1499. B’ANYORI, MDANINYAMAGI.

Imbuki ya kahayile kenako ingilile kuli munhu uyo osiminzaga bhujiku na utung’wana ma b’anyori umunzila. Abhanyori bhenabho aho bhagema ugunyama, umunhu ng’wunuyo agayoganya aliyomba, “b’anyori, mdaninyamagi!”. Agayomba giko golecha giki obhamanaga na adahayile ugwilunga na bhiti bha shib’i. Imihayo yakwe yiniyo, igambilija ugubhahugula abhangi abho bhali bihi na henaho igiki bhalihoyi b’anyori. Kunguno yiniyo, abhanhu bhagandya guyuyomba giki, “b’anyori, mdaninyamagi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alemile ugwilunga na bhanhu abho bhagitaga mihayo ya bhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agailemaga imihayo iyabhubhi bho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga obhiza jigemelo ja gubhalanga abhanhu bha hakaya yake inzila ja gwikala na bhanhu chiza, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadujaga uguilela chiza ikaya yakwe kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gwita mihayo ya wiza bhuli lushigu umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agabhalemeja ugunyama ab’anyori bho guyoganya nalilaka litale mpaga bigwa na bhazenganwa, kunguno nuweyi agailemaga imihayo iyabhubhi bho guyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhahugulaga abhanhu abho bhagitaga mihayo ya bhubhi, bho gubhawila giki, “b’anyori, mdaninyamagi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kulema gwita miito ga bhubhi bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule kujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Waefeso 5:11.

Mithali 1:10.

Yakobo 4:7.

Mithali 6:30-31.

Hosea 7:16.

Ufunuo 3:3A.

Mathayo 7:1.

Yohana 10:1.

KISWAHILI: MSIINIZUIE WANYANG’ANYI.

Msemo huu unatokana na hadithi kuhusu ya mtu aliyekuwa akisafiri usiku na ghafla akakutana na majambazi barabarani. Majambazi walipojaribu kumzuia, mtu huyo alipiga kelele kwa sauti kubwa, akisema, “Msinizuie, majambazi!” Alisema hivi kuonesha kwamba alikuwa amewatambua na hakuwa tayari kushirikiana na matendo yao maovu. Maneno yake hayo pia yalisaidia kuwaonya wengine waliokuwa karibu kwamba majambazi walikuwepo. Kwa sababu ya tukio hili, watu walianza kutumia usemi, “Msinizuie, wanyang’anyi.”

Msemo huu unalinganishwa kwa mtu anayekataa kujiunga au kushirikiana na watu wanaofanya mambo maovu katika jamii. Mtu huyu anakataa maovu kwa kufanya kazi kwa bidii ya kutosha kuwa mfano mzuri na kuwaigwa kwa wanafamilia wake katika kuishi vizuri na wengine. Yeye aliweza kuilea vizuri familia yake kwa sababu ya tabia yake ya kuishi katika ya maadili mema siku zote katika maisha yake.

Mtu huyu hufanana na yule aliyesimama kwa ujasiri dhidi ya makosa ya majambazi na kuwaonya wengine kuhusu matendo hatari au ya dhambi ili wasidhuriwe. Vivyo hivyo, yeye naye huonesha mfano mzuri na kuigwa katika kuwalea vizuri wanafamilia wake katika maisha yake. Ndiyo maana yeye huwaonya watenda mabaya kwa kusema, “Msinizuie, wanyang’anyi.”

Msemo huu huwafundisha watu kukataa uovu kwa kusema waziwazi dhidi ya huo uovu, na kutojiruhusu kudhibitiwa au kushawishiwa na wale wanaofanya mambo maovu, ili waweze kuzilea vyema familia zao katika maisha yao.

Waefeso 5:11 – “Msishiriki matendo ya giza yasiyo na matunda, bali yafichueni.”

Mithali 1:10 – “Mwanangu, watu wenye dhambi wakikushawishi, usiwaache.”

Yakobo 4:7 – “Basi, mtiini Mungu; Mpingeni Ibilisi, naye atawakimbia.”

Mithali 6:30-31.

Hosea 7:16.

Ufunuo 3:3A.

Mathayo 7:1.

Yohana 10:1.

ENGLISH: DO NOT STOP ME, ROBBERS

This saying comes from a story about a man who was traveling at night and suddenly met robbers on the road. When the robbers tried to stop him, the man shouted loudly, saying, “Do not stop me, robbers!” He said this to show that he had recognized them and was not willing to cooperate with their evil actions. His loud words also helped to warn others nearby that robbers were present. Because of this event, people began to use the expression, “Do not stop me, robbers.”

This saying is compared to a person who refuses to join or cooperate with people who are doing evil things in society or in the community. This person refuses evils by working hard enough to be a good model to his family members in relating well with others. He managed to nicely raise his family because of his daily sound moral behavior in his life.

This person resembles the one who bravely stood against wrongdoing of the robbers and warned others about dangerous or sinful actions so that they would not be harmed. In same way, he shows a good model in raising well his family members in his life. That is why he warns evil doers by saying, “Do not stop me, robbers.”

This saying teaches people to reject evil by speaking openly against wrongdoing, and not to allow themselves to be controlled or influenced by those who do harmful things, so they can manage to raise well their families in their lives.

Ephesians 5:11 – “Have nothing to do with the fruitless deeds of darkness, but rather expose them.”

Proverbs 1:10 – “My son, if sinful men entice you, do not give in to them.”

James 4:7 – “Submit yourselves, then, to God. Resist the devil, and he will flee from you.”

Proverbs 6:30-31.

Hosea 7:16.

Revelation 3:3A.

Matthew 7:1.

John 10:1.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.