka. Watu hao walikuwa na safari ya mwendo mlefu wa kutembea mpaka wakachoka hivyo bila ya kufika kwa sababu ya urefu wa safari hiyo. Ndiyo maana walisema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo hulinganishwa kwa waumini wale ambao huvumilia kutembea safari ya kwenda mbinguni, katika maisha yao. Waumini hao, huvumilia kusafiri mwendo mrefu wa kwenda mbinguni kwa kuyaishi maagizo ya Bwana, kwa sababu ya uaminifu wao huo, maishani mwao. Wao hutembea kwa furaha katika safari yao hiyo hiyo kwa sababu ya kuishi pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, katika maisha yao.

Waumini hao hufanana na wale waliotembea safari ndefu kwa kuvumilia mpaka wakachoka, kwa sababu nao huvumilia kutembea safari ndefu ya kwenda mbinguni pamoja na Yesu, maishani mwao. Ndiyo maana wao husema kwamba, “leo ivunja miguu.”

Msemo huo, hufundisha waumini juu ya kuwa na uvumilivu kwa kutembea pamoja na Yesu kwa kuyaishi vizuri maagizo yake, ili waweze kufika mbinguni.

Yoshua 9:13.

1 Wafalme 19:7.

ENGLISH: TODAY IS BREAKING LEGS.

The origin of this saying refers to people who walked on a journey until their legs got tired. These people had a long trip to walk until they got tired without arriving. That is why they said that, “today is breaking legs.”

The saying is paralleled to believers who endure their journey to heaven, in their lives. These believers endure long trip to heaven by living the Lord’s instructions, because of their faithfulness, in their lives. They walk happily on their same journey because of living with Jesus by putting into practice his instructions, in their lives.

These believers are like those who walked a long trip by enduring until they got tired, because they also endure long trip to heaven with Jesus, in their lives. That is why they say that, “today is breaking legs.”

This saying imparts in believers an idea of being patient in walking with Jesus by living his instructions, so that they can reach heaven.

Joshua 9:13.

1 Kings 19:7.

1417. NIBHUKILE.

Aho kale olihoyi munhu uyo oli na bhatumami bhokwe. Abhatumami bhakwe bhenabho bhalibhadantokigishaga umubhutumami bhobho bhunubho kunguno bhatumamaga chayachaya. Hunagwene agayomba giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agaitumamaga chiza imilimo yakwe bho nduhu gulagija bhangi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza bho nduhu gulagija bhanhu bhangi kunguno ya gutogwa guidilila chiza imilimo yakwe yiniyo umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na sabho ningi noyi akaya yakwe kunguno ya guidilila bho guitumama chiza imilimo yakwe yiniyo mpaga oyimala chiza umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agibhukila guitumama chiza imilimo yakwe aho bhayitumama sagala abhatumami bhakwe, kunguno nuweyi agaitumamaga mpaga oyimala chiza imilimo yakwe bho nduhu gubhalagija bhanhu bhangi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “nibhukile.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guyidilila imilimo yabho bho gwigulambija guyitumama mpaga bhayimala chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

KISWAHILI: NIENDE MWENYEWE.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyekuwa na wafanyakazi wake. Wafanyakazi hao wahakumfurahisha katika utendaji wao wa kazi kwa sababu walifanya kazi hovyo. Ndiyo maana alisema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huyatekeleza vizuri majukumu yake bila ya kuwaagiza watu wengine, katika maisha yake. Mtu huyo, hujibidisha kufanya kazi zake mpaga anazimaliza vizuri bila ya kuwaachia watu wengine kwa sababu ya kuzijali vizuri kazi zake hizo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya kuzijali kazi zake hizo kwa kuzitekeleza vizuri mpaga anazimaliza, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule aliyeenda mwenyewe kuitekeleza vizuri kazi iliyofanywa hovyo na wafanyakazi wake, kwa sababu naye huzitekeleza kazi zake mpaka anazimaliza vizuri bila kuwaagiza watu wengine, maishani mwake.  Ndiyo maana yeye husema kwamba, “niende mwenyewe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuzijali kazi zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka mwisho ili waweze kupata mali za kutumia vizuri katika familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 34:10-15.

Yohana 10:11-15.

ENGLISH: LET ME GO MYSELF.

Once upon a time there was a man who had his employees. The employees did not please him in their work performance because they did not work well. That is why he said that, “let me go myself.”

This saying is equaled to the person who performs his duties well without ordering other people, in his life. This persons struggles enough to finish his works well without leaving them to other people because of taking decent care of his work in his life. He earns a lot of wealth in his family because of taking care of his work by performing it well, in his life.

This person is similar to the one who went himself to perform the work well done by his employees, because he also performs his works until he nicely completes them without ordering other people, in his life. That is why he says that, “let me go myself.”

This adage teaches people enough to take care about their works by striving to finish them well so that they can obtain decent wealth enough to use in their family lives.

Ezekiel 34:10-15.

John 10:11-15.

