1451. LYALIMBU.

Imbuki ya kahayile kenako ilolile munhu uyo otumamaga nimo gokwe mpaga ogumala chiza. Umunhu ng’wunuyo agagutumama unimo gunuyo bho nguzu ningi mpaga lyugalibhila ilimi kunguno ohayaga agumale wangu. Uweyi agagumala chiza unimo gokwe kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama nimo mpaga lyagalibhila ilimi. Hunagwene abhanhu bhagang’wila giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo olinkamu o gutumama milimo yakwe chiza mpaka oyimala, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agigulambijaga gutumama milimo yakwe gwingila diyu mpaka oyimala chiza kunguno ya bhukamu bhokwe, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandikaga sabho ningi noyi aha kaya yakwe yiniyo kunguno ya bhukamu bhokwe ubho gutumama chiza mpaka oyimala imilimo yakwe, umukikalile kakwe.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nuyo agatumama nimo gokwe mpaga ogumala, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe mpaka oyimala chiza, umuwikaji bhokwe. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyalimbu.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na bhukamu bho gwigulambija gutumama milimo yabho chiza, kugiki bhadule gupandika matwajo mingi, umuwikaji bhobho bhunubho.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

KISWAHILI: LA JUA KUCHWA.

Chanzo cha msemo huo humwangalia mtu aliyefanya kazi yake mpaka akaimaliza. Mtu huyo, aliitekeleza kazi yake hiyo kutwa nzima kwa sababu alitaka kuimaliza haraka. Yeye aliimaliza vizuri kazi yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake kutwa nzima. Ndiyo maana watu walimwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo hulinganishwwa kwa mtu mwenye bidii ya kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, katika maisha yake. Mtu huyo hujibidisha kuyatekeleza vizuri majukumu yake kuanzia asubuhi mpaka anayamaliza kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kufanya kazi, maishani mwake. Yeye hupata mafanikio mengi katika familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake ya kuyatekeleza vizuri majukumu yake hayo, katika maisha yake.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyeitekeleza vizuri kazi yake mpaka akaimaliza, kwa sababu naye hujibidisha kufanya kazi zake vizuri mpaka anazimaliza, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba ni “la jua kuchwa.”

Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na bidii ya kuyatekeleza vizuri majukumu yao, ili waweze kupata mafanikio mengi, maishani mwao.

Mhubiri 3:1-12.

2Thimotheo 4:2.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.