Aho kale bhalihoyi bhanhu abho bhihayaga bhamani bha guzenga numba. Abhanhu bhenabho bhaginhiwa numba ya guzenga muchalo jilebe. Aho bhamala uguizenga inumba yiniyo igab’iza ijile lwande guti giki ili haya gugwa kunguno ya guyizenga shib’i. Hunagwene abhanhu bhagayomba giki, “lyab’alemelile ugulib’eja.”
Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agituulaga bhubhani bho gutumama nimo uyo agadagumanile chiza, umukikalile kakwe. Umunhu ng’wunuyo, agandyaga gutumama milimo bho nduhu ugwikala ni jitumamililo jayo mpaka oduma uguyimala chiza kunguno ya gwigimba bhumani bho sagala umuwikaji bhokwe bhunubho. Uweyi agaikenagulaga salaga imilimo yakwe kunguno ya gwituula bhumani bho guitumama aliyo adayideb’ile chiza umukikalile kakwe kenako.
Umunhu ng’wunuyo agikolaga nabho bhihayaga giki bhamani bha guzenga numba mpaka nose bhuyikenagula inumba iyo bagayizenga, kunguno nuweyi agituulaga bhumani bho gutumama milimo iyo adayidebhile chiza mpaga uyikenagula sagala, umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene abhanhu bhagang’wilaga giki, “lyab’alemelile ugulib’eja.”
Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho guleka gwituula bhumani bho milimo iyo bhadayidebhile chiza, kugiki bhadule guitumama chiza imilimo yabho yiniyo, umuwikaji bhobho bhunubho.
Mwanzo 11:1-9.
Mathayo 21:42.
Matendo 4:11.
1 Petro 2:7-10.
KISWAHILI: LIMEWASHINDA KULITENGENEZA.
Hapo zamani walikuwepo watu waliojidai kuwa wanafahamu kujenga nyumba. Watu hao walipewa nyumba ya kujenga kwenye kijiji fulani. Walipomaliza kuijenga nyumba hiyo ilienda upande kama inataka kuanguka kwa sababu ya kujengwa vibaya. Ndiyo maana watu walisema kwamba, “limewashinda kulitengeneza.”
Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujitia kujua kufanya kazi ambayo haielewi vizuri katika maisha yake. Mtu huyo, huanza kufanya kazi bila ya kuwa na vitendea kazi vinavyotakiwa mpaka anashindwa kuimaliza vizuri kazi hiyo, kwa sababu ya kujifanya mjuaji kwenye vitu asivyovihamu vizuri, maishani mwake. Yeye huziharibu hovyo kazi zake kwa sababu ya kutia kujua kwake kwa kufanya kazi asizozielewa vizuri, katika maisha yake hayo.
Mtu huyo, hufanana na wale waliojifanya wajuaji wa kujenga nyumba mpaka wakaiharibu nyumba hiyo, kwa sababu naye hujifanya mjuaji wa kufanya kazi asizozielewa vizuri mpaka anaziharibu kazi hizo, maishani mwake. Ndiyo maana watu humwambia kwamba, “limewashinda kulitengeneza.”
Msemo huo, hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kuacha kujifanya wajuaji wa kufanya kazi wasizozielewa vizuri, ili waweze kuyatekeleza vizuri majukumu yao, maishani mwao.
Mwanzo 11:1-9.
Mathayo 21:42.
Matendo 4:11.
1 Petro 2:7-10.
ENGLISH: IT FAILED THEM TO BUILD IT.
In the past, there were people who claimed to know how to build a house. These people were given a house to build in a certain village. When they finished building the house, it looked as if it was about to collapse because it was poorly built. That is why people said that “it failed them to build it.”
This saying is related to a person who pretends to know how to do a job that he does not understand well in his life. This person starts working without having the required tools until he fails to finish the job well, because of pretending to be knowledgeable about things that he does not understand well, in his life. He destroys his works in such a way because of putting his knowledge into doing jobs that he does not understand well, in his life.
This person resembles to those who pretended to know how to build a house until they destroy the house, because he also pretends to be knowledgeable about doing jobs that he does not understand well until he destroys those jobs, in his life. That is why people say to him that, “it failed them to build it.”
This saying teaches people about being careful enough to stop pretending to be experts in tasks which they do not understand well, so that they can properly fulfill their responsibilities in their lives.
Genesis 11:1-9.
Matthew 21:42.
Acts 4:11.
1 Peter 2:7-10.


