Olihoyi munhu uyo oyelaga na bhadimi bha mitugo yabho abho bhali na jitumamila jabho. Abhanhu bhenabho bhajilanhanaga chiza imitugo jabho kunguno bhikalaga ni jitumamila jabho umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga uyo alinabho giki, “oyelaga na bhadimi abho bhali na jitumamilo jabho.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kubhanhu abho bhali na witegeleja bho guyitumama chiza imilimo yabho umukikalile kabho. Abhanhu bhenabho bhagayitumamaga imilimo yabho bho jitumamilo jawiza kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Abhoyi bhagapandika sabho ningi umu kaya jabho kunguno ya witegeleja bhobho bhunubho ubho gwikala na jitumamila jabho jinijo bhuli makanza, umukikalile kabho kenabho.
Abhanhu bhenabho bhagikolaga na bhadimi abho bhikalaga na jitumamilo jabho umumilimo yabho, kunguno nabhoyi bhagatumamaga milimo yabho bho jitumamilo jabho chiza, umuwikaji bhobho bhunubho, umuwikaji bhobho. Hunagwene uyo agikolaga nabho abhanhu bhagang’wilaga giki, “oyelaga na bhadimi abho bhali na jitumamilo jabho.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhitegeleja bho gwikala na jitumamilo ja gutumamila chiza milimo yabho, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho.
KISWAHILI: UMETEMBEA NA WACHUNGAJI WALIO NA VITENDEA KAZI VYAO.
Alikuwepo mtu aliyetembea na wachungaji wa mifugo waliokuwa na vitendea kazi vyao. Watu hao, waliilinda vyema mifugo yao hiyo kwa sababu walikuwa na vitendea kazi vyao wakati wote maishani mwao. Ndiyo maana watu walimwambia mtu aliyetembea nao kwamba, “umetembea na wachungaji walio na vitendea kazi vyao.”
Msemo huo hulinganishwa kwa watu wale ambao wana umakini wa kuyatekeleza majukumu yabho vizuri, katika maisha yao. Watu hao, huyatekeleza majukumu yao kwa kutumia vitendea kazi vyao vizuri, kwa sababu ya umakini wao huo, maishani mwao. Wao hupata mali nyingi sana katika familia zao kwa sababu ya umakini wao huo wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao, katika maisha yao.
Watu hao, hufanana na wale wachungaji walioyatekeleza vizuri majukumu yao kwa kutumia vitendea kazi vyao, kwa sababu nao huyatekeleja majukumu yao vizuri kwa kutumia vitendea kazi vyao, maishani mwao. Ndiyo maana watu humwambia mtu anayetembea nao kwamba, “umetembea na wachungaji walio na vitendea kazi vyao.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuyatekeleza majukumu yao kwa kutumia vitendea kazi vyao, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.
YOU WALKED WITH SHEPHERDS WHO HAVE THEIR WORKING TOOLS.
There was a man who walked with shepherds who always carried their working tools. These shepherds protected their livestock carefully because they had their tools with them at all times. That is why people said to the man who walked with them, “You have walked with shepherds who have their working tools.”
This saying is compared to people who are attentive and responsible in carrying out their duties in life. Such people use their tools wisely and effectively because they are serious and careful about their responsibilities. As a result, they bring prosperity and stability to their families through their diligence and commitment.
These people are like the shepherds who performed their work faithfully using their tools. In the same way, responsible individuals fulfill their duties properly by making good use of what they have. That is why people say to someone who behaves responsibly, “You have walked with shepherds who have their tools.”
This saying teaches people to be careful and faithful in performing their duties, using their abilities and resources well, so that they may achieve success and abundance in their families and in their lives.


