1459. BULI OGALUKA LIFA GUNICHIMA?

Akahayile kenako kahoyelile bhuching’wa bho lifa bho munhu uyo oliadalimanile giki lifa ilinilo. Umunhu ng’wunuyo liganchima ilifa linilo aho obhitila hoyi kunguno oliganikilaga giki lidi lifa. Hunagwene aho lyanchima agabuja giki “buli ogaluka lifa gunichima.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agang’wigalukaga unwani okwe bho gung’witila mihayo ya bhubhi, umukikalile kabho. Umunhu ng’wunuyo aganndyaga gunsiga na gundalahija sagala ung’wiye mpaka nose, bhoya ugwikala kihamo kunguno ya gunminya chiniko ung’wiye, umuwikaji bhobho. Uweyi agabhubhinzaga ubhunwani bhobho bho gung’witila mihayo ya bhubhi chiniyo ung’wiye kunguno ya gung’wigaluka bho gunminya chiniko, umukikalile kabho kenako.

Umunhu ng’winuyo agikolaga ni lifa ilo liganchima uyo oliganikila giki lidi lifa, kunguno nuweyi agaminyaga ung’wiye bho gug’witila mihayo ya bhubhi mpaga obhubhinza ubhunwani bhobho bhunubho umuwikaji bhobho. Hunagwene ung’wiye agamujaga giki, “buli ogaluka lifa gunichima?”

Akahayile kenako kalanga bhanwani higulya ya guleka nhungwa ja gwiigaluka bho gwiitila mihayo ya bhubhi, kugiki bhadule gwikala bho mholele umubhunwani bhobho bhunubho.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

KISWAHILI: KWA NINI UMEGEUKA MWIBA KUNICHOMA?

Msemo huo humuongelea mtu aliyechomwa mwiba ambao aliufikiria kuwa si mwiba. Mtu huyo, ulimchoma mwiba huo alipopitia hapo kwa sababu ya kuufikiria kuwa ni kitu kingine cha kawaida kisichoweza kumuumiza, katika mawazo yake. Ndiyo maana ulipomchoma aliuliza kwamba, “kwa nini umegeuka mwika kunichoma?”

Msemo huo hulinganishwa kwa rafiki anayemgeuka rafiki yake kwa kumtendea maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, humsengenya rafiki yake huyo na kumdharau mpaga mwishowe urafiki wao unavunjika kwa sababu ya kumuumiza hivyo mwenzake, maishani mwao. Yeye huuvunja urafiki wao huo kwa sababu ya kumtendea maovu hayo yanayoumiza moyo wa mwenzake huyo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na ule mwiba uliomchoma yule ambaye alifikiria kuwa siyo mwiba, kwa sababu naye humuumiza rafiki yake kwa kumtendea maovu mpaka urafiki wao unavunjika, maishani mwao. Ndiyo maana yule aliyeumizwa humuuliza mwenzake huyo kwamba, “kwa nini umegeuka mwiba kunichoma?”

Msemo huo, hufundisha marafiki juu ya kuacha tabia ya kugeukana kwa kutendeana maovu katika urafiki wao, ili waweze kuishi kwa amani, maishani mwao.

Mathayo 26:14-16.

Mathayo 10:21.

Mathayo 24:9.

Marko 14:10-11.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.