Imbuki ya kahayile kenako ingilile kubhanhu bha muchalo ijo munhu agadebha igiki bhanhu bhingi bhang’wilolelaga noyi na jagukumya. Umunhu ng’wunuyo agibhuja ni bhuli abhanhu bhenabho bhang’wilolelaga guti giki witaga mihayo ya bhubhi, aliyo aditile josejose. Hunagwene agabhuja giki, “ng’wanilolelaga b’uligiki.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhagabhasigaga na gubhalamula wangu abhichabho bho nduhu ugudebha ubhunhana ahigulya ya munhu ng’wunuyo. Abhanhu bhenabho bhagabhasigaga na gubhalamula abhichabho kunguno inhungwa jabho jilijabhubhi umukikalile kabho. Abhoyi bhaganhelejaga abhanhu bhabho gwiguduma sagala kunguno ya miito gabho agabhubhi genayo umukikalile kabho kenako.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga nabho bhagang’wilolela shibhi umunhu uyo oliadahubhile josejose, kunguno nabhoyi bhagabhasigaga na gubhalamula bho nduhu nguno abhichabho umuwikaji bhobho. Hunagwene umo obhanhu abho bhabhitila chene agabhuja giki, “ng’wanilolelaga b’uligiki.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gubhasiga abhichabho kugiki bhadule gwikala bho mholele umu kaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.
Yohana 7:24.
1 Samweli 16:7.
Mathayo 7:1.
Yona 2:8.
Yohana 13:34-35.
Isaya 14:16.
KISWAHILI: MBONA MUMENIANGALIA HIVI?
Chanzo cha msemo huo kinatokana na hali ya watu walioko katika kijiji ambapo mtu aligundua kuwa watu wengi walikuwa wakimtazama kwa njia ya ajabu au ya kutilia shaka. Mtu huyo alijiuliza kwa nini watu walikuwa wakimtazama kana kwamba alikuwa amefanya jambo baya, ingawa hakufanya chochote. Kwa sababu ya hali hii aliuliza, “Kwa nini mumeniangalia hivi?”
Msemo huu hulinganishwa kwa watu wanaowahukumu wengine haraka au kumtazama mtu kwa mashaka bila kujua ukweli kuhusu mtu huyo. Watu hawa huwahukumu wengine baada ya kuwasengenya kwa sababu ya tabia zao mbaya katika maisha yao. Wao husababisha kutoelewana katika familia zao kwa sababu ya matendo yao hayo maovu katika maisha yao ya kila siku.
Watu hawa hufanana na wale waliomtazama yule mtu ambaye hakufanya kosa lolote. Vivyo hivyo, pia wao huwashuku wengine na kuwalaumu kwa kuwatazama kwa mashaka kwa sababu ya uvumi, kutoelewana, au wivu, katika maisha yao. Ndiyo maana mmoja wa wale waliowatazama huwauliza, “Kwa nini mumeniangalia hivi?”
Msemo huu huwafundisha watu kutowahukumu wengine haraka au kutomtendea mtu kama mwenye hatia bila kujua ukweli. Huwahimiza watu kuwa waadilifu vya kutosha kuwaheshimu wengine hadi kufikia hatua ya kuepuka kuwatazama kwa mashaka bila sababu.
Yohana 7:24 “Msihukumu kwa sura ya nje, bali hukumuni kwa hukumu ya haki.”
1 Samweli 16:7 “Mwanadamu hutazama sura ya nje, lakini Bwana hutazama moyo.”
Mathayo 7:1 – “Msihukumu, la sivyo nanyi mtahukumiwa.”
Yona 2:8.
Yohana 13:34-35.
Isaya 14:16.
Mafundisho haya ya biblia huonesha kwamba watu wanapaswa kuepuka kuwahukumu wengine vibaya, kwa sababu ni Mungu pekee anayejua kweli iliyomo moyoni mwa mtu.
ENGLISH: WHY HAVE YOU LOOKED AT ME LIKE THIS?
The origin of this saying comes from a situation in the village where a person noticed that many people were looking at him in a strange or suspicious way. The man wondered why people were staring at him as if he had done something wrong, even though he had done nothing. Because of this situation he asked, “Why have you looked at me like this?”
This saying is compared to people who judge others quickly or look at someone with suspicion without knowing the truth about that person. These people judge others after silendering them because of their misbehaviors in their lives. They cause misunderstandings in their families because of their wrong doings in their daily lives.
These people resemble those who looked at the one who he had done nothing wrong. In same way, they also suspect others, blame them by looking at them with doubt because of rumors, misunderstanding, or jealousy. That is why one them whom they looked at, ask them, “Why have you looked at me like this?”
This saying teaches people not to judge others quickly or treat someone as guilty without knowing the truth. It encourages people to be fair enough to respect others to the point of avoiding looking at them with suspicion without a reason.
John 7:24 “Do not judge by appearances, but judge with right judgment.”
1 Samuel 16:7 “Man looks at the outward appearance, but the Lord looks at the heart.”
Matthew 7:1 “Do not judge, or you too will be judged.”
Jonah 2:8.
John 13:34-35.
Isaiah 14:16.
These biblical teachings show that people should avoid judging others wrongly, because only God truly knows what is in a person’s heart.