1426. IDIZAGA MZENZE.

Imbuki ya kahayile kenako iholelile kizile ka mbula. Imbula yiniyo idizaga mzenze kunguno igenhaga milimo iyo abhanhu bhagandyaga guitumama kugiki bhadule kupandika jikolo umuwikaji bhobho bhunubho. Hunagwene abhanhu bhenabho bhagayombaga giki, “idizaga mzenze.”

Akahayile kenako kagalenganijiyagwa kuli munhu uyo agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo, umuwikaji bhokwe. Umunhu ng’wunuyo, agajaga wangu ukumilimo yakwe ugigulambija guitumama mpaga uyimala chiza, kunguno ya bhukamu bhokwe bhunubho, umuwikaji bhokwe. Uweyi agapandika sabho ningi aha kaya yakwe kunguno ya wigulambija bhokwe bhunubho ubho guitumama chiza imilimo yakwe, umukikalile kakwe kenako.

Umunhu ng’wunuyo, agikolaga nabho bhagandya gutumama milimo yabho aho yandya ugutula imbula mpaga bhupandika jikolo, kunguno nuweyi agigulambijaga gutumama milimo yakwe chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo mpaga opandika jikolo umuwikaji bhokwe bhunubho. Hunagwene agayombaga giki, “idizaga mzenze.”

Akahayile kenako kalanga bhanhu higulya ya gubhiza na witegeleja bho gwigulambija guitumama milimo yabho chiza ulu lyashiga ilikanza lyayo, kugiki bhadule kupandika sabho ningi umukaya jabho jinijo.

Mithali 10: 4.

Mithali 12:27.

KISWAHILI: HAIIJI KWA STAREHE.

Chanzo cha msemo huo huongelea kuanza kunyesha kwa mvua. Mvua hiyo, haiiji kwa starehe kwa sababu huleka kazi ambazo watu huanza kuzifanya ili waweze kupata mali maishani mwao. Ndiyo maana watu hao husema kwamba, “haiiji kwa starehe.”

Msemo huo hulinganishwa kwa mtu yule ambaye hujibidisha kufanya kazi zake vizuri unapofika wakati wa kuzitekeleza kazi hizo, katika maisha yake. Mtu huyo, huwahi kwenda kazini kwake na kujibidisha kuzitekeleza vizuri mpaka  mwisho, kwa sababu ya bidii yake hiyo maishani mwake. Yeye hupata mali nyingi kwenye familia yake hiyo kwa sababu ya bidii yake hiyo ya kuzitekeleza vizuri kazi zake, katika maisha yake.

Mtu huyo hufanana na wale walioanza kuzitekeleza vizuri kazi zao ilipoanza kunyesha mvua mpaka wakapata mali, kwa sababu naye hujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zake unapofika wakati wake mpaka anafanikiwa kupata mali, maishani mwake. Ndiyo maana yeye husema kwamba, “haiiji kwa starehe.”

Msemo huo hufundisha watu juu ya kuwa na umakini wa kujibidisha kuzitekeleza vizuri kazi zao unapofika wakati wake, ili waweze kupata mali nyingi katika familia zao hizo.

Mithali 10: 4.

Mithali 12:27.

ENGLISH: IT DOES NOT COME WITH PLEASURE.

The origin of this saying refers to a beginning of rain. This rain does not come with pleasure because it comes with works which people start doing so that they can get wealth in their lives. That is why these people say that, “it does not come with pleasure.”

This saying is matched to a person who strives to do his works well when the time of doing them reaches, in his life. This person, always goes to his jobs and strives to do them well until the end, because of his diligence in his life. He earns a lot of wealth in his family because of his diligence in doing his works well in life.

This person is similar to those who started doing their works well when it started to rain until they got wealth, because he also strives to do his works well when the time of doing them arrives until he succeeds in getting wealth, in his life. That is why he says that, “it does not come with pleasure.”

This proverb teaches people about being diligent in doing their jobs well when the time of dong them begins, so that they can gain a lot of wealth in their families.

Proverbs 10:4.

Proverbs 12:27.

Leave a comment

This site uses Akismet to reduce spam. Learn how your comment data is processed.