Olihoyi munhu uyo osataga nkono umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo obhalomelaga abhiye umuosatilaga kunguno ohayaga gupandika wambilijiwa bho gugupija wangu. Uweyi agabhawila abhie bhenabho chiza mpaga bhuyidebha nose isata yakwe yiniyo. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “alisata nwazwa.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agagudililaga chiza umili gokwe bho guguchala kubhugota ulu osataga, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga kusitali wangu ulu osataga ogalagulwa mpaga opila wangu kunguno ya witegeleja bhokwe bhunubho ubho gugudilila chiza umili gokwe gunuyo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapilaga wangu uluosataga kunguno ya gwanguha kuja kusitali ulu osataga chiniko, umukikalile kakwe.
Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo ojaga kusitali wangu ulu osataga ogalagulwa mpaga opila chiza, kunguno nuweyi agajaga kusitali wangu ogalagulwa mpaga opila chiza, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagangwilaga giki, “alisata nzwazwa.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na witegeleja bho gubhachala kusitali abhanhu bhabho ulu bhasataga, kugiki bhadule gupila wangu isata jabho, umuwikaji bhobho.
Luka 4:40.
Luka 6:6-10.
Matendo 5:15-16.
KISWAHILI: ANAUMWA MKONO.
Alikuwepo mtu aliyekuwa anaumwa mkono katika maisha yake. Mtu huyo, aliwasimulia wenzake juu ya maumivu yake kwa sababu ya kutaka kupata msaada wa kumwezesha kupona haraka. Yeye aliwaeleza wenzake hao vizuri, mpaka wakaelewa kuwa ana ugonjwa huo. Ndiyo maana walisema kwamba, “anaumwa mkono.”
Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye anaumakini wa kuujali mwili wake kwa kuupekeleka hospitalini anapoumwa, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda hospitalini kwenda kupata matibabu mpaka anapona haraka kwa sababu ya umakini wake huo wa kuujali mwili wake anapojisikia maumivu, maishani mwake. Yeye hupona haraka maradhi yanayompata kwa sababu ya kuwahi kwenda kutibiwa hospitalini anapougua, katika maisha yake.
Mtu huyo, hufanana na yule aliyewahi kwenda hopitalini alipougua, kwa sababu naye huwahi kwenda hospitalini anapougua, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “anaumwa mkono.”
Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuwawahisha wagonjwa wao kutibiwa hospitalini wanapoumwa, ili waweze kupona haraka vya kutosha kuendelea kuzitunza familia zao, maishani mwao.
Luka 4:40.
Luka 6:6-10.
Matendo 5:15-16.