1460. JILANGA BADUMA.

Akahayile kenako kanhoyelile munhu ndoo uyo aganhanga munhu uyo bhadalenijije imyaka nulu hado. Aho kale olihoyi namhala uyo ojidimaga ng’ombe jakwe. Umudimi bhokwe bhunubho, igabyala ng’ombe yakwe. Aho yabyala henaho uweyi akagabucha akadilanha, ing’ombe yukagayiwa akana kayo yushoka uko yabyalilaga. Huna wiza ng’wana okwe niyo ndoo ung’wila giki, “b’ab’a ukatuula hasi akana kayo yakabhona, obucha hangi ulu yahaya gunyamuka okatuula hasi hangi.” Oho wita giko unamhala ng’wunuyo ing’ombe yu golola guja kaya.

Unamhala ng’wunuyo agapelana noyi ugulangwa na ng’wana okwe mpaga usola lugoye uginija, kulwa gukolwa gulangwa na ng’wana wakwe chiniko. Hunagwene abhanhu bhagang’witana ung’wana ng’wunuyo giki “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo alina widohya bho gubhalanga bhanhu bhose lilange lya wiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo agalitumilaga ilikanza lyakwe bho gubhalemala pye abhanhu bhakwe kajile kagwikala na bhichabho chiza kunguno ya widohya bhokwe bhunubho umuwikaji bhokwe. Uweyi agikalaga na bhuyegi bhutale aha kaya yakwe yiniyo, kunguno ya widohya bhokwe ubho gubhalanga ilange lya wiza pye abhanhu bhenabho, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nu ng’wana uyo agananga myaji okwe nzila ja uichala kaya ing’ombe yakwe iyo yaliyabyala yiniyo mpaga uishisha, kunguno nuweyi agabhalangaga lilange lyawiza abhanbhu bhakwe mpaga bhikala na buyeji bhutale aha kaya yabho yiniyo, umuwikaji bhobho. Hunagwene abhanhu bhagang’witanaga giki, “jilanga baduma.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na widohya bho gubhalanga lilange lya wiza abhanhu bhabho, kugiki bhadule gwikala na bhuyegi bhutale umukaya jabho jinijo.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

KISWAHILI: MFUNDISHA WAKUBWA.

Msemo huo, humwongelea mtu mdogo aliyemfundisha mtu wasiyelingana naye miaka hata kidogo. Hapo zamani alikuwepo mzee aliyekuwa akichunga mifugo yake. Ng’ombe wake alizaa yeye akambeka yule ndama, yule ng’ombe akamkosa mtoto wake akarudi alikozalia. Ndipo mtoto wa mzee huyo, akamwambia “baba muweke chini ndama ili ng’ombe amuone, hafalafu unambeba tena, ng’ombe akirudi nyuma unamuweka mtoto wake huyo chini tena.” Mzee yule alipofanya hivyo, yule ng’ombe alimfuata mpaka nyumbani.

Mzee huyo alikasirika sana kufundishwa na mtoto wake mpaka akachukua kamba kwenda kujinyonga kwa sababu hasira yake hiyo ya kufundisha na mtoto wake. Ndiyo maana watu walimuita huyo mtoto jina la, “mfundisha wakubewa.”  

Msemo huo, hulinganishwa kwa mtu yule ambaye ana unyenyekevu wa kuwafundisha maadili mema watu wote, katika maisha yake. Mtu huyo huutumia muda wake kwa kuwafundisha watu wake wote mwenendo wa kuishi vizuri na wenzao kwa sababu ya unyenyekevu wake huo maishani mwake. Yeye huishi kwa furaha kubwa katika familia yake hiyo kwa sababu ya unyenyekevu wake huo wa kuwafundisha maadili mema watu wake wote, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule mtoto aliyemfundisha baba yake namna ya kumpeleka nyumbani ng’ombe aliyezaa, kwa sababu naye huwafundisha watu wake wote, namna ya kuishi vizuri na wenzao, mpaka wanaweza kuishi kwa furaha kubwa katika familia zao. Ndiyo maana watu hao humuita jina la “mfundisha wakubwa.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na unyenyekevu wa kuwafundisha watu wao maadili ya kuishi vizuri na wenzao, ili waweze kuishi kwa kuraha kubwa katika familia zao hizo, maishani mwao.

Luka 2:41-51.

Yohana 2:1-11.

 

ENGLISH: TEACHER OF THE ELDERS.

This saying refers to a young person who teaches wisdom to someone older than himself.

Once upon a time, there was an old man herding his cattle. One of his cows gave birth, and the old man carried the calf as he walked home. The cow, missing her calf, kept returning to the place where it had given birth. Seeing this, the old man’s son said to him: “Father, put the calf down so that the cow can see it. If she goes back again, put the calf down once more.”

When the old man followed his son’s advice, the cow saw her calf and followed them all the way home.

However, the old man became very angry because his own son had taught him what to do. Out of shame and anger at being corrected by someone younger, he even took a rope intending to hang himself. Because of this incident, people began to call the child the teacher of the elders.”

This saying is compared to a person who has humility and teaches good morals to all people, regardless of their age. Such a person spends his life guiding others on how to live well with their fellow human beings. Because of his humility and wisdom, he brings peace and happiness to his family and community.

That person is like the child who taught his father how to bring the cow home. In the same way, he teaches people how to live well with one another, so that they may enjoy harmony and happiness in their families. For this reason, people call him the teacher of the elders.”

This saying teaches the importance of humility, both in giving and receiving instruction, and reminds people that wisdom can come from anyone, regardless of age. Accepting good advice leads to peace, comfort, and a good life within families and communities.
Luke 2:41–51.
John 2:1–11.

 

 

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.