Sukuma Sayings

1314. GULWA NA NSAJI GUKWIJA MASALA.

Unsaji ali munhu uyo alina masala magehu umukikalile kakwe. Olihoyi munhu uyo agikenya na nsaji kunguno oliadandebhile umo gali amasala gakwe. Umunhu ng’wunuyo agiganika chiza mpaka unhebha kunguno ya agagakwija amasala. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “gulwa na nsaji gukwija masala.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagatumilaga chiza amasala gakwe mpaga otumama nimo ndamu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agiganikaga chiza ulu aliitumama imilimo yakwe imidamu yiniyo mpaga uimala kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga solomo nhale aha kaya yakwe kunguno ya gugatumamila chiza amasala gakwe bho gutumama milimo midimu mpaga oimala chiza, umubhutumami bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo agikenya na nsaji ukwija amasala mpaga unhebha, kunguno nuweyi agagatumamilaga amasala gakwe bho gutumama milimo midamu mpaga oimala chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “gulwa na nsaji gukwija masala.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gutumila masala mingi ayo gadulile gubhambilija ugutumama mpaka bhuimala chiza imilimo yabho, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Matendo ya mitume 26:18.

1Petro 5:8-9a.

KISWAHILI: KUPAMBANA NA KICHAA KUWA NA AKILI NYINGI.

Kichaa ni mtu mweye akili pungufu katika maisha yake. Alikuwepo mtu aliyegombana na kichaa kwa sababu alikuwa hajazifahamu zilivyo akili zake. Mtu huyo alifikiri vizuri mpaka akamshinda kwa sababu ya kuwa na akili nyingi kuliko zake. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “kupambana na kichaa kuwa na akili nyingi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia vizuri akili zake mpaga anaweza kufanya kazi ngumu, katika maisha yake. Mtu huyo, huyatekeleza majukumu yake yakiwemo yale ya kufanya kazi ngumu kwa kufikiri vizuri mpaka anayamaliza kwa sababu ya umakini wake huo wa kuitumia vizuri akili yake, maishani mwake. Yeye hupata faida kubwa sana katika familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wake huo wa kuzitumia vizuri akili zake, katika utekelezaji wa majukumu yake hao, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyemzidi akili yule kichaa aliyegombana naye mpaka akamshinda, kwa sababu naye huyatekeleza majukumu yake hayo magumu kwa kuzitumia vizuri akili zake, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “kupambana na kichaa kuwa na akili nyingi.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyatekeleza majukumu yao kwa kuzitumia vizuri akili zao, ili waweze kupata mafanikio mengi katika maisha yao.

Matendo ya mitume 26:18.

1Petro 5:8-9a.

children-1822701_1280

ENGLISH: TO FIGHT A MADNESS IS TO HAVE A LOT OF INTELLIGENCE.

A madness is a person who is mentally retarded in life. There was a person who fought with a madman because he did not know that such such has mental illness his mind. Such person thought well until he defeated him because he was more intelligent than him. That is why people said that, “to fight a madness is to have a lot of intelligence.”

This saying is related to a person who uses his mind well to the point of managing to do tough tasks in his life. Such person carries out his duties, including those of doing tough tasks, by thinking well until he completes them because of his focus on using his awareness well in life. He gains a lot of benefits in his family because of his effort of using his cognizance well in fulfilling his duties in life.

This person resembles the one who overcame such madman whom fought with until he defeated him, because he also carries out his hard tasks by using his awareness well in life. That is why people say that, “to fight a madness is to have a lot of intelligence.”

This saying imparts in people an idea of being attentive enough to carry out their duties by using well their intelligence, so that they can achieve great success in their lives.

Acts 26:18.

1Peter 5:8-9a.

1313. KIYA B’ULINDI.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile bhuchoji bho mitugo bho ng’wa munhu uyo oliojijimija. Oliyoyi munhu uyo agajimija mitugo jakwe aho ojidimaga kunguno ya wilendeja bhokwe. Umunhu ng’wunuyo agandya guyujikochola bho gubhabhuja abhanhu ulu bhajibhonaga.

