Imbuki ya kahayile kenako ihoyelile lipembe ilo lilolile bhanhu bhalebhe. Ilipembe linilo bhalitumilaga bhanhu bha mbina abho bhalyokajaga bhugota na bhalilogeja ukubhikindi bha mbina bhichabho kunguno ya gubhogohya abhanishi bhabho umumbina jabho jinijo. Abho bhalibhona ilipembe linilo giki libhalolile bhoyi bhogohaga giki bhadulile gupandika makoye. Hunagwene bhayombaga giki, “ayise nabho lidulolile ilipembe.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo adina witegeleja bho guwikalana chiza ubhuzunya bhokwe umukikalile kakwe kenako. Unzunya ng’wunuyo, agasadaga wiganika giki agulogagwa na bhiye mpaga ogalagulwa kubhafumu kunguno ya gugayiwa witegeleja bho guwikalana chiza ubhuzunya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agadumaga uguilela nyazunya ikaya yakwe yiniyo kunguno ya gugayiwa witegeleja bhunubho ubho gubhuwikalana chiza ubhuzunya bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe.
Unzunya ng’wunuyo, agikolaga nabho bhogohaga ulu bhabhona lipembe libhalolile, kunguno nuweyi agasadaga ogoha bho gwiganika giki agulogagwa mpaga ogalagulwa kubhafumu, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “ayise nabho lidulolile ilipembe.”
Akahayile kenako kalanga bhazunya higulya ya gubhiza na witegeleja bho gugikalana chiza amalagilo ga ng’wa Mulungu, kugiki bhadule gujilela nyazunya ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mathayo 10:26-28.
Luka 12:4-5.
KISWAHILI: SISI NDIYO HAWA LINAOTUANGALIA PEMBE.
Chanzo cha msemo huo huongelea pembe lililowaangalia watu fulani. Pembe hilo walilitumia wacheza ngoma waliolijaza dawa na kulielekeza kwa wapinzani wao katika mchezo wao huo wa ngoma kwa sababu ya kutaka kuwaogopesha wapinzani wao hao. Wale walioliona kuwa pembe hilo linawaangalia wao waliogopa kwa kufikiria kwamba litawadhuru. Ndiyo maana walisema kwamba, “sisi ndiyo hawa linaotuangalia pembe.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mkristo yule ambaye hana umakini wa kuuishi vizuri ukristo wake, katika maisha yake. Mkristo huyo, anapougua hufikiria kwamba amelogwa na wenzake mpaka anapiga ramli kwa waganga wa kienyeji kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuuishi vizuri ukristo wake, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea kikristo familia yake kwa sababu ya kukosa umakini huo wa kuyaishi maagizo ya Mungu, katika maisha yake hayo.
Mkristo huyo hufanana na wale walioogapa walipoliona pembe limewaangalia wao, kwa sababu naye anapougua huogopa kwa kufikiria kwamba analogwa na wenzake mpaka anapiga ramli kwa waganga wa kienyeji, maishani mwake. Ndiyo maana husema kwamba, “sisi ndiyo hawa linaotuangalia pembe.”
Msemo huo, hufundisha wakristo juu ya kuwa na umakini wa kuyaishi maagizo ya Mungu, ili waweze kuzilea kikristo familia zao, maishani mwao.
Mathayo 10:26-28.
Luka 12:4-5.
ENGLISH: “WE ARE THE ONES THE HORN IS POINTING AT.”
The origin of this saying refers to a horn that was pointed at certain people. The horn was used by drummers who filled it with traditional medicine and pointed it at their opponents during a dance in order to frighten them. Those who saw the horn being pointed at them became afraid, thinking it would harm them. That is why they said, “We are the ones the horn is pointing at.”
This saying is compared to a Christian who is not serious about living out his Christian faith. When such a Christian becomes sick, he thinks that he has been bewitched by his peers. Because of his weak faith and lack of commitment to God, he becomes fearful and may even consult traditional healers. He also fails to raise his family in a strong Christian way because he does not faithfully follow God’s commandments.
That Christian is like those who were afraid when they saw the horn pointed at them. Instead of trusting in God, he lives in fear, thinking others are attacking him spiritually. That is why he says, “We are the ones the horn is pointing at.”
This saying teaches Christians to remain firm in faith and live according to God’s commandments. When believers truly trust in God, they will not live in fear, but will confidently raise their families according to Christian teachings.
As it is written in the Gospel of Matthew 10:26–28, Jesus teaches us not to fear those who can harm the body but cannot kill the soul.
Likewise, in the Gospel of Luke 12:4–5, He reminds us to fear God above all.
Therefore, Christians are called to trust God fully and not live in fear of people or witchcraft, but to stand strong in faith.


