Akahayile ka jisuguma kenako kingilile kuwikaji bho mujijiji umo abha namhala na abhagikulu, bhalomelaga jigano bho jilihu umumakanza ga wikumingi. Ningi iki abhakakuji bhenabho bhakujiwe kulwa likujo lyabho, lyalihoyi likanza lingi ilo bhayombaga mihayo mingi mpaka yabhanoja abhadegeleki bhabho. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ngikulu uyu odunojije, alina mihayo mingi.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agayombaga mihayo mingi bho nduhu ugubhiza na witegeleja bho ugubhiganika abhadegeleji bhakwe umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo adalidebhile ilikanza ilya guleka uguyomba iki agashokelaga mihayo mingi umumahoya gakwe kunguno ya gugayiwa witegeleja umukikalile kakwe kenako. Uweyi agabhanojaga abhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya guyomba mihayo mingi bho nduhu witegeleja bho gubhadegeleka abhanhu bhakwe bhenabho, umuwikaji bhokwe.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo oyambaga mihayo mingi mpaka obhanoja abhadegeleki bhakwe, kunguno nuweyi agayombaga mihayo mingi bho nduhu agubhadegeleka abhanhu bhakwe mpaga obhanoja umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhakwe bhenabho bhagayombaga giki, “ngikulu uyu odunojije, alina mihayo mingi.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gubhadegeleka abhanhu bhabho umumahoya gabho kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho umuwikaji bhobho bhunubho.
Kutoka 20:12.
Mithali 23:22.
KISWAHILI: AJUZA HUYU AMETUCHOSHA; ANA MANENO MENGI.
Msemo huu wa Kisukuma unatokana na maisha ya kitamaduni ya kijijini ambapo wazee, hasa wanawake wazee, walijulikana kwa kusimulia hadithi, kushauri, na wakati mwingine kuzungumza kwa muda mrefu wakati wa mikusanyiko. Ingawa wazee wanaheshimiwa kwa hekima yao, kulikuwa na nyakati ambapo kuzungumza sana hasa maneno yanayojirudia au yasiyo ya lazima kuliwachosha wasikilizaji. Jamii iliona kwamba maneno mengi, hata kama yakitoka kwa mtu anayeheshimiwa, yanaweza kuwa mzigo wa kuwachosha wasikilizaji wake. Ndiyo maana walisema, “ajuza huyu ametuchosha; ana maneno mengi.”
Msemo huu hulinganishwa kwa mtu ambaye huzungumza sana bila kuwafikiria wasikilizaji wake katika maisha yake. Mtu huyu hajui wakati wa kuacha kuzungumza katika maongezi yake kwa vile hurudia mambo yaleyale mara kwa mara kwa sababu ya kutokuwa mwangalifu sana katika maisha yake. Yeye huwawachosha wanafamilia wake kwa sababu ya kuzungumza sana bila ya kuwasikiliza wao katika maisha yake.
Mtu huyu hufanana na yule aliyetawala mazungumzo kwa kuzungumza bila kuwasikiliza wengine mpaka akawachosha, kwa sababu naye pia huongea sana hadi kufikia hatua ya kuwachosha wanafamilia wake katika maisha yake. Ndiyo maana wanafamilia hao aliowachoka husema kwamba “ajuza huyu ametuchosha; ana maneno mengi.”
Msemo huu huwafundisha watu kuhusu umuhimu wa kuwa na kiasi katika maongezi yao kwa kuwa na hekima ya kuzungumza kwa ufupi na kwa maana ili waweze kuwaheshimu wasikilizaji wao vya kutosha kuzingatia umakini wao na muda wao katika maisha yao. Huwakumbusha watu kwamba maneno yanapaswa kujenga, kuongoza, na kutia moyo, yasichoshe au kuwalemea wengine.
Kutoka 20:12.
Mithali 23:22.
Mithali 10:19 “Maneno yakiwa mengi, dhambi haikosekani; bali yeye azuiaye midomo yake ana hekima.”
Mhubiri 5:2 “Usiwe mwepesi wa kusema… maneno yako na yawe machache.”
Yakobo 1:19 “Kila mtu na awe mwepesi wa kusikia, si mwepesi wa kusema, si mwepesi wa kukasirika.”
Mafundisho haya ya kibiblia husisitiza kwamba hekima haioneshwi kwa maneno mengi, bali kwa maneno ya kufikiri, makini, na yenye kujizuia.
ENGLISH: THIS OLD LADY HAS TIRED US OUT; SHE HAS A LOT OF WORDS.
This Sukuma saying comes from traditional village life where elders, especially old women, were known for storytelling, advising, and sometimes speaking at length during gatherings. While elders are respected for their wisdom, there were moments when too much talking especially repetitive or unnecessary words would tire listeners. The community observed that excessive speech, even from a respected person, could become burdensome. That is why they said, “this old lady has tired us out; she has a lot of words.”
This saying is compared to a person who talks too much without considering the listeners in his life. This person does not know when to stop speaking. He repeats the same things over and over because of not being so careful in his life. He bored his family members because of talking too much without listening to them in his life.
This person resembles the one who dominated conversations by speaking without listening to others, because he also speaks too much to the point of boring his family members in his life. That is why his exhausted family members by him say “this old lady has tired us out; she has a lot of words.”
This saying teaches people about an importance of moderation in speech by having wisdom of speaking briefly and meaningfully so that they can respect listeners enough to be mindful of their attention and time in their lives. It reminds people that words should build, guide, and encourage not tire or overwhelm others.
Exodus 20:12.
Proverbs 23:22.
Proverbs 10:19 “When words are many, sin is not absent, but whoever restrains his lips is wise.”
Ecclesiastes 5:2 “Do not be quick with your mouth… let your words be few.”
James 1:19 “Everyone should be quick to listen, slow to speak, and slow to become angry.”
These biblical teachings emphasize that wisdom is shown not in many words, but in thoughtful, careful, and restrained speech.