Abhanhu abho bhalibhajibhona bhagang’wila, “debhaja kiya b’ulindi.” Ikiya b’ulindi mumho kiya nonono aliyo lulu idalekanije nulu lwande ki adebhe. Hunagwene abhanhu bhagayuyomba ukuli nchoji ojikolo uyo adajidebhile chiza ijilunga giki, “kiya b’ulindi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinawitegeleja bho gujilanhana chiza ijikolo jakwe, na adajidebhile ijilunga ja gung’wambilija ugujipandika ijo ojijimijaga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agajilenijaga mpaga ja jimila isabho jakwe, ijo agadumaga nugujipandika kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agajijimijaga isabho jakwe na oduma ugujipandika kunguno ya wilendeja na guduma gujidebha chiza ijilunga ijo jidulile gung’wambilija ugudebha uko jili isabho jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agilendeja mpaga ujijimija imitugo ijo agaduma ugujipandika umubhuchoji bhokwe, kunguno nuweyi agilendejaga mpaga ujimija sabho ijo agacholaga mpaga oduma ugujipandika, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki adebhe “kiya b’ulindi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho jabho, kugiki jidule gubhambilija ugujilanhana chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Mathayo 2:1-2.

Zaburi 23:3-4.

KISWAHILI: MASHARIKI KWELI KWELI.

Chanzo cha msemo huo huongelea juu ya utafutaji wa mifugo wa mtu yule aliyeipoteza. Alikuwepo mtu ambaye alipoteza mifugo yakwe aliyokuwa akiichunga. Mtu huyo, alianza kuitafuta kwa kuwauliza watu kama waiona.

Wale walioiona mifugo hiyo walimwambia, “elekea mashariki kweli kweli.” Lakini hiyo mashariki kweli kweli haitofautishi upande upi anaotakiwa kuelekea kwa sababu yeye anaweza kwenda hata kwingine asikotakiwa kwenda. Ndiyo maana watu walianza kusema kwa mtafutaji yule asiyeewa dira vizuri, kwamba elekea “mashariki kweli kweli.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana umakini wa kuvitunza vitu vyake, na hana uelewa juu ya dira za kumsaidia kuvipata vile alivyopoteza, katika maisha yake. Mtu huyo, huzitelekeza mali zake mpaka zinapotea ambazo hushindwa pia kuzipata kwa sababu ya kukosa umakini huo, maishani mwake. Yeye hupoteza mali zake na kushindwa kuzipata kwa sababu ya kujisahau kwake na kukosa umakini wa kuelewa dira za kumsaidia kuzipata kule zilipo mali zake hizo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyepoteza mifugo yake ambayo alishindwa kuipata katika utafutaji wake, kwa sababu naye hujisahau mpaka anapoteza mali zake ambazo huitafuta mpaka anashindwa kuipata, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, aelekee “maishariki kweli kweli.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawezesha kuzitunza vizuri mali zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuziendeleza vyema familia zao, maishani mwao.

Mathayo 2:1-2.

Zaburi 23:3-4.

ENGLISH: EAST INDEED.

The origin of this saying talks about a search for a lost steer. There was a man who lost his steer which he was herding. This man began to search for it by asking people if they had seen it.

Those who saw it told him, “head east indeed.” However, such east indeed does not distinguish which direction he should go because he can even go somewhere else where he should not go. That is why people began to say to the cattle seeker who does not use a compass properly, that he should head “east indeed.”

This saying is matched to a person who is not watchful enough to take care of his belongings, and does not understand compasses which can support him in getting back what he has lost in his life. This person abandons his possessions until they are lost which he also fails to get them back because of his lack of responsiveness in his life. He loses his possessions and fails to find them because of his forgetfulness and lack of sound courtesy enough to understand the compasses which can support him in finding where his possessions are in his life.

This person is like the one who lost his livestock which he failed to find in his search, because he also forgets himself until he loses his possessions which he seeks until he fails to find in his life. That is why people tell him that he should go towards “east indeed.”

This saying teaches people about being cautious enough to enable them take good care of their possessions, so that they can support them in developing well their families in lives.

Matthew 2:1-2.

Psalm 23:3-4.

cow-425164_1280

1312. JISHIGA MBITI.

Jishiga mbili bhuli walwa ubho bhugasizagwa makanza ga hilu aho ilimi lya lengela. Uwalwa bhunubho bhugitangwa giko kulongulo gugang’wiyagwa hilu aho mbiti jitali gwandya gufumila guja gujicholela jiliwa. Ubhoyi bhulijimanyikijo ukuli nsizi ja gumana igiki uwalwa bhunubho, bhulipya nulu nduhu. Hunagwene abhanhu bhagawitanaga giki, “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo aganguhaga gutumama milimo yakwe na guidebha wangu ulu giki ilija chiza nulu nduhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agamishaga diyu agaitumama chiza imilimo yakwe mpaga oyidebha igiki ilija chiza kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi apandikaga sabho ningi bhuli ng’waka aha kaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe ubho gwanguha guitumama milimo yakwe chiza mpaga uyimala, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu walwa ubho bhugasizagwa na gung’wiwa hilu aho bhutali ugwila ubhujiku, kunguno nuweyi aganguhaka uguitumama imilimo yakwe mpaga uyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki “jishiga mbiti.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwanguha guitumama milimo yabho chiza mpaga bhayimala, kugiki bhadule gupandika sabho ja gubhagunana ugujibheja chiza ikaya jabho.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

KISWAHILI: KISWAHI FISI.

Kiwahi fiki ni pombe ambayo hutengenezwa wakati wa jioni kabla ya jua kuchwea. Pombe hiyo, huitwa hivyo kwa sababu watu huinywa mapema kabla fisi hawajaanza kutoka kwenda kujitafutia chakula. Yenyewe huwa ni kijulisho cha kuelewa kama pombe hiyo itaiva au hapana. Ndiyo maana watu huiita jina la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwahi kuzifanya kazi zake na kuziewa mapema kama zitaleta faida au hapana, katika maisha yake. Mtu huyo, huamka asubuhi na kwenda kutekeleza vizuri kazi zake mpaka anazielewa kama zitamletea faida au la, kwa sababu ya umakini wake huo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake kila mwaka kwa sababu ya umakini wake wa kuwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake hizo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo hufanana na ile pombe ya kutengenezwa na kutumiwa mapema kabla ya kuingia usiku, kwa sababu naye huwahi kuzitekeleza vizuri kazi zake mpaka anafanikiwa kupata mali nyingi katika familia yake, kila mwaka, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jila la “kiwahi fisi.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwahi kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mali za kutosha kuwasaidia katika kuziendeleza vizuri, familia zao.

Mathayo 25:1-12.

Warumi 13:11-14.

Mathayo 24:42-44.

ENGLISH: WHAT HAS EVER BEEN EARLY HYENAS

This saying is about an alcohol which is made by people in the evening time before sunset. This alcohol is called ‘what has ever been early hyenas’ because people drink it early before hyenas start to go out looking for food. It is a sign which helps consumers to understand whether such liquor will be ripe or not. That is why people call it “what has ever been early hyenas.”

This saying is paralleled to a man who always does his work and thinks early whether it will bring profit or not, in his life. Such man wakes up in the morning and goes to carry out his works well until he understands whether they will bring profit or not, because of his thoughtfulness in his life. He earns a lot of wealth for his family every year because of his active responsiveness enough to always carry out his works well in his life.

This man is similar to the alcohol that is made and consumed early before nightfall, because he also always carries out his works well until he succeeds in obtaining a lot of wealth for his family every year in his life. That is why people call him the “what has ever been early hyenas.”

This saying imparts in people an idea of being so careful enough to fulfill their responsibilities well, so that they can earn a lot of wealth enough to support them in running their families.

Matthew 25:1-12.

