Olihoyi munhu uyo ali mpeji noyi umuchalo ja ng’wa maswele. Umunhu ng’wunuyo, obhashigaga pye abhiye kunguno ya nguzu yakwe jinijo umuwikaji bhokwe bhunubho.
Aliyo, kihamo nubhupeji bhokwe bhunubho, uweyi adapandikile solobho yoseyose kunguno ya gugayiwa witegeja umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witana giki, “mhela ya dalili.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agajitumamilaga sagala isabho ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambija guchola sabho mpaga ojipandika chiza na oduma ugujilanhana chiza, kunguno ya kujitumamila sagala umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agikalaga ukoya na nzala aha kaya yakwe kunguno ya kujikenagula sagala isabho ijo agajipandikaga umutumami bhokwe bhunubho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo opelaga noyi bho nduhu gupandika solobho yoseyose kunguno nuweyi agajitumamilaga sagala isabho ijo agajipandikaga umubhutumami bhokwe mpaga oyukoya na nzala, aha kahaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “mhela ya dalali.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gujilanhana chiza isabho ijo bhagajipandikaga umubhutumami bhobho, kugiki jidule gubhambilija ugujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho.
Mhubiri 5:10.
Luka 15:11-13.
KISWAHILI: MKIMBIAJI WA BURE.
Alikuwepo mtu aliyekuwa mkimbiaji sana katika kijiji cha mwa mashele. Mtu huyo, alikimbia mpaka akawaacha wenzake wote kwa sababu ya kuwa na nguvu nyingi, maishani mwake.
Lakini, pamoja na ukimbiaji wake huyo, yeye hakupata faida yoyote kwa sababu ya kukosa umakini katika maisha yake hayo. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mkimbiaji wa bure.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huzitumia hovyo mali anazozipata matika kazi zake. Mtu huyo, hujibidisha kutafuta mali mpaka anazipata ambazo hushindwa kuzitunza vizuri, kwa sababu ya kuzitumia hovyo, maishani mwake. Yeye husumbuliwa na tatizo la kukosa chakula katika familia yake hiyo, kwa sababu ya kukosa umakini wa kuzitunza vizuri mali anazozipata, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyekimbia sana bila ya kupata faida yoyote, kwa sababu naye huzitumia hovyo mali anazozipata mpaka anafikia hatua ya kukosa chakula katika familia yake hiyo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humuita jina la “mkimbiaji wa bure.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuzitunza vizuri, mali wanazozipata katika kazi zao, ili ziweze kuwasaidia katika kuzijenga vizuri familia zao hizo, maishani mwao.
Mhubiri 5:10.
Luka 15:11-13.