1414. UGENIHA B’UGENI UGULONJIWA NDUHU.

Akahayile kenako kahoyelile jisumva ijo jigingilaga mukaya bho nduhu ugulongiwa na bhinikili kaya yiniyo.  Ijisumva jinijo jili guti jilungu mifa, danga, nole, nulu jigona ijijigingilaga umukaya ijo jidalongiyagwa. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adabhadililaga abhageni ulu bhizaga aha kaya yakwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, adabhadililaga abhageni abho bhagangenihaga bho nduhu agubhazugila ijiliwa aha kaya yakwe, kunguno ya wiminholo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa imbango ja gwikala na bhuyegi aha kaya yakwe, kunguno ya gukija ugubhalonja abhageni abho bhangenihaga, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo adajilonjaga ijisumva ijo jingilaga umukaya yakwe, kunguno nuweyi adabhalonjaga abhageni abho bhagangenihaga aha kaya yakwe, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhageni bhenabho bhagayombaga giki, “ugeniha b’ugeni ugulonjiwa nduhu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wizanholo bho gubhalonja abhageni abho abha bhagabhagenihaga, kugiki bhadule gupandika mbango ja gwikala na bhuyegi umukaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

KISWAHILI: UMEENDA UGENINI LAKINI HAWAKUJALI.

Msemo huo huongelea viumbe wanaoingia nyumbani bila mwenye nyumba kuwajali. Viumbe hayo ni kama vile kilungu yeye, chura, mijusi, na wengine ambayo ni jamii ya hao ambao huingia kwenye nyumba ya mtu bila ya yeye kuwajali. Ndiyo maana watu husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, katika maisha yake. Mtu huyo, huwa hawajali bhageni ambao humtembelea kuwaacha bila kuwapikia chakula kwenye familia yake, kwa sababu ya uchoyo wake huo maishani mwake. Yeye hukosa baraka za kuishi kwa furaha kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya uchoyo wake huo wa kutowajali wageni wanaomtembelea, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na yule ambaye hakuwajali viumbe walioingia nyumbani kwake, kwa sababu naye hawajali wageni wanaomtembelea kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana wageni hao husema kwamba, “umeenda ugenini lakini hawakujali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na ukarimu wa kuwajali wageni wanaowatembelea nyumbani mwao, ili waweze kupata baraka za kuishi kwa furaha katika familia zao, maishani mwao.

Mathayo 25:35-41.

Matendo 10:28.

Warumi 12:13.

1Thimotheo 5:10.

 

ENGLISH: YOU HAVE BEEN A STRANGER BUT THEY DO NOT CARE YOU.

This saying refers to creatures which enter a house without the owner paying attention to them. These creatures are like deer, frogs, lizards, and others which are a type of those that enter a person’s house without him paying attention to them. That is why people say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying is equated to a person who does not care about guests who visit his family, in his life. Such person does not take care about visitors who visit him by leaving them without cooking food for them, because of his greed in his life. He misses blessings of living happily in his family because of his greed of not taking care about visitants who visit him in his life.

This person is like the one who did not care about the creatures that entered his house, because he also does not take care about guests who visit his family, in his life. That is why those guests say that, “you have been a stranger but they do not care you.”

This saying imparts in people an idea of being hospitable and considerate of strangers who visit their homes, so that they can experience blessings of living happily in their family lives.

Matthew 25:35-41.

Acts 10:28.

Romans 12:13.

1 Timothy 5:10.

 

 

1413. AGALYAGA JAGUKANDIWA.

Olihoyi munhu uyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo. Umunhu ng’wunuyo oliadajaga gujutumama umilimo kunguno ya gwikalila ha kaya ahikanza ilya milimo yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alingokolo o milimo umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agikalaga wigashije ahikanza lya gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza linilo kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agagayiyagwa ijiliwa aha kaya yakwe bhuli ng’waka kunguno ya bhugokolo bhokwe bhunubho ubho gwikala wigashije ahikanza lya guitumama imilimo yiniyo, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo olyaga jiliwa bho nduhu ugutumama imilimo, kunguno nuweyi agikalaga wigashije bho nduhu gutumama imilimo mpaga lyashila ilikanza lya milimo yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “agalyaga jagukandiwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza bhakamu bha gutumama milimo yabho bho gwigulambija guitumama chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ja gutumamila umukaya jabho.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

KISWAHILI: ANAKULA CHA MASIMANGO.

Alikuwepo mtu ambaye alikuwa akila chakula bila kufanya kazi. Mtu huyo, alikuwa haendi kufanya kazi kwa sababu alikuwa akikaa nyumbani wakati wa kufanya kazi. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ni mvivu wa kazi katika maisha yake. Mtu huyo, huutumia muda wake kwa kukaa nyumbani wakati wa kufanya kazi mpaka muda huo unapita, kwa sababu ya uvivu wake huo maishani mwake.  Yeye hukosa chakula kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya uvivu wake huo wa kukaa nyumbani bila kufanya kazi, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekula chakula bila kufanya kazi, kwa sababu naye hushinda akiwa amekaa nyumbani bila kufanya kazi mpaka wakati huo wa kazi unapita, maishani mwake.  Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “anakula cha masimango.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kufanya kazi, kwa kujibidisha kuyatekeleza majukumu yao vizuri, ili waweze kupata mali za kutumia katika familia zao.

Mwanzo 50:21.

Zaburi 81:16.

Mithali 11:21.

Ezekieli 34:23.

ENGLISH: HE EATS THE FOOD OF INSULTS.

There was a man who ate food without working. Such man did not go to work because he was staying at home during working hours. That is why people said to him that, “he eats the food of insults.”

This saying is equaled to a person who is lazy in his life. Such man spends his time by staying at home during working hours until that time passes, because of his laziness in his life. He lacks food for his family every year because of his laziness in staying at home without working in his life.

This man resembles the one who ate food without working, because he also wins while staying at home without working until such time of work passes, in his life. That is why people said to him that “he eats the food of insults.”

This saying imparts in people an idea being diligent in working, by working hard enough to fulfill their duties well, so that they can earn wealth for their families.

Genesis 50:21.

Psalm 81:16.

Proverbs 11:21.

Ezekiel 34:23.