Romans 13:11-14.

Matthew 24:42-44.

 

 

hyena-1022409_1280

1311. BHUDEJI B’O B’UBYALANWA.

Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile ng’wana o Ntemi uyo aginhiwa ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi. Olihoyi munhu uyo oli mjibyalile ja mu b’utemi. Umunhu ng’wunuyo wilangaga nhungwa ja wiza kunguno oli amanile igiki adulile gwinhiwa bhutemi kwikanza lyoselyose. Uweyi agab’upandika ubhutemi bhunubho aho ozumalika untemi ng’wunuyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agilangaga nhungwa jawiza ijo jidulile gung’wambilija ugubhatongela chiza abhanhu, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agalikalanaga ililange lya bha byaji bhakwe bho gubhambilija chiza abhanhu abho agikalaga nabho kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agabhatongelaga chiza abhanhu bha muchalo jakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijawiza jinijo, umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’unuyo agikolaga nu ng’wana o Ntemi uyo wilangaga nhungwa ja wiza mpaga winhiwa bhutemi oho uzumalile ntemi o kwene, kunguno nuweyi agalikalanaga ililange lya bhabyaji bhakwe mpaga obhatongela chiza abhanhu bha muchalo jakwe, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki alina “bhudeji b’o b’ubyalanwa.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujikalana inhungwa jawiza ijo bhagalangagwa na bhatale bhabho kugiki bhadule gubhatongela chiza abhanhu bhabho, umubhutumami bhobho.

Mathayo 3:13-17.

Yohana 1:33.

Matendo ya mitume 1:1.

KISWAHILI: UFALME WA KUZAWALIWA NAO.

Chanzo cha msemo huo, huongelea juu ya mwana wa Mfalme aliyerithishwa ufalme huo baada ya mfalme huyo kufariki. Alikuwepo mtu aliyezaliwa katika ukoo wa kifalme. Mtu huyo alijifunza tabia njema kwa kuishi na watu vizuri kwa sababu alifahamu kuwa, anaweza kupewa ufalme wakati wowote. Yeye alirithishwa ufalme huo baada ya kufariki mfalme huyo. Ndiyo maana watu walisema kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujifunza tabia njema ambayo yaweza kumsaidia katika kuwaongoza vizuri watu wake, katika maisha yake. Mtu huyo, huyaishi malezi mema ya wazazi wake kwa kuwasaidia watu anaoishi nao, kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake. Yeye huwaongoza vizuri watu wa kijiji chake kwa sababu ya tabia yake hiyo njema, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule mwana wa mfalme aliyejifunza tabia njema mpaka akapewa ufalme alipofariki yule mfalme, kwa sababu naye huyaishi malezi mema ya wazazi wake mpaka anaweza kuwaongoza vizuri watu wa kijiji chake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ana, “ufalme wa kuzaliwa nao.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi malezi mema wanayofundishwa na wakubwa wao, ili waweze kuwaongoza vizuri watu wao, katika utumishi wao.

Mathayo 3:13-17.

Yohana 1:33.

Matendo ya mitume 1:1.

south-africa-742507_1280

ENGLISH: KINGSHIP BY BIRTH.

The derivation of this saying is from a son of the king who inherited the kingdom after the king passed away. There was a man who was born into a royal family. Such man learned good manners by living well with people because he knew that he could inherit such kingdom at any time. He inherited the kingdom after passing away of the king. That is why people said that he had, “a kingship by birth.”

This saying is related to a person who learns good manners that can help him in leading his people in his life. Such person puts into place good upbringings of his parents by helping people whom he stay with, because of his good manners in his life. He soundly leads people in his village because of his good manners in his lifespan.

This person resembles the son of the king who learned good manners until he was given the kingdom when the king joined the ancestors, because he also puts into practice the good upbringings of his parents until he managed to healthily lead people of his village in his lifetime. That is why people tell him that he has, “a kingship by birth.”

This saying teaches people about being so careful enough to apply the good upbringings which they are taught by their elders, so that they can lead their people well in their service.

