1462. OBALAGASHA UKUNGUBHALA ILIMI LYASEB’AGA.

Imbuki ya kahayile kenako kahoyelile jisunva ijo jigitanagwa kungub’ala. Ikungub’ala yiniyo jilijisunva ijo jikolile na bhushishi. Akajisunva kenako kali kabhuluguti gete ako kagigelaga ilimu ulu lyaseb’a. Hunagwene abhanhu bhagayombaga giki “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyaseb’aga ilimi umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo bhugelaga ubhujiku ogatumama milimo yakwe chiza mpaga lyagalib’ila ilimi kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe nulu lyasebaga ilimi, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya wiyumilija bhokwe ubho gutumama milimo yakwe chiza chiniko, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nakakungub’ala ako kagigelaga ulu lyaseb’aga ilimi, kunguno nuweyi agiyumilijaga gutumama milimo yakwe chiza nulu lyasebhaga ilimi, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “obalagasha ukungub’ala ilimi lyaseb’aga.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kubhiza na wiyumilija bho gutumama milimo yabho chiza, nulu lyaseb’aga ilimi, kugiki bhadule gupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo, umuwikaji bhobho bhunubho.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

KISWAHILI: KACHANGAMUKA KIUMBE JAMII YA SISIMIZI JUA LIMEKUWA KALI.

Chanzo cha msemo huo humwongelea kiumbe jamii ya sisimizi. Jamii hiyo ya sisimizi ni kiumbe kinachofanana na sisimizi. Kiumbe hicho ni kichangamfu sana ambacho huonenaka wakati jua linapokuwa kali sana. Ndiyo maana watu husema kwamba, “kachangamuka kiumbe jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huvumilia kufanya kazi zake hata wakati wa jua kali, katika maisha yake. Mtu huyo, hufanya kazi zake kuanzia asubuhi hadi jioni kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kufanya kazi  vizuri hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi sana katika familia yake kwa sababu ya uvumilivu wake huo wa kuyatekeleza vizuri majukumu yake wakati wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na kile kiumbe jamii ya sisimizi ambacho huonekana wakati wa jua kali, kwa sababu naye huyatekeleza vizuri majukumu yake hata wakati wa jua kali, maishani mwake. Ndiyo maana watu husema juu yake kwamba, “kachangamuka jamii ya sisimizi jua limekuwa kali.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na uvumilivu wa kuyatekeleza vizuri majukumu yao hata wakati wa jua kali, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao, maishani mwao.

Luka 12:36-40.

Luka 13:24-26.

Yakobo 5:7-8.

2Thimotheo 4:5.

 

ENGLISH: AN ANT HAS WOKEN UP; THE SUN HAS BECOME STRONG.

The origin of this saying refers to a small creature similar to an ant. This creature is very active and is usually seen when the sun is very hot. Because it continues to move and work even under intense heat, people say, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying is compared to a person who endures hardship and continues to work even during difficult conditions, such as the hot Sun. Such a person works from morning until evening because of his patience and determination. Through this endurance and commitment to his duties, he is able to provide well for his family and gain wealth in his life.

That person is likened to the ant that appears and remains active during the hot Sun. Just as the ant does not stop working because of the heat, the person continues to carry out his responsibilities faithfully at all times. For this reason, people say about him, “An ant has woken up; the Sun has become strong.”

This saying teaches people to be patient and hardworking enough to carry out their duties diligently even in difficult conditions, so that they may achieve success and prosperity in their lives and families.

Luke 12:36–40.

Luke 13:24–26.

James 5:7–8.

2 Timothy 4:5.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.