Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhali bhaja kulombo na nva yabho. Inva yao yiniyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaka yakupandika chiza na gwiyubhona indimu yiniyo. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayomga giki, “yapula nsu.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina masala gagujichola isabho mpaga ujipandika umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho guitilila bhukengeji imilimo yakwe na gwigulambija guitumama chiza mpaga oyimala, kunguno ya masala gakwe genayo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi apandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya gugatumamila chiza amasala gakwe genabho, umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga ni nva iyo yanunhilijaga unsu go ndimu ulu yabhijimija mpaga yayipandika, kunguno nuweyi agagatumamilaga chiza amasala gakwe bho gwigulambija gutumama milimo yakwe chiza mpaga opandika sabho ningi aha kaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “yapula nsu.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gudebha ugugatumamila chiza amasala gabho bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika sabho ningi, umukaya jabho jinijo.
Mwanzo 10:9.
Mwanzo 25:27.
Yeremia 16:16.
KISWAHILI: AMENUSA HARUFU.
Hapo zamani walikuwepo watu waliokuwa wanawinda wanyama poli na mbwa wao. Mbwa huyo alikuwa akimtafuta mnyama wanayemuwinda anapowapotea kwa kunusa harufu yake mpaka anampata. Ndiyo maana watu hao walisema kwamba, “amenusa harufu.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana akili za kutafuta mali mpaka anaipata katika maisha yake. Mtu huyo, huitumia vizuri akili yake hiyo kwa kuzifanyia utafiti kazi zake na kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka anazimaliza kwa sababu ya akili yake hiyo, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya kuzitumia vizuri hivyo akili zake hizo, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na yule mbwa aliyemtafuta mnyama kwa kunusa harufu yake mpaka akampata, kwa sababu naye huitumiza vizuri akili yake kwa kutafuta kazi na kuzitekeleza vizuri mpaka anafanikiwa kupaka mali nyingi katika familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kamba, “amerusa harufu.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuelewa namna ya kuzitumia vizuri akili zao kwa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao hizo.
Mwanzo 10:9.
Mwanzo 25:27.
Yeremia 16:16.