1481. LING’HANGI.

Aho kale olihoyi munhu uyo wibhakilaga ulu obhona ginhu jilebhe umulugendo lokwe. Lushigu lumo, umunhu ng’wunuyo, agabhona majigila wibhakia mpaka wandya gupela kunguno ya bhobha bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Hunagwene agalitana ilibala linilo giki, “ling’hangi.”

Ahakayile kenako kagalenganijiyagwa kuli nzunya uyo alinabhobha bho gulogwa umukikalile kakwe. Unzunya ng’wunuyo, agajaga gujusalila ukunhu uja kubhafumu gujulagulwa ulu osataga kunguno ya bhobha bhokwe bhunubho ubho gwiganika giki, aguloggawa umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agidumana na bhanhu bha ha kaya yakwe kunguno ya gujulembagulwa na bhafumu giki bhaganogoga abhiye bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Unzunya ng’wunuyo, agikolaga nu munhu uyo agibhakila oho obhana majigila mpaka wandya kupela, umugendo lokwe, kunguno nuweyi alinabhobha bho gulogwa umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agabhitanaga abhiye giki “ling’hangi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na guzunya gutale go gubhambilija gulekana na bhobha bho gulogwa, kugiki bhadule gwikala bho witogwi na bhichabho umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Yohana 1:5.

Yohana 8:12.

Mathayo 5:14.

Yohana 3:21.

1Wathesalonike 5:5.

Waebrania 6:4.

Waefeso 5:9.

KISWAHILI: TISHIO.

Hapo zamani alikwepo mtu aliyeshituka akiona kitu fulani katika safari yake. Siku moja, mtu huyo, aliona makaburi akashituka mpaka akaanza kukimbia kwa sababu ya uoga wake huo maishani mwake. Ndiyo maana aliita sehemu hiyo jila la “tishio.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mkristo mwenye uoga wa kulogwa katika maisha yake. Mkristo huyo, huenda kusali kanisani na kwenda kupiga ramli akiugua kwa sababu ya imani yake hiyo ya kufikiri kwamba wenzake wanamloga, maishani mwake. Yeye hukosana na watu walioko kwenye familia yake hiyo, kwa sababu ya kuwafikiria wenzake hao kwamba wanamuloga, katika maisha yake hayo.

Mkristo huyo hufanana na mtu yule aliyeogapa makaburi mpaka akakimbia alipoyaona, kwa sababu naye huogopa kulogwa mpaka anawatuhumu uchawi wenzake, maishani mwake. Ndiyo maana huwaita wenzake hayo jila la “tishio.”

Msemo huo hufundisha wakristo juu ya kuwa na imani thabiti kwa Mungu ya kuwasaidia kuachana na imani potovu za kuamini kulogwa, ili waweze kuishi kwa upendo na wenzao katika familia zao hizo, maishani mwao.

Yohana 1:5.

Yohana 8:12.

Mathayo 5:14.

Yohana 3:21.

1Wathesalonike 5:5.

Waebrania 6:4.

Waefeso 5:9.

 

ENGLISH: THREAT

Once upon a time, there was a man who became very frightened during his journey. One day, he saw a cemetery and was so afraid that he began to run away because of the fear in his heart. Because of this, he called that place a place of “threat.”

This saying is compared to a Christian who is afraid of being bewitched in his life. Such a Christian may pray in church but also go to fortune-tellers. He lives in fear, believing that his friends are bewitching him. Because of this belief, he quarrels with his family and accuses others without reason.

That Christian is like the man who ran away from the cemetery. Just as the man was afraid of graves, the Christian is afraid of witchcraft. His fear controls him and causes him to suspect and blame others. In this way, fear becomes his place of “threat.”

This saying teaches Christians to have strong faith in God enough to abandon false beliefs in witchcraft. True faith drives away fear and helps believers live in love, peace, and unity with their families.

The Bible reminds us about living in the light of God:

Gospel of John 1:5

Gospel of John 8:12

Gospel of Matthew 5:14

Gospel of John 3:21

First Epistle to the Thessalonians 5:5

Epistle to the Hebrews 6:4

Epistle to the Ephesians 5:9

These scriptures encourage believers to walk in the light, not in fear.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.