1472. NGUNGA GODUNG’WA LIMI.

Aho kale lyalihoyi linti ilo litanagwa lingunga. Ilingunga linilo lyahulumaga bhuli makanza nulu ib’ize chu ja limi lisebhu kunguno lyalihasoga. Ilyoyi lyahurumaga duhu pye amakanza genayo kunguno ya gwikala ha bhulolo bhusoga chiniko. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agikalaga ha kaya ya bhutogwa bhutale, umukikalile kakwe kenako. Umunhu ng’wunuyo, agatumamaga milimo yakwe na bhuyegi bhutale na bhanhu bha ha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya bhutogwa bhutale ubho bhalinabho bhunubho, umuwikaji bhobho bhunubho. Uweyi agayibhejaga chiza ikaya yakwe yiniyo kunguno ya bhutogwa bho bhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nu ngunga uyo gohulumaga pye amakanza nulu lyasebhaga ilimi, kunguno nuweyi agikalaga na bhanhu bhabhutogwa ubho bhugang’winhaga bhuyegi bhuli makanza, aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’witaga giki, “ngunga godung’wa limi.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhutogwa bho gubhambilija gutumama milimo yabho chiza na bhuyegi, kugiki bhadule gujibheja chiza ikaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

KISWAHILI: MGUNGA ULIOSHINDA JUA.

Hapo zamani ulikuwepo mti ulioitwa Mgunga. Mkunga huyo ulisitawi kila wakati hata iwe kiangazi cha Jua kali kwa sababu ulikuwa kwenye udongo mzuri. Wenyewe ulisitawi wakati wote huo kwa sababu ya kuwa pazuri hivyo. Ndiyo maana watu waliuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule anayeishi kwenye familia yenye upendo mkubwa, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo, kwa sababu ya upendo wa watu hao, maishani mwake. Yeye huilea vyema familia yake hiyo kwa sababu ya upendo walionao watu hao, katika maisha yao hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mgunga uliokuwa kwenye udongo mzuri mpaka ukasitawi hata wakati wa Jua kali, kwa sababu naye huishi na watu wenye upendo uliompatia furaha kila wakati kwenye familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu walimuita jina la “mgunga ulioshinda Jua.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na upendo wa kuwasaidia kufanya kazi zao vizuri na kwa furaha, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Ezekieli 31:4-5.

Ayubu 8:16-19.

Zaburi 104:16-19.

 

THE MGUNGA THAT OVERCAME THE SUN

Once upon a time, there was a tree called Mgunga. The Mgunga tree always flourished, even during the hot summer, because it grew in rich and fertile soil. It continued to grow strong and healthy because it was planted in a good place. That is why people called it the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying is compared to a person who lives in a family filled with great love. Because of the love in that family, the person works with joy and peace. He takes good care of his family, and he fulfills his responsibilities happily, because he is strengthened by their love.

Just like the Mgunga tree that flourished even under the burning Sun because it was planted in good soil, this person thrives in life because he lives among loving and supportive people. That is why he is called “the Mgunga that overcame the Sun.”

This saying teaches people that love is like fertile soil. When there is love in a family, people gain strength to work hard, remain patient during difficulties, and raise their families well throughout their lives.

Book of Ezekiel 31:4–5.

Book of Job 8:16–19.

Psalms 104:16–19.

These passages also describe how trees planted in good conditions grow strong and flourish, just as a person rooted in love grows and prospers in life.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.