1452. ALI MUKAPILIPONDO.

Akahayile kenako kalolile munhu uyo ali mujifungo kunguno ya yabhubhi bhokwe. Umunhu ng’wunuyo oliotungwa kunguno ya wikolosha bhokwe bhunubho ukubhiye. Uweyi abhikoloshaga abhiye, widuma nabho mpaka oding’wa na kuchalwa mukapilipondo. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali mukapilipondo.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo ali na nhungwa ja gwita mihayo yabhubhi, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agidumaga na bhanhu abho agikalaga nabho mpaka oyisalambanya ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agaikenagulaga ikaya yakwe kunguno ya nhungwa jakwe ijabhubhi jinijo, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo obhikoloshaga abhiye mpaka uchalwa mujela, kunguno nuweyi agidumaga na bhanhu bhakwe mpaka oyikenagula ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “ali mukapilipondo.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya guleka gwita yabhubhi bho gubhiza na nhungwa ja gwiyambilija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya yabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mwanzo 39:20-23.

Luka 23:19-28.

Matendo 12:4-5.

Waebrania 11:36.

Ufunuo 2:10.

KISWAHILI: YUMO KIFUNGONI.

Msemo huo huangalia mtu aliyekuwa kifunguni kwa sababu ya makosa mbalimbali. Mtu huyo, alifungwa kwa sababu ya uchokozi wake kwa wenzake. Yeye aliwachokoza watu mpaka akakosana nao na kupelekwa jela. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba, “yumo kifungoni.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu mwenye tabia ya kutenda maovu, katika maisha yake. Mtu huyo, hutenda maovu ya kuwakosea haki wenzake mpaka anaivuruga familia yake, kwa sababu ya tabia yake hiyo mbaya, maishani mwake. Yeye hukosana na wenzake mpaka wanaishi bila kusalimiana nao kwa sababu ya tabia yake hiyo ya kutenda maovu, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewachokoza wenzake mpaka akafungwa jela, kwa sababu naye huwatendea maovu wenzake mpaka anaivuruga familia yake maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “yumo kifungoni.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na tabia njema ya kusaidiana vizuri katika kuyatekeleza majukumu yao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Mwanzo 39:20-23.

Luka 23:19-28.

Matendo 12:4-5.

Waebrania 11:36.

Ufunuo 2:10.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.