1429. NAGWISANIJE.

Olihoyi munhu uyo wikalaga muchalo jilibhe. Umunhu ng’wunuyo aling’wikobya aliyo ni nguzu oliatinajo. Uweyi oliatogilwe yombo ya gwikenya na bhanhu kunguno ya olihoyi uyo oliang’wisanije igiki agubhumala duhu ubhulugu bhunubho. Hunagwene ong’wilaga giki, “nagwisanije.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agitaga mihayo ya bhubhi bho gung’wisanya ntale okwe umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agabhadalahaga abhanhu bho gubhitila mihayo ya sagala kunguno ya bhudoshi bho gung’wisanya ntale okwe uyo agang’wambilija ugugamala amamihayo gakwe genayo, umuwikaji bhokwe. Uweyi agadumaga uguyilela chiza ikaya yakwe kunguno ya gwita mihayo ya bhubhi yiniyo umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo agikolaga nuyo obhikobyaga abhiye na gwikenya nabho bho gung’wisanya uyo ubhumalaga ubhulugu bhokwe bhunubho, kunguno nuwei agitata mihayo ya bhubhi bho gung’wisanya ntale okwe mpaka oduma uguyilela chiza ikaya yakwe yiniyo, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agang’wilaga giki, “nagwisanije.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya kuleka gung’wisanya munhu mpaga bhabhitila mihayo ya bhubhi abhichabho, kugiki bhadule gujilela chiza ikaya jabho, umuwikaji bhobho bhunubho.

Matendo ya mitume 24:5.

1Petro 3:8-12.

1Wathesalonike 5:15.

KISWAHILI: NAKUTEGEMEA.

Alikuwepo mtu aliyeishi kwenye kijiji fulani. Mtu huyo alikuwa mchokozi wakati hakuwa na nguvu. Yeye alipenda kelele ya kugombana na watu kwa sababu alikuwepo yule aliyemtegemea kwamba ataimaliza tu hiyo vita. Ndiyo maana alimwambia kwamba, “nakutegemea.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye huwatendea maovu watu kwa kumtegemea mkubwa wake katika maisha yake. Mtu huyo huwadhalau watu kwa kuwatendea mambo ya hovyo kwa sababu ya majivuno yake hayo ya kumtegemea mkubwa wake ambaye humsaidia katika kuyamaliza matatizo hayo, maishani mwake. Yeye hushindwa kuilea vyema familia hiyo yake kwa sababu ya kutenda maovu hayo, katika maisha yake hayo.

Mtu huyo, hufanana na yule aliyewachokoza watu mpaka akagombana nao kwa kumtegemea yule aliyevimaliza vita vyakwe, kwa sababu naye huwatemdea maovu watu kwa kumtegemea mkuwa wake mpaka anashindwa kuilea vyema familia yake, maishani mwake. Ndiyo maana humwambia kwamba, “nakutegemea.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuacha kumtegemea mtu mwenye uwezo mpaka wanawatendea maovu wenzao, ili waweze kuzilea vyema familia zao, maishani mwao.

Matendo ya mitume 24:5.

1Petro 3:8-12.

1Wathesalonike 5:15.

ENGLISH: I DEPEND ON YOU.

There was a man who lived in a certain village. Such man was a bully while he was powerless. He liked making noise by arguing with people because there was the one whom he relied on enough to end any war. That is why he told him that, “I depend on you.”

This saying is related to a person who does evils to people by relying on his elder brother in his life. This person humiliates people by doing evil things to them because of his arrogance of relying on his elder brother who helps him in solving those problems, in his life. He fails to raise his family because of committing those evil deeds, in his life.

This person is similar to the one who provoked people until he quarreled with them because of relying on the one who ended his wars, because he also does evils to people by relying on his elder brother until he fails to nicely raise his family, in his life. That is why he tells him that, “I depend on you.”

This adage imparts in people an idea of stopping to rely on someone in power to the point of doing evils to their fellow human beings, so that they can better raise their families, in their lives.

Acts 24:5.

1 Peter 3:8-12.

1 Thessalonians 5:15.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.