Olihoyi munhu uyo wigejaga mbazu jakwe umuchalo jilebhe. Imbazu jinijo jali ndododo noyi guti maluli ga gubhegeja mabhelele. Amaluli genayo gagasumagwa bho ngito kunguno ya gutulila jiliwa. Hunagwene umunhu ng’wunuyo, bhagang’wilaga abhanhu giki “welela mbazu giti ilimba liluli.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo adagudililaga chiza umili gokwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agagulekanijaga umili gokwe bho nduhu uguguchala ukubhugota ulu alisata, na nduhu gulya chiza uluotubhaga, kunguno ya guleka gugudilila chiza umili gokwe gunuyo umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agakondaga noyi kunguno ya guleka gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ung’wunuyo, agikolaga nuyo wigejaga mbazu guti liluli lya gusumila libhelele, kunguno nuweyi agagulekanijiga umili gokwe mpaga okonda umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “welela mbazu giti ilimba liluli.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guyidilila chiza imimili yabho bho gulya chiza na guyichala kubhugota ulu bhalisata, kugiki bhadule gwikala na bhuyeji umukaya jabho jinijo.
Mwanzo 14:3.
Zaburi 109:24.
Kumbukumbu la Torati 32:24.
KISWAHILI: MBAVU ZIMEELEA KAMA FITO ZA KIHENGE.
Alikuwepo mtu mbaye mbazu zake zilionekana wazi. Mbavu hizo zilikuwa ndogo ndogo kama fito za kutengenezea kihenge cha kuwekea chakula. Fito hiyo ni nyembamba sana. Ndiyo maana watu walimwambia mtu huyo kwamba, “mbavu zimeelea kama fito za kihenge.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye haujali mwili wake katika maisha yake. Mtu huyo, huutelekeza mwili wake kwa kutoenda kutibiwa anapoumwa, na kutokula vizuri anapoisikia njaa, kwa sababu ya kutokuujali mwili huo maishani mwake. Yeye hukonda sana kwa sababu ya kutokuujali vizuri mwili huo katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule ambaye mbavu zake zilionekana wazi, kwa sababu naye amekonda mpaka mbavu zinaonekana wazi, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “mbavu zimeelea kama fito za kihenge.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuijali vizuri miili yao kwa kuipeleka kutibiwa hospitalini wanapoumwa, na kula vizuri wanapojisikia njaa, ili waweze kuishi kwa furaha, katika familia zao hizo.
Mwanzo 14:3.
Zaburi 109:24.
Kumbukumbu la Torati 32:24.