1492. OLOMBELA HADIMU.

Aho kale olihoyi munhu uyo agaja gujulomba ginhu hali nzenganwa ng’wiye. Umunhu ng’wunuyo agalomba mzagamba ya ng’ombe ulemejiwa kunguno ya gulomba ginhu ijo ajisanije ung’wiye. Hunagwene unzenganwa ng’wiye ng’wunuyo agang’wila giki, “olombela hadimu.”

Akayayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina witegeleja bho guwabhila bhunhana abho alibhambilija, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo agabhambilija abhiye bho gubhinza ijo adulile na gubhalemeja ijo adadulie ugubhinha bho gubhawila bhunhana kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agailelaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo adang’winhile inzagamba unzenganwa ng’wiye uyo aganomba, kunguno nuweyi adabhambilija abho bhaganombaga ginhu ijo adadulile ugubhinha, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhawilaga abhanhu bhenabho giki, “olombela hadimu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na wigeteleja bho gubhawila bhunhana abho bhalibhambilija kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 11:5-7.

Mathayo 20:20-23.

KISWAHILI: UMEOMBEA PAGUMU.

Hapo zamani alikuwepo mtu aliyeenda kuomba kitu kwa jirani yake. Mtu huyo aliomba fahali wa ng’ombe akakataliwa kwa sababu ya kuomba kitu alichokitegemea mwenzake huyo. Ndiyo maana alimwambia jirani yake huyo kwamba, “umeombea pagumu.”

Msemo huo, hulinaganishwa kwa mtu yule ambaye ana umakini wa kuwaambia ukweli wale anaowasaidia, katika maisha yake. Mtu huyo, huwasaidia wenzake kwa kuwapatia kile anacho weza na kuwakataza kile ambacho hana uwezo wa kuwapatia kwa kuwaambia ukweli, kwa sababu ya umakini wake huo maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya umakini wa huo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule ambaye hakumpatia fahali wa ng’ombe mwenzake aliyemuomba, kwa sababu naye hawasaidii wale wanaomuomba kitu ambacho hana uwezo wa kuwapatia, maishani mwake. Ndiyo maana huwaambia wenzake hao kwamba, “umeombea pagumu.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwaeleza ukweli wale wanaowasaidia ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Luka 11:5-7.

Mathayo 20:20-23.

 

ENGLISH: YOU HAVE ASKED FOR TOO MUCH.

Once upon a time, there was a man who went to his neighbor to ask for something. He asked to borrow a bull, but his neighbor refused because the bull was very important to him and he depended on it for his work. That is why the neighbor told him, “You have asked for too much.”

This saying is applied to a person who is careful to speak the truth to those who ask him for help in his life. Such a person helps his friends by giving them what he is able to give, and he honestly refuses what he cannot give. He does this because he cares about his responsibilities and about the well-being of his family.

That person is like the man who refused to give his bull to his friend. He does not promise or give what he cannot afford to lose. Instead, he speaks the truth and says, “You have asked for too much.”

This saying teaches people to be honest and wise when helping others, so that they may take good care of their families and live responsibly.

This teaching can be compared with:

Gospel of Luke 11:5–7 – which speaks about asking and persistence.

Gospel of Matthew 20:20–23 – where a request was made that was too great to be granted in the way it was asked.

These passages remind us that not every request can be granted, and wisdom is needed in both asking and answering.

 

 

 

 

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.