Matthew 3:13-17.

John 1:33.

Acts 1:1.

1310. AHA WIGWA UB’UKA NZULE.

Ugub’uka nzule mumho gukolwa mpaga gub’itilija. Olihoyi munhu uyo agigwa mhayo nhebhe ukolwa ub’itilija mpaga uhaya gutulana kunguno goligonminya noyi umunholo yakwe. Uweyi agagayiwa ulubhangu kunguno imihayo igaminyanaga noyi kutinda iyagubhona. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “aha wigwa ub’uka nzule.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adinabhushiganu ubho guikengela chiza imihayo iyo agawigwaga umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigwagwa mhayo gosegose ugudilila bho nduhu nulu gugwitila bhukengeji ubho gung’wambilija ugugudebha ulugiki guli go nhana nulu go bhulongo kunguno ya guleka gwitegeleja chiza, umumiganiko gakwe. Uweyi agadumaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya guleka guitegeleja chiza imihayo iyo agaigwaga umuwikaji bhokwe bhunubho.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agigwa mhayo upekelana mpaga uhaya kutulana kunguno nuweyi agigwaga mihayo uidilila mpaga yamaja ulubhango, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “aha wiga ub’uka nzule.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guitila bhukengeji imihayo iyo bhagayigwaga gukigi bhadule guidebha iyo idulile gubhambilija ugujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho.

Kutoka 32:10.

2 Wafalme 23:26.

KISWAHILI: ALIPOSIKIA ALIPATA HASIRA KALI.

Hasira hali ni hali ya mtu kukasilika mpaga kupitiliza. Alikuwepo mtu aliyesikia neno fulani akakasilika mpaga akapitiliza hali iliyompelekea kutaka kupigana kwa sababu ya kuumizwa na neno hilo moyoni mwake. Yeye alikosa raha kwa sababu maneno huumiza zaidi kuliko yale ya kuona. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “aliposikia alipata hasira kali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hana ukomavu wa kuyafanyia utafiti maneno ayasikiayo katika maisha yake.  Mtu huyo, huumizwa na neno analolisikia bila hata kulifanyia utafiti wa kumsaidia kuelewa kama nila kweli au la uongo, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuyafikiria vizuri maneno hayo, akilini mwake. Yeye hushindwa kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya kukosa umakini huo ya kuyafikiria vizuri maneno ayasikiayo, maishani mwake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyekasilika mpaka akataka kupigana aliposikia neno fulani, kwa sababu naye hukosa raha anaposikia neno fulani bila hata kulifanyia utafiti wa kumsaidia kulielewa vizuri, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “aliposikia alipata hasira kali.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyafanyia utafiti wa kutosha kuyaelewa maneno wayasikiayo, ili waweze kuyaelewa yale wawezayo kuwasaidia katika kuzilea vizuri familia zao, maishani mwao.

Kutoka 32:10.

2 Wafalme 23:26.

angry-5453674_1280

angry-boy-3740043_1280

fashion-4725391_1280

ENGLISH: WHEN HE HEARD HE GOT STRONG ANGER.

An intense anger is a state of a person’s feeling of fury that goes beyond a point of resentment. There was a man who heard a certain word which caused him to feel a strong anger that led him to start fighting because his heart was by that word. He became unhappy in his life. That is why people said that, “when he heard he got strong anger.”

This saying is matched to a person who does not have maturity of researching words which he hears in his life. Such person is hurt by words which he hears without even researching them enough to help him understand whether they have truth or liars, because of not being attentive enough to think well about those words, in his mind. He fails to raise his family well because of not having such attention in his life.

This person is similar to the one who became angry to the point of starting to fight when he heard a certain word, because he also feels uncomfortable when he hears a certain word without even researching it enough to understand it well, in his life. That is why people say to him that, “When he heard he got strong anger.”

This saying imparts in people a clue of being careful to enough study words which they hear, so that they can help them in nurturing their families in their lives.

Exodus 32:10.

2 Kings 